Ni kifungu gani kinamlazimisha mwanaume wa kikristo kuwa na mke mmoja?

Ndoa ya wake wengi haijawai kukatazwa na biblia bali kutokana na kuwa zilikuwa zinachangamoto na matatizo mengi kwa kipindi icho kanisa likawa linatoa muongozo katika ilo kwamba japo mke mmoja ni sahihi na anaweza kuepusha hiyo migogoro sawa na Mtume Paul alipokuwa anashauri watu wakiamua waoe kama hawawezi kuvumilia

Pia kanisa ndio kilikuwa chombo sahihi cha kuongoza jamii hivyo inawezekana yale waliyokuwa wanashauri ama kuyatolea ufafanuzi yakawa ndio muongozo hiyo ikapelekea kuonekana na kuchukuliwa kama sheria baada ya miaka mingi kupita

NB;kumbuka changamoto za ndoa zinatofautiana kwa kizazi na kizazi i.e ndio maana leo hii tuna changamoto ya wanawake kutaka kuwa sawa na sisi waume zao
 
WANAWAKE SABA...MME MMOJA !

ISAYA 4:1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema ,tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe,lakini tuitwe tu kwa jina lako,utuondolee aibu yetu.

A. SIFA TANO ZINAZOWATAMBULISHA WANAWAKE SABA
I. Wanawake Saba wanatarajia au wanakusudia kuolewa na mume mmoja.
II. Wanawake hawa watakula chakula chao inamaanisha hawatamtegemea mume mmoja.
III. Wanawake hawa pia watavaa nguo zao hawatamgemea mume mmoja
IV. Wanawake hawa wanachohitaji kingine ni kuitwa kwa jina la huyo mume mmoja
V. Kusudi kubwa la kutaka kuolewa na mume mmoja wakati wao wako saba Wanachohitaji ni kuondolewa aibu yao

B. JE MWANAMKE KATIKA UNABII HUWAKILISHA NINI?
Mwanamke huwakilisha kanisa ;
YEREMIA 6:2 Binti sayuni aliye mzuri, mwororo……
WAEFESO 5:25-27 Enyi wanaume wapendeni wake zenu ,kama Kristo naye alivyolipenda kanisa ,akajitoa kwa ajiri yake ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno. apate kujiletea kanisa tukufu ,lisilo na ila wala kunyanzi wala lolote kama hayo ,bali liwe takatifu lisilo na mawaa.

C. JE KWANINI KUNA WANAWAKE SABA NA SIO ZAIDI AU PUNGUFU
Namba Saba inamaana ya kutimiza au kukamilisha

D. JE WANAWAKE SABA HUWAKILISHA NINI?
Kwa sababu katika unabii mwanamke ni mfano wa kanisa , mwanamke safi akiwa kanisa safi na mwanamke muovu kanisa chafu. Hivyo wanawake saba huwakilisha makanisa mbalimbali yatakayotokea dunia.

E. JE MUME MMOJA ANAMWAKILISHWA NANI?
2 WAKORINTHO 11:2 Maana nawaonea wivu,wivu wa Mungu ;kwa kuwa kuwa naliwaposea mume mmoja,ili ni mletee Kristo bikira safi

MAELEZO MAFUPI
Mume mmoja hapa anamwakilisha Kristo,

F. JE CHAKULA WANACHOSEMA WATAJITEGEMEA HAO WANAWAKE KINAWAKILISHA NINI?
Chakula kinawakilisha -Neno la Mungu soma
MATHAYO 4:4 Naye akajibu, akasema imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu;
LUKA 22:19 Akatwa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema,[huu ndio mwili wangu uliotolewa kwa ajiri yenu fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu]

MAELEZO MAFUPI
Chakula ambacho hawa wanawake (makanisa) wanadai kujitegemea wenyewe bila kumtemea mume mmoja ambaye ni Yesu, huwakilisha mafundishisho mbalimbali yanayofundishwa kwenye hayo makanisa chanzo chake hayatokani na Kristo bali kila kanisa linajitegemea mafundisho yake.;

G. JE MAVAZI WANAYOVAA AU NGUO ZINAWAKILISHA NINI
Nguo nyeupe huwakilisha matendo mema ya wacha Mungu, na nguo chafu huwakilisha matendo maovu

H. JE NI AIBU YA AINA GANI WANAHITAJI IONDOLEWE?
I. Kama tulivyojifunza mwanamke huwakilisha kanisa hivyo wanawake wanawakilisha makanisa mbalimbali ya siku za mwisho kwa hiyo makanisa hayo yanachohitaji ni kutumia tu jina la Mungu au Yesu yaani. Ionekane tu kuwa nayo ni miongoni mwa Kanisa la Mungu, lakini uhalisia sio makanisa ya Mungu.kwa sababu