Jo Assistant
Senior Member
- Jun 20, 2014
- 195
- 197
Good for you...Mimi Mtoto wa uswahilini
Good for you...Mimi Mtoto wa uswahilini
Anne mama...kwa maisha uliyoyaishi mpka sasa ndo kwanza uko 1/4.bado hujakutana na vimbwanga vya ulimwenguni.Hadi nimesisimuka niliposoma comment hii.
Kweli hakuna haja ya kubadilika vibaya kama ananitreat vizuri
Hata asiponipa right treatment sibadiliki
Mwanaume utakayekuja jua tu kuwa nikikupenda sikuachi ng'oo,fanya ujinga wote tutanyooshana tu
Amen nitazidi kumuomba MunguAnne mama...kwa maisha uliyoyaishi mpka sasa ndo kwanza uko 1/4.bado hujakutana na vimbwanga vya ulimwenguni.
Usiseme siwezi kubadilika..sama naomba Mungu anisaidie
Ila ukweli ni kwamba aina ya watu kama wewe siku wakija kubadilika..wanakuwaga mafia..
Nazungumzia yale majanga ya ukubwani ndio yanayobadilisha mtu.mfano mdogo tu unamkuta mume wako wa ndoa red handed na rafiki yako wa uchungu kabisa yani yule kipenzi wanafanya mapenzi jamani ngoja niendelee kuchat tu..
Siombei ubadilike ila chunga maneno yakutokayo maana Shetani uingilia sehemu ndogo sana..zidi kumuomba Mungu mama..
Weee usiniambie 😅😅😅mwandiko wako inaonyesha umepitia vijimaumivu madam..hujapitia majeraha ya maumivuAmen nitazidi kumuomba Mungu
Ila ujinga naona nilishafanyaga huko nyuma..nimewahi pitia maumivu pia
Ila nikiwakuta hivyo wallah nawavunja miguu
Naona unatest zali😅😅😅Asante kwa kunipenda mdogo wanguz
zagarinojo loves you
Nadhani nitazimia hiyo sikuWeee usiniambie mwandiko wako inaonyesha umepitia vijimaumivu madam..hujapitia majeraha ya maumivu
Kabla na baada ya kuwavunja miguu...kile moyo utakachoamua...ndio mabadiliko niyasemayo
Mama bora tuchat tu..
Bora uendelee kucheka tu hakuna namna..
Maana hata sikuelewi
Tell me you love me too bana umesahau hako ka nenoNaona unatest zaliAsante kwa kunipenda mdogo wangu
I love you a thousand timesTell me you love me 3
Dada yako ni mkali kweli kweli,kuna watu hapa wanafikiri ni tunda la bure bure!Nimesoma jamani dada yangu...
hahahaMungu wangu
hahahahaKazi ya ulinz inakufaa sana mkuu
Usiniite mtoto unatafuta kasababu nisikupende tu but honestlyMtoto punguza ma
HUenda na wewe tushapishanaNi wapi huko