Ni kipi bora ambacho Nyerere hakuna wa kumlinganisha nae hadi sasa?

Ni kipi bora ambacho Nyerere hakuna wa kumlinganisha nae hadi sasa?

Unatoka mwanza unaenda ruvuma unaishi kama uko mwanza bila bughudha yoyote unaoa Kilimanjaro unaenda kuishi mbeya bila shida
Unatoka mbeya unaenda mwanza unaanzisha biashara bila tatizo
mzaramo hawezi kutoka Pwani na kwenda kuishi Kagera, akaweza kuishi kwa amani. Lazima atabaguliwa.
Kuna baadhi ya Jamii tena za makabila makubwa makubwa hapa Tanzania zinapenda kuwasiliana kwa lugha za makabila yao kuliko kutumia Kiswahili tena kwenye mazingira yaliyo na mchanganyiko wa watu kutoka makabila mbalimbali.
 
mzaramo hawezi kutoka Pwani na kwenda kuishi Kagera, akaweza kuishi kwa amani. Lazima atabaguliwa.
Kuna baadhi ya Jamii tena za makabila makubwa makubwa hapa Tanzania zinapenda kuwasiliana kwa lugha za makabila yao kuliko kutumia Kiswahili tena kwenye mazingira yaliyo na mchanganyiko wa watu kutoka makabila mbalimbali.
Hao wazaramo au watu wa pwani naona ni uvivu tu wa kutokutaka tu kwenda mikoa mingine iweje haya Makabila mengine yatapakae kila mahali isipokuwa watu wa pwani
 
Hao wazaramo au watu wa pwani naona ni uvivu tu wa kutokutaka tu kwenda mikoa mingine iweje haya Makabila mengine yatapakae kila mahali isipokuwa watu wa pwani
Kagera imejaa wenyeji wa Kagera, hata wazurulaji wa kichaga wameshindwa kuji establish kanda hiyo.
Sababu kubwa ni kwamba wenyeji wa Kagera ni wabaguzi
 
Kagera imejaa wenyeji wa Kagera, hata wazurulaji wa kichaga wameshindwa kuji establish kanda hiyo.
Sababu kubwa ni kwamba wenyeji wa Kagera ni wabaguzi
Je lindi, mtwara ,takavi , rukwa mbona pia wachaga hawapendi kwenda huko?
 
Je lindi, mtwara ,takavi , rukwa mbona pia wachaga hawapendi kwenda huko?
Watu wa huko nao changamoto. Niliwahi kukutana nao shuleni. Ukifika ule muda wa kula wao wanajikusanya pamoja kama kumbikumbi wote waliotoka mikoa ya kusini.
 
Kupigania uhuru tu. Ila suala la Muungano alifeli vibaya mno. Zenji leo ingekua mkoa wa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom