Ni kipi kipindi bora cha asubuhi kwenye radio?

Hu
Tatizo GoodMorning utani mwingi na kuchekacheka sana. Inatakiwa wajipange. Angalau David Rwenyugira anajitahidi
Huyu rwenyagira ni chumvi kwenye mboga sema kuna chemistry inakosekana wanapayuka payuka sana hata orest yuko vizuri sana sema sijui yaani kuna namna tu ukisikiliza hakijakaa vizuri inatakiwa watafutiane chemistry...
 
Hizo redio ulizo zitaja ziko kwa ajili ya mihemeko kwanza makelele mengi yani hamnakitu hapoo mauthui ya na fanana na ujanja janja mwingi..
Hakuna redio zenye mpangilio mzuri kama hizi vipindi vya subuhi REDIO FREE AFRICA, TBC FM, REDIO ONE hawa ndio wanajua maana na maudhui ya kukupasha habari.

Hapo mimi naitoa TBC peke yake kwenye list.
RFA, RADIO ONE
 
Power breakfast kwangu ni no1 kwa asubuhi kwakweli Madini yako pale hawaboi hawachoshi watu wana vitu kichwani kina kipanya,siza,Babra,na yule MTU mrefu wa magazeti..Samuely wa Sasali hongereni sana wanaifanya vzr mno wako formal,hapohapo utani kidogo,burudani na elimu viva power breakfast....mpaka matangazo utasikiliza kwa nguvu vile wana ubunifu
 
Kabla Zembwela hajatoka East Africa Radio nilipenda sana kipindi chake cha asubuhi, saa saba ikifika nakamata Dw au Planet bongo hadi 10 kamili kama tu Dj Summer atakua mjengoni mana yule jamaa anapiga vitu vinakua kama live show yani unakua high mbaya, saa 10 wazee wa ndinga wako na utulivu sana kuanzia nyimbo na style yao yakuongea kama vile wako kwenye motion ya gari wanapiga stori, kama bado nipo saa mbili nawaacha na mipira yao labda nitatune Mawingu, saa tatu mzee tunakiwasha na Summer tena kwenye The Cruise
ila summer mi sijawahi kumuelewa kabisa, namkubali sana Dea akiwa kwenye 1 na 2.
 
Clouds FM ni radio ambayo unaweza sikiliza siku nzima ina vipind bomba.

Kidogo siku hz baada ya kuondoka b12,xxl nakuwa sielew kwasasa,b12 alkuwa anajua kuwaongoza vizur na mahojiano na wasanii yalkuwa poa sana.

Ukisikiliza clouds kuanzia asubuh mpaka jion,hakuna haja ya kununua gazeti,kuangalia taarfa ya habari,hata hakuna haja ya kutembelea mitandao ya kijamii.
 
PB n kipindi boraa ,siza, kipanya,Barbra,na kwenye magazeti Sam, wamejipangaa sana,ilaa hawa efm n 0 kwanzaa hawapeani muda wakuongea kila mtu anaropoka kivyakee,good morning wana watu wazuri ila wajipange zaidii
Hawa watangazaji waliopewa ukweli wao kuna chao Cha kujifunza hapaa
 
Naendelea kuhesabu kura.

ila kule mgahawa hawapo serious...sio rahisi mtu kumsikiliza Baba levo...na ile sala yao ya jioni huwa naonaga kama mambo ya ajabu tu..anyway, ni ubunifu wao ila kwa kipindi cha jioni zamani nilikuwa shabiki wa JAHAZI enzi za Kibonde ila now nimehamia UBAONI ya EFM.
Yeeeeh ubaoni naipendraaaa
 
Kwa vipindi vya jioni kuanzia saa 10 mie namahamia East Africa Radio kipindi Drive Show ndinga mpya town kuna Ian Dialo, Justin Kessy na DJ Mackey, jamaa wametulia sana na wamejipanga vizuri.
Ndio redio yangu ya muda wote, wako vizuri kila kipindi japokuwa wanachukuliwa watangazaji kila mara

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Ndio redio yangu ya muda wote, wako vizuri kila kipindi japokuwa wanachukuliwa watangazaji kila mara

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Ea Radio to be honest wamepotea sana..Walikuwa poa sana aisee,kipindi hiyo nipo advance nakula msuli wa PCB na Ea radio..Ubora wao wa mwisho mwisho ulikuwa kwenye Power Jams na Sam Misago,Ea drive na Sebastian,The Cruise ya George Bantu na Kenedytheremedy..Weekend walikuwa na show kali pia Saturday breakfast,Planet Bongo,Ugandan Central,Strictly Kenya,The Request Show,Saturday mix..Saivi imepauka,tuna-tunein tu kwa mahaba,atleast Ea drive.
 
Back
Top Bottom