Ni kijikamua kunya manii hutoka je ni ugonjwa au kawaida?

Tofauti kati ya Madhiy na Manii hebu soma hapo chini hii ni faida kwa watu wote.

Manii
Shahawa (manii) ya mwanamume ni maji meupe mazito. Kwa mwanamke ni ya rangi ya manjano na mepesi. Manii kwa kawaida huwa ni maji yanayotokwa kwa mwanamume au mwanamke wakati wa kilele cha raha wakati wa mapenzi.

Sifa zifuatazo tatu ndizo zenye kujulisha manii ya mwanamume:
1. Kutoka kwake kunaambatana na kilele cha raha na kufuatilia uchovu.
2. Harufu yake ni kama chavuo (pollen) ya mtende ambayo huwa kama harufu ya unga uliokandwa.
3. Hutoka kwa kububujika kwa nguvu.

Mojawapo katika sifa hizo inatosha kutambulisha kuwa ni manii.
Ikiwa mtu ametokwa na maji na hazikupatikana sifa hizo basi hayatakuwa ni manii.

Sifa mbili za manii ya mwanamke:
1. Yana harufu kama harufu ya manii ya mwanamume.
2. Kutokwa kwake kunaambatana na hisia ya kilele cha raha na hufuatilia na uchovu.




Madhiy
Madhiy ni maji yenye kunata na yanamtoka mtu aidha anapokuwa anawaza au kutamani kujimai, au hata bila ya kuwaza kama ilivyo katika hali ya muulizaji. Na hazina sifa kama sifa za manii tulizozitaja hapo juu. Na pia huwatokea wanawake na wanaume ila aghlabu huwatokea sana wanawake.


B-Tofauti kuhusu ya hukumu yake baada ya kutokwa
Manii:

Yanapotoka manii, inampasa mtu akoge kwa ajili ya kujitoharisha (janaabah) ikiwa yamemtoka mtu manii wakati wa kujimai au kwa hali yoyote nyingine ikiwa yu macho au ameota ndoto n.k.

Madhiy

Yanapomtoka mtu madhiy humpasa kufanya aoshe tu kwa maji ajisafishe tu haipasi mtu kuoga.


Manii ni Tohara sio najisi.
Kwa vile manii ni tohara, basi yatakapoingia katika nguo hayafanyi nguo kuwa ni najisi, na anaweza mtu kuswalia nayo nguo hiyo. Lakini ni bora kuyafuta Hata kama inasemekana kuwa manii ni tohara, lakini ni bora kuyafuta,


Madhii ni najisi

Madhii yakiingia katika nguo inatosheleza kurashia maji juu yake kwa sababu kuepusha mashaka ya kuoga kila mara.
 
Mkuu Mama Mdogo jamaa angalisema anapo kojoa anaona kitu cheupe kinatoka na uume wake unauma kisha ndio anatoa mkojo

hapo tungelisema ni usaha lakini anatoka kitu mfano wa manii wakati anapokuwa anatoa haja kubwa kwa

kujiminya hiyo sio usaha bibie umekosea hapo. Kutoa kitu cheupe wakati wa kujiminya kwa kutoa haja kubwa ule

ute tunauita ni madhii sio manii wala sio usaha kwa Mwanamme yoyote yule ambaye hajafanya tendo la ngono

muda mrefu inaweza kumutokea sio maradhi ya zinaa ni kitu cha kawaida ila anaweza kwenda pia Hospitali

kupata ushauri zaidi.

Ndugu yangu Mzizi Mkavu asante kwa kunipa hiyo elimu dunia. Nami nimechimbua chimbua huku na huko na kupata data zinazounga mkono hoja yako, ubarikiwe. JF bwana we acha tu, ni kisima cha elimu.
 
Nakuonea gele utamu unaumwaga ovyo khaa. hizo in nyege hakuna lolote kama unabisha hebu tupetime table yako ya kushiriki tendo.
 
dah kuwa serias kidogo
20110829145853_ss-sperm.jpg
 
Kunya ni starehe, tena ni raha.
Ila mwenzetu unaburudika mara mbili, unapata raha ya kunya, pia unapata raha ya kupiga bao.
Laiti mimi ningekuwa wewe, hata ndoto ya kuoa ningeifutilia mbali, mke wa nini wakati mke huletwa na msosi?
 
Kunya ni starehe, tena ni raha.
Ila mwenzetu unaburudika mara mbili, unapata raha ya kunya, pia unapata raha ya kupiga bao.
Laiti mimi ningekuwa wewe, hata ndoto ya kuoa ningeifutilia mbali, mke wa nini wakati mke huletwa na msosi?

jf ni nouma, si mkubwa wala mdogo
 
Dah pole sana
Hata me ki2 km iyoh uwa ikinitokea ila utoeka pindi tu napo piga mgalala! Tatizho ilo ni kweli kabisa linamahusiano
Na kutofanya MAPENZI kwa kipindi kilefu!!
 
Pole sana.Na mimi nilikuwa nikipata tatizo hilo na badae napata maumivu juu ya korodani kunauma sana.Nikahangaika huku na kule.Bado huwa napata ila nadra sana.Kwanza si manii ni majimaji meupe toka kwenye tezi fulani nadhani ni prostate.Ukipata choo kubwa na nguvu inaminya hilo tezi na hayo maji yanatoka.Jaribu kufanya mambo yatakayokupelekea kupata choo laini na usisukume kwa nguvu sn.
 
Back
Top Bottom