Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,371
- 1,041
Kuna siku tulikuwa tumelala matanga kunajamaa akawa anaota anakimbia kumbe ndo anatenda kweli sasa huyu nae atakuwa upande gani kwenye kipengele cha kuuacha mwili wa kawaida na kuuchukua wa kiroho? Wajuvi mkuje huku