Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,670
Mfano unakuta kodi inakusanywa then kwa namba tu sio cash mpaka inafika serikari kuu pale hazina eg.BOT,
Unaweza kuta BOT nao wanahizinisha, kwa namba hizo hela kwenda kwenye miradi ila mwisho kabisa mtu anapokea Cash,
Au Serikari inavyoenda kukopa WB(Word Bank ) mi naamini hawapewi Cash, wanapewa minamba tu lakini mwisho wa siku mtu wa mwisho anapokea cash,
Nani alianzisha hiyo System, na nani anacontrol all the System katika Dunia hii,
Na Bank ya Dunia nani alianzisha, nani anaicontrol, Je kila nchi ina Acount yake pale Bank,
Nani anasimamia mzunguko wa hizo pesa za minamba namba huko Bank,
System nzima ya Dunia inavyojiendesha kuanzia utengenezaji wa hela, business Control,
Money transfer ni nani anasimamia.
Cc Zero IQ
Unaweza kuta BOT nao wanahizinisha, kwa namba hizo hela kwenda kwenye miradi ila mwisho kabisa mtu anapokea Cash,
Au Serikari inavyoenda kukopa WB(Word Bank ) mi naamini hawapewi Cash, wanapewa minamba tu lakini mwisho wa siku mtu wa mwisho anapokea cash,
Nani alianzisha hiyo System, na nani anacontrol all the System katika Dunia hii,
Na Bank ya Dunia nani alianzisha, nani anaicontrol, Je kila nchi ina Acount yake pale Bank,
Nani anasimamia mzunguko wa hizo pesa za minamba namba huko Bank,
System nzima ya Dunia inavyojiendesha kuanzia utengenezaji wa hela, business Control,
Money transfer ni nani anasimamia.
Cc Zero IQ