Ni kitu gani alifanya JK na kikabaki kuwa cha Watanzania?, Je ile Gesi ni yetu?

Kama ulianza kutumia intaneti kabla ya mwaka 2009 utagundua kuwa gharama za intaneti sio Sawa na za sasa hasa kuanzia mwaka 2013 mpaka 2017.

Mwaka 2007 mtandao WA Zantel ulikuwa unauza MB 500 Kwa shilingi 6000.

Mwaka 2010, mtandao ulikuwa na bando za bei za mtandao WA Zain(Airtel) ziliuzwa Kwa sh 2000/MB 400, huu ndio ulikuwa mtandao nafuu.

Mwaka 2009 Vodacom walianzisha kifurushi cha 500 ambacho ulikuwa unapata MB 21 kutoka MB 15 Tu.

Kabla ya hapo mitandao haikuwa na vifurushi salio la kawaida kilikuwa linatumika kudownload.

Baada ya awamu ya pili ya mkongo wa Taifa pili ya mkongo wa Taifa kukamilika 2012, bei za data zilishuka.

Vodacom ilikuwa ni nafuu, night bundle iliuzwa Kwa sh 200 na ilikuwa ni unlimited.

Tigo walikuwa na bando la 500 ambapo unasurf internet bila ukomo na wa data mwaka 2014 kama sikosei. Mtandao WA smart uliuza data bila ukomo Kwa 1000.

Pia mkongo wa Taifa ukaleta 3g na 4g hapo kabla tulikuwa na edge.

Changamoto serikali haiboreshi miundombinu na inaongeza Kodi(tozo) Kwa kampuni za simu halafu tunaamishiwa Sisi.

.

Kwa sababu mkongo ulitakiwa utandazwe Kwa awamu tano, awamu ya mwisho ililengwa kutandaza Kwa taasisi kama shule na Pia home intaneti.

Mpaka sasa umeishiwa kwenye awamu mbili Tu.

Na matumizi ya data yanaongezeka hivyo wanatumia njia hiyo kutoza zaidi.

Kitu kinachosababisha data kupanda bei lakini licha ya hivyo huwezi linganisha be ya intaneti kabla ya mkongo kutandazwa na baada ya kutandazwa.
Hongera sana kwa ufafanuzi mzuri wasioelewa nadhani watakuwa wameelewa sasa
 
Kama ulianza kutumia intaneti kabla ya mwaka 2009 utagundua kuwa gharama za intaneti sio Sawa na za sasa hasa kuanzia mwaka 2013 mpaka 2017.

Mwaka 2007 mtandao WA Zantel ulikuwa unauza MB 500 Kwa shilingi 6000.

Mwaka 2010, mtandao ulikuwa na bando za bei za mtandao WA Zain(Airtel) ziliuzwa Kwa sh 2000/MB 400, huu ndio ulikuwa mtandao nafuu.

Mwaka 2009 Vodacom walianzisha kifurushi cha 500 ambacho ulikuwa unapata MB 21 kutoka MB 15 Tu.

Kabla ya hapo mitandao haikuwa na vifurushi salio la kawaida kilikuwa linatumika kudownload.

Baada ya awamu ya pili ya mkongo wa Taifa pili ya mkongo wa Taifa kukamilika 2012, bei za data zilishuka.

Vodacom ilikuwa ni nafuu, night bundle iliuzwa Kwa sh 200 na ilikuwa ni unlimited.

Tigo walikuwa na bando la 500 ambapo unasurf internet bila ukomo na wa data mwaka 2014 kama sikosei. Mtandao WA smart uliuza data bila ukomo Kwa 1000.

Pia mkongo wa Taifa ukaleta 3g na 4g hapo kabla tulikuwa na edge.

Changamoto serikali haiboreshi miundombinu na inaongeza Kodi(tozo) Kwa kampuni za simu halafu tunaamishiwa Sisi.

.

Kwa sababu mkongo ulitakiwa utandazwe Kwa awamu tano, awamu ya mwisho ililengwa kutandaza Kwa taasisi kama shule na Pia home intaneti.

Mpaka sasa umeishiwa kwenye awamu mbili Tu.

Na matumizi ya data yanaongezeka hivyo wanatumia njia hiyo kutoza zaidi.

Kitu kinachosababisha data kupanda bei lakini licha ya hivyo huwezi linganisha be ya intaneti kabla ya mkongo kutandazwa na baada ya kutandazwa.
Huyo atakuwa kaanza kutumia simu kipindi kuna vocha za jero.. angekuwa amewahi kumiliki simu kipindi voda ya bei rahisi ni 5000 asingesema hayo
 
Malaika wa Chato hakufaa kuwa Rais wa nchi yenye upendo kama Tanzania. Amezalisha sumu ambayo kama juhudi kubwa isipofanyika, Tanzania itaingia kwenye rekodi sawa na Burundi na Rwanda. Ndio maana Mungu akaona amalizane naye mapema. Yaani mtu anauwezo wa kuandika yote haya lakini hajui kama ni huyo Kikwete ndiye bomba alilojenga la Gesi kutoka Mtwara ndilo linaloleta ahueni ya umeme kwa sasa. Mtu hajui kwamba kama si usambazaji wa mkongo uliofanywa na Kikwete, asingejidai na internet hii aliyonayo sasa. Na huenda mtoa mada alisoma shule ya kata au alisoma UDOM au anaandika utumbo wake akiwa ndani ya mwendokasi au mjombaake yuko Mloganzila au yuko Moi aionayo sasa, yet hajui kama yote hayo ni matunda ya Kikwete.

Kuna watu mlihadithiwa historia ya nchi hii ila rudini kwa waliowahadithia wawamalizie stori. Kwa mnaotoka mikoa ya pembezoni, Kikwete ndiye aliyejenga hizo barabara zote kuanzia kuanzia Masasi hadi Sumbawanga hadi huko Chato kwa Malaika wenu.

Mpeni heshima yake Kikwete, wengine kwa akili zenu msingeweza kupata alama za kuendelea na masomo kama si shule za Kata za Kikwete.
Dah sijui watakuelewa hawa....
Nadhani lipo jambo lingine wanalomchukia Mkwere wa watu ila hawataki kulisema.
Lkn ukweli hua haupotei asilani hata akizikwa!
 
Hongera sana kwa ufafanuzi mzuri wasioelewa nadhani watakuwa wameelewa sasa
Na uzuri jamiiforum inatunza kumbukumbu.
Vifurushi vya mwaka 2012 kabla awamu ya pili ya mkongo kukamilika.
 
Mtoa UZI acha ulimbukeni

REA ilianzishwa awamu ya ngapi ?
TARURA je?
Ujenzi was Udom ulianza awamu ya ngapi ?

Hata daraja la busisi aliye commense ujenzi wake ni JK na siku anaweka jiwe la ujenzi alikuwepo na JPM

ACHAULIMBUKENI MTOA UZI
 
JK mimi binafsi namkubali sana pamoja na mapungufu yake kama walivyo wanadamu wote na amefanya kazi kubwa sana nchi hii ikiwemo kurudisha taasisi nyeti zilizo uzwa na mzee Mkapa kama ATCL, TTCL, TANESCO, TRC na THA (Bandari). Huyu ni shujaa kabisa. Mwendazake amekuja kuimarisha hizi taasisi alizozirudisha JK kwenye mikono ya umma.

Kwa sasa ninachokiona ndo kinanipa hofu kidogo kama wanaoitwa washauri wa mama kama vile kutaka kubadilisha kila kitu alilokifanya mwendazake as if alifanya maamuzi bila kufikiria kumbe wao wanaobadilisha yaliyofanywa ndo hawataki kujifikirisha zaidi hiki ndo kinacho nipa shida.

Ushauri wangu ni vyema wajikite kwenye kuboresha zaidi ili tusonge mbele na sio kuturudisha nyuma tuliko toka. Dhana hii inanifanya niseme tusiwe urojo urojo kufanya mambo kwa wepesi wepesi tukidhani ndo sahihi LA HASHA Tujifikirishe zaidi jamani.
 
Malaika wa Chato hakufaa kuwa Rais wa nchi yenye upendo kama Tanzania. Amezalisha sumu ambayo kama juhudi kubwa isipofanyika, Tanzania itaingia kwenye rekodi sawa na Burundi na Rwanda. Ndio maana Mungu akaona amalizane naye mapema. Yaani mtu anauwezo wa kuandika yote haya lakini hajui kama ni huyo Kikwete ndiye bomba alilojenga la Gesi kutoka Mtwara ndilo linaloleta ahueni ya umeme kwa sasa. Mtu hajui kwamba kama si usambazaji wa mkongo uliofanywa na Kikwete, asingejidai na internet hii aliyonayo sasa. Na huenda mtoa mada alisoma shule ya kata au alisoma UDOM au anaandika utumbo wake akiwa ndani ya mwendokasi au mjombaake yuko Mloganzila au yuko Moi aionayo sasa, yet hajui kama yote hayo ni matunda ya Kikwete.

Kuna watu mlihadithiwa historia ya nchi hii ila rudini kwa waliowahadithia wawamalizie stori. Kwa mnaotoka mikoa ya pembezoni, Kikwete ndiye aliyejenga hizo barabara zote kuanzia kuanzia Masasi hadi Sumbawanga hadi huko Chato kwa Malaika wenu.

Mpeni heshima yake Kikwete, wengine kwa akili zenu msingeweza kupata alama za kuendelea na masomo kama si shule za Kata za Kikwete.
Nimemzungumzia JK, shida mnafikiri kila mtu alikuwa wa JPM. Fuatilia thread zangu humu, ni chache ila nilimpinga sana JPM.
SINA TIMU. Jikite kwenye hoja ya JK.
 
Habari Wana JF,

Kuna hoja nyingi sana zinasukuma kujengwa bandari kubwa ya Bagamoyo.

Mradi huu ukipata nguvu sana wkt wa JK. Haukukamilika wkt wake.

Sasa umerejea kwa kasi kiasi cha kudhorotesha hata miradi mingine.

Binafsi ukiniuliza, nitakwambia JK ndio kila kitu kwenye huu Mradi. Hadi muda huu.

SWALI: JK alishafanya mradi gani mkubwa, ukabaki kuwa ni Mali ya Watanzania.?

Hivi Wana JF wote mlikuwa "watoto wachanga" wkt anasema gesi mtwara lazima itoke. Na hadi watu wakachapwa, huko Mtwara kwamba itatoka tu kwa manufaa ya nchi yote!
Hamkumbuki hotuba ya JK akijenga hoja hilo jambo la gesi.?!

Au wote humu mlikuwa watoto?!

SASA UKWELI: Je, leo ile gesi ni kwetu Watanzania?!.

(Nyerere hakuwa mjinga kuepuka dhambi ya kuuza migodi yetu)

Je, leo JK ndio aaminike kwenye ishu ya bandari ya Bagamoyo?!

JK huyu huyu ambae wkt wa Mwinyi aliwahi kuwa Waziri wa Nishati, Madini na Maji.....hadi Leo maji ni mgao Dsm.

Ni kheri nimsikilize Mzee Mangula kuliko JK mara mia.

JK & Co tuachie Bagamoyo yetu.

Mama Samia, watch out! Hii ndio hesabu ya mwisho ya Wachina.

(Tz ndio yenye ARDHI zaidi kusini mwa jangwa la Sahara).

TUMEKWISHA...!!
Nyerere alionaga mbali sana,akamreject huyo mzee.
 
Nyerere alionaga mbali sana,akamkataa huyo mzee.
Ndio haya mambo tunasema kuishi kwa hisia au uzushi. Ushahidi kuwa Nyerere alimkataa uko wapi? JK alianza kuwa uongozini tangu miaka ya 1970, nchi ikiwa chini ya Nyerere. Mbona hakuwahi kumtoa kwenye nafasi yoyote. Mwaka 1977, alimpa jukumu zito kusimamia kule zenj katika kipindi kigumu cha muunganiko wa TANU na ASP kuunda CCM. Enzi ya Mwinyi Jakaya ameingia Serikalini Nyerere akiwa shupavu hasa (at his 60s) na alikuwa na influence kubwa tu nchini. Jakaya amechukua fomu ya kugombea urais na kuingia katika 3 bora mbele ya macho ya Nyerere. Hivi Nyerere angeshindwa kweli kuzuia hilo kama angekuwa hamtaki? Of course, hata ukiniuliza mimi kwa 1995 Kati ya Jakaya na Mkapa bila shaka Mkapa was the best candidate in all aspects. So haikuwa bahati mbaya wala chuki kuambiwa ajipe muda akue.

Kikwete alichaguliwa Waziri wa Mambo ya nje wa Mkapa mwaka 1995 Nyerere akiwa hai. Ukaribu wa Nyerere na Mkapa uliokuwepo, na kuhusika kwake kumfanya awe Rais, Nyerere asingeshindwa kumwambia Mkapa asimchague kuwa Waziri wa Mambo ya Nje; tena akadumu humo kwa miaka 10. Sidhani kama kuna mtu mwingine aliyehudumu nafasi hiyo kwa muda mrefu kumzidi Jakaya.

People, Nyerere hakumchukia wala kumkataa Jakaya kama mnavyoongopeana.
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Kuna mambo kadha wa kadha hayakuwa sawa wakati wa JK ila haimaanishi hakuna landmark yoyote ambayo imeachwa.
Kwa uchache, JK kafanya yafuatayo makubwa na yenye hadhi/kumbukumbu njema
Kajenga daraja la Kigamboni (daraja la Nyerere)
View attachment 2029924
President%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20inauguration%20Kigamboni%20Bridge%20construction%20in%20Dar%20Es%20Salaam.jpg

Kaanzisha ujenzi wa flyover ya TAZARA
Kajenda UDOM
Kajenga Muhimbili Mlonganzila Hospital
View attachment 2029925

Ameaisisi JK Cardiac Institute
Kejenga barabara za lami kuunganisha na Tabora-Kigoma (japo kuna sehemu wata-share sifa na JPM kwani kwa miaka 5 ya kwanza ya JK kasi ilikuwa ndogo sana chini ya Mramba, Chenge na Kawambwa. Kasi imeonokena term ya pili JPM aliporudishwa ujenzi)
Kajenga Dar Airport Terminal 3
Kajenga daraja la Kikwete
View attachment 2029923

JK ni mtani wangu, kuna ambayo wengi watamlaumu naomba nisiweke hapa, ila kwa uchache yako ambayo alifanya na tunaweza ku-bank kwa hayo.
Msen nini Kigoma Tabora hadi sasa mkandarasi yuko anajenga. Barabara ya Tabora itigi MagufuliJP kajenga. Tabora Mpanda, Mpanda Kigoma MagufuliJP kajenga zote just in 6 years. Acheni bwana jk ni mwizi

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom