Wakuu,
Nafanya utafiti mahala nataka kupata idea tu juu ya maamuzi yetu juu ya matumisi ya social media platform.
Hivi ni kigezo gani kinakufanya utumie facebook badala ya twitter or instagram, snapchat or any choices tunazotumia kumake decision ni zipi?
Au najua wengi tupo kwenye vyote hivyo why mtu unakuwa mitandao yote? Je ni services au ni marafiki au nini hasa?
Mara nyingi humu JF nasikia mnasema haya mambo peleka facebook, huwa nawaza why?
Nawashukuru angalau kwa kusoma tu. Hakuna jibu sahihi ni mtazamo wa kila mtu kivyake?
Nangu Mahwelu
Nafanya utafiti mahala nataka kupata idea tu juu ya maamuzi yetu juu ya matumisi ya social media platform.
Hivi ni kigezo gani kinakufanya utumie facebook badala ya twitter or instagram, snapchat or any choices tunazotumia kumake decision ni zipi?
Au najua wengi tupo kwenye vyote hivyo why mtu unakuwa mitandao yote? Je ni services au ni marafiki au nini hasa?
Mara nyingi humu JF nasikia mnasema haya mambo peleka facebook, huwa nawaza why?
Nawashukuru angalau kwa kusoma tu. Hakuna jibu sahihi ni mtazamo wa kila mtu kivyake?
Nangu Mahwelu