lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,171
- 2,660
Hu
Huyu rwenyagira ni chumvi kwenye mboga sema kuna chemistry inakosekana wanapayuka payuka sana hata orest yuko vizuri sana sema sijui yaani kuna namna tu ukisikiliza hakijakaa vizuri inatakiwa watafutiane chemistry...Tatizo GoodMorning utani mwingi na kuchekacheka sana. Inatakiwa wajipange. Angalau David Rwenyugira anajitahidi