DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,884
- 45,264
98:6Asubuhi DW station gani mkuu
98:6Asubuhi DW station gani mkuu
Lakini wako vzrHakuna
Hakuna Mtangazaji mkubwa hapo hao wote ni wapiga kelele,mfano Babra,kipanya kwenye hiyo PB ni kelele utafikiri watoto wadogo pia hawana weledi wowote!
Mie ndio radio yangNdio redio yangu ya muda wote, wako vizuri kila kipindi japokuwa wanachukuliwa watangazaji kila mara
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
BC ll,Hizo redio ulizo zitaja ziko kwa ajili ya mihemeko kwanza makelele mengi yani hamnakitu hapoo mauthui ya na fanana na ujanja janja mwingi..
Hakuna redio zenye mpangilio mzuri kama hizi vipindi vya subuhi REDIO FREE AFRICA, TBC FM, REDIO ONE hawa ndio wanajua maana na maudhui ya kukupasha habari.
Yaani fredwaa anakuwaga kama anajishtukia Fulani hivi yuko hewani hewani. Chemistry ilikataa kabisa kuungana na wenzake labda angepewa pindi jingineumemaliza kila kitu mkuu.
PB is the best. Combo moja matata Sana la barbara H na Kipanya , size na sasali na Binge ila Fredwaa nadhani wangempumzisha. Huwa anaharibu chemistry.
Zamani Kipanya na Fina walinoga zaidi na Hando.
Kwenye TV clouds barbie na PJ wamebond vizuri sana asubuhi halafu content ya kushiba. Hongera kwa Director and producer na watu wote behind the scene maana Bila hawa tusingepata kilicho bora.
Swali fikirishi mbona tv za kenya kama Citizen,Ktn,ntv asubuhi zina content nzuri yaani interview kuliko za bongo. Mvano sass hivi sintofahamu angeletwa waziri wa habari atueleze hali ya mweshimiwa akapigwa maswali lakini waandishi wetu hawaendi na uhalisia.
Daah kama Mimi..Ubaoni ndo kila kitu,Imma Kapanga,Roman Shirima na Mpoki,,Traffic Jam siielewiNaendelea kuhesabu kura.
ila kule mgahawa hawapo serious...sio rahisi mtu kumsikiliza Baba levo...na ile sala yao ya jioni huwa naonaga kama mambo ya ajabu tu..anyway, ni ubunifu wao ila kwa kipindi cha jioni zamani nilikuwa shabiki wa JAHAZI enzi za Kibonde ila now nimehamia UBAONI ya EFM.
Hando alizingua niniUsaliti wa Hando ukavunja PB, KP na Fina wakasepa. Ile combination was hot
Ukiwa na uwezo wa kazi utafuatwa tu! alipoondoka Masoud Clouds kwenye PB walipwaya sanaTimu ya breakfast ikiongozwa na Kipanya , Fina.
Walikuwa na miadi ya kuhoji baloz wa Denmark hapa nchini ktk ofisi yake.
Kuna vitu flani flani walienda kuhoji.
Jamana mwenye kuongezea aje asimulie hahaha
Kulitokea sintofaham yale mahojiano hayakwenda hewani.
Nadhani walitibuana baina ya KP na Uongozi wa Clouds media
Kp akafukuzwa kazi.
Lakini baaaaaaaaaaaadaye
Walimrudisha.
Ndo maana Masoud Kipanya kapunguza utu mbad
Nahisi walimuomba msamaha ndo maana akarudi
Nimecheka sana manake angeunga juhudi yasinge mkutaContent ndio zilimpoteza Azory.
Mie pia naanza na amka na BBC naunganisha na magazeti ikifika saa moja nahamia cloudsRadio free afrika ....Amka na BBC na kipindi Cha magazeti kila siku asubuhi lazima nianze siku namna hiyo
Ndo nani huyu???Hivi kwanini kila interview anahoji ni kipanga?
Kwa PB bado hujanishawishi, akina Kipanya wako gado sanaa.Hizo redio ulizo zitaja ziko kwa ajili ya mihemeko kwanza makelele mengi yani hamnakitu hapoo mauthui ya na fanana na ujanja janja mwingi..
Hakuna redio zenye mpangilio mzuri kama hizi vipindi vya subuhi REDIO FREE AFRICA, TBC FM, REDIO ONE hawa ndio wanajua maana na maudhui ya kukupasha habari.
Well said mkuu... Vipi kipindi cha Leo tena? Huwa wananivutia sanaa, hasa kipindi akiwepo yule Musa kama sikosei kwenye ile timu yao.PB imejipambanua vizuri kabisa, kila mmoja ana role yake na anaimudu vizuri. Barbara ni Host mzuri kabisa, KP & Cza ni wachambuzi wanaochambua mambo kwa kina.
Sam anamudu vizuri usomaji wa magazeti kwa mtindo wa kipekee unaovutia masikio ya msikilizaji.
Bonge naye nafasi yake anaimudu vizuri jambo ambalo wanajikuta wanatengeneza timu moja hatari sana yaani akikosekana mmoja unaona kabisa kuna pengo.
Napenda sana pia segments zao zimepangiliwa vizuri sana ingawa huwa navutiwa zaidi na magazeti kutokana na namna Sam, KP na Cza wanavyoungana kuchambua mambo.
Huwa sifurahii kipindi Fredwaa akiwepo, sielewagi position yake pale CMG. Ila kwangu PB ya Clouds FM ipo juu sana na haina mpinzani kwenye shows za asubuhi kwenye redio za Tanzania.
Hakuna kitu kama hicho kwa sababu zifuatazo:-Hizo redio ulizo zitaja ziko kwa ajili ya mihemeko kwanza makelele mengi yani hamnakitu hapoo mauthui ya na fanana na ujanja janja mwingi..
Hakuna redio zenye mpangilio mzuri kama hizi vipindi vya subuhi REDIO FREE AFRICA, TBC FM, REDIO ONE hawa ndio wanajua maana na maudhui ya kukupasha habari.
True ila kipindi kile yupo gerald hando na pemben paul james pj na barbara hassan na ciza aisee kipindi kilikuwa hot sana masudi naona anapooza sanaPB n kipindi boraa ,siza, kipanya,Barbra,na kwenye magazeti Sam, wamejipangaa sana,ilaa hawa efm n 0 kwanzaa hawapeani muda wakuongea kila mtu anaropoka kivyakee,good morning wana watu wazuri ila wajipange zaidii
Sala ipi mkuu maana mi sijawahi kusikia kipind hicho ni sala ipi?Naendelea kuhesabu kura.
ila kule mgahawa hawapo serious...sio rahisi mtu kumsikiliza Baba levo...na ile sala yao ya jioni huwa naonaga kama mambo ya ajabu tu..anyway, ni ubunifu wao ila kwa kipindi cha jioni zamani nilikuwa shabiki wa JAHAZI enzi za Kibonde ila now nimehamia UBAONI ya EFM.
Hapa hata mimi niliwakubari kinoma walifit kisawasawa, masudi mi naona kapooza sanaPower Breakfast
Ila mimi nilikuwaga nafuatilia kipindi kile cha Barbara Hassan, Gerald Hando na PJ sijui kama hadi leo bado wanasemaga hivyo
Radio free africa saa 12 kamili asubuhiamka na BBC inapatikana kwa radio gani hapa bongo?...umeniinspire sana kuifatilia.