124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,494
kwani bangi nayo kinywaji?acha kuiharibu lugha yetu adhimu ya kiswahili!Kila kinywaji napiga mm ila sio bangi na madawa ya kulevya.
kwani bangi nayo kinywaji?acha kuiharibu lugha yetu adhimu ya kiswahili!Kila kinywaji napiga mm ila sio bangi na madawa ya kulevya.
Tafadhali mkuu...kwani bangi nayo kinywaji?acha kuiharibu lugha yetu adhimu ya kiswahili!
Mkuu tujuze madhara yake plz, manake na mimi addicted!Utapata madhara boss kuna padre alikua kila siku ya mungu lazma anywe coca moja ile chupa kubwa bila hiyo haezi fanya kitu alikua over addicted na ndio ikaja kumuua.. too much is harmful..atleast kunywa moja kwa siku tena zile coke zero
Maji
Sifongo? Ndo nini hiyoJuice ya sifongo
Siki!Sifongo? Ndo nini hiyo
Inapatikana wap ss?Siki!
Hi every one.
Mimi napenda kunywa kinywaji cha coca cola bila hiyo sijisikii vizuri kwa siku lazima ninywe 2 au 3 napenda sana coke.
cheap Roman vinegar wineInapatikana wap ss?
Thnks!cheap Roman vinegar wine