Kwanza swali lako lina maksi ngapi kabla sijaanza kulijibu. Limekaa kimtihani mtihani vile!Moja ya sifa kubwa aliyonayp binadamu ni utashi na mojawapo ya sifa ya utashi ni tafakuri na uamuzi....je katika historia ya maisha yako kiongozi gani hutamsahau (kwa mema au mabaya)?na kwa nini?