Mkuu unaweza kukituma hapa au nikutumie email yangu unipatie .??View attachment 1043777
Nawashauri dada zangu wasoma vitabu wa humu JF wasome hiki kitabu...nina soft copy kwa yeyote atakaetaka nitamtumia.
Ninakiomba Mkuu Nokia83 ..!!View attachment 1043777
Nawashauri dada zangu wasoma vitabu wa humu JF wasome hiki kitabu...nina soft copy kwa yeyote atakaetaka nitamtumia.
Utakuwa mwanafunzi wa Literature, African-American Literature!Upon his release he changed his name to Malcolm X, the Xrepresenting the unknown name of his African ancestors and their culture that had been lost during slavery. After personal meetings with Elijah Muhammad, Malcolm became a minister for the Nation
Hapana ndugu,niliopt vitu tofauti,ila napenda kusoma vitabu...Mimi ni Mwanasayansi
Hiko kitabu kilinibadilisha namna ya kutazama wtu,mitazamo juu ya watu na ulimwngu,na kupata haki yako