Ni kipi kilifanya Juma Nature kuwa spesho kuliko wasanii wengine wa kipindi chake?

screpa

JF-Expert Member
Sep 10, 2015
10,792
15,693
Miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni kuliibuka vichwa hatari sana kwenye muziki wa Rap/Hiphop, hiki binafsi nakiona kama kizazi cha dhahabu kama ilivyokuwa timu ya Barcelona iliyomtetemesha SAF pale Wembley kwenye fainali za UEFA mwaka 2011.

Tukiachana na Records label nyingine, Ulikuwa ukienda tu pale Bongo Records kwa Majani utakutana na vichwa vikali kama Prof Jay, SoloThang, JayMo, Afande Sele, Ngwea, na wengine wengi, lakini pamoja na vichwa hivyo Sir Nature Kiroboto alikuwa treated kama mtoto mteule/mtoto mpendwa pale BongoRecords ama kwa jina jingine tunaweza muita 'The Special One', hata wasanii wenzake walilijua hilo kiasi cha kufikia kupeana maneno ya chinichini kwamba Majani anampendelea Nature, yaani Sir Nature akitaka kurekodi ngoma muda wowote ilikuwa ruksa, huku kina Fid Q wakipigwa danadana kwa zaidi ya miaka miwili.

Nadhani hii Majani hakuifanya kwa sababu ya urafiki wake na Nature tu, ni kwamba yeye kama mfanyabiashara alimuona ni mtu mwenye potential kubwa that's why akaamua kuinvest zaidi kwake, na kwakweli alifanikiwa maana show zote zilizowakutanisha wasanii wengi nilizofanikiwa kuzihudhuria enzi za 'uvulana' wangu kukiwepo jina la Juma Nature basi jua huyo ndie atakayefunga show, pamoja na vichwa kama Prof Jay kuwa na Hits kali, lakini wakikutana na Sir Nature kwenye show walikuwa wanasalimu amri tu hamna namna.

Je, ni kipi unadhani kilimfanya Sir Nature kuwa 'The Special One'? Ni zile Chorus zake kali? Flow yake? Sauti yake? Uswahili wake? Beat za Majani? Mashairi yake? Ila hapo kwenye lyrics namfananisha na mswahili mwenzake Inspector Haroun, siwezi muweka kwenye kundi la hao wakali hapo juu...
images%20(62).jpg
 
Nature bana mi maneno yake na vitu aliimba vya kiswazi kwenda mbele.ila mbali na hapo KIBLA alikuwa moto wa nyasi kavu.
 
Style ya muziki wake wa rap katuni kwetu uswaz ilikuwa ndo yenyewe, nakumbuka aliibuka kitaa chetu maza mmoja akawa anamshangaa nature mwenyewe ndo huyu mbona mwembamba, haikukaa muda ikatoka "utajiju" ilikuwa ni wimbo mmoja matata kitaani
 
Miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni kuliibuka vichwa hatari sana kwenye muziki wa Rap/Hiphop, hiki binafsi nakiona kama kizazi cha dhahabu kama ilivyokuwa timu ya Barcelona iliyomtetemesha SAF pale Wembley kwenye fainali za UEFA mwaka 2011.

Tukiachana na Records label nyingine, Ulikuwa ukienda tu pale Bongo Records kwa Majani utakutana na vichwa vikali kama Prof Jay, SoloThang, JayMo, Afande Sele, Ngwea, na wengine wengi, lakini pamoja na vichwa hivyo Sir Nature Kiroboto alikuwa treated kama mtoto mteule/mtoto mpendwa pale BongoRecords ama kwa jina jingine tunaweza muita 'The Special One', hata wasanii wenzake walilijua hilo kiasi cha kufikia kupeana maneno ya chinichini kwamba Majani anampendelea Nature, yaani Sir Nature akitaka kurekodi ngoma muda wowote ilikuwa ruksa, huku kina Fid Q wakipigwa danadana kwa zaidi ya miaka miwili.

Nadhani hii Majani hakuifanya kwa sababu ya urafiki wake na Nature tu, ni kwamba yeye kama mfanyabiashara alimuona ni mtu mwenye potential kubwa that's why akaamua kuinvest zaidi kwake, na kwakweli alifanikiwa maana show zote zilizowakutanisha wasanii wengi nilizofanikiwa kuzihudhuria enzi za 'uvulana' wangu kukiwepo jina la Juma Nature basi jua huyo ndie atakayefunga show, pamoja na vichwa kama Prof Jay kuwa na Hits kali, lakini wakikutana na Sir Nature kwenye show walikuwa wanasalimu amri tu hamna namna.

Je, ni kipi unadhani kilimfanya Sir Nature kuwa 'The Special One'? Ni zile Chorus zake kali? Flow yake? Sauti yake? Uswahili wake? Beat za Majani? Mashairi yake? Ila hapo kwenye lyrics namfananisha na mswahili mwenzake Inspector Haroun, siwezi muweka kwenye kundi la hao wakali hapo juu...View attachment 1483153
Utunzi bora.

Golden voice haswa upande wa chorus.

Juma Nature wa enzi za Sonia, Ubinadamu kazi, mzee wa busara ,mtoto iddi,Mugambo.

Si Juma Nature wa kipindi hiki.

Binafsi wimbo wa mwisho wa Juma Nature kuusikiliza ni ule wimbo unaitwa 'Dogo ' ulitoka mwaka 2013.
 
Miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni kuliibuka vichwa hatari sana kwenye muziki wa Rap/Hiphop, hiki binafsi nakiona kama kizazi cha dhahabu kama ilivyokuwa timu ya Barcelona iliyomtetemesha SAF pale Wembley kwenye fainali za UEFA mwaka 2011.

Tukiachana na Records label nyingine, Ulikuwa ukienda tu pale Bongo Records kwa Majani utakutana na vichwa vikali kama Prof Jay, SoloThang, JayMo, Afande Sele, Ngwea, na wengine wengi, lakini pamoja na vichwa hivyo Sir Nature Kiroboto alikuwa treated kama mtoto mteule/mtoto mpendwa pale BongoRecords ama kwa jina jingine tunaweza muita 'The Special One', hata wasanii wenzake walilijua hilo kiasi cha kufikia kupeana maneno ya chinichini kwamba Majani anampendelea Nature, yaani Sir Nature akitaka kurekodi ngoma muda wowote ilikuwa ruksa, huku kina Fid Q wakipigwa danadana kwa zaidi ya miaka miwili.

Nadhani hii Majani hakuifanya kwa sababu ya urafiki wake na Nature tu, ni kwamba yeye kama mfanyabiashara alimuona ni mtu mwenye potential kubwa that's why akaamua kuinvest zaidi kwake, na kwakweli alifanikiwa maana show zote zilizowakutanisha wasanii wengi nilizofanikiwa kuzihudhuria enzi za 'uvulana' wangu kukiwepo jina la Juma Nature basi jua huyo ndie atakayefunga show, pamoja na vichwa kama Prof Jay kuwa na Hits kali, lakini wakikutana na Sir Nature kwenye show walikuwa wanasalimu amri tu hamna namna.

Je, ni kipi unadhani kilimfanya Sir Nature kuwa 'The Special One'? Ni zile Chorus zake kali? Flow yake? Sauti yake? Uswahili wake? Beat za Majani? Mashairi yake? Ila hapo kwenye lyrics namfananisha na mswahili mwenzake Inspector Haroun, siwezi muweka kwenye kundi la hao wakali hapo juu...View attachment 1483153
Kama. haujui nature ni kitengo zamani sana
 
No offence:
Mimi binafsi naonekanaga mpinzani
sikuwahi kuona ukali wake hata naonaga kawaida tu...Nature yuko overrated
 
Back
Top Bottom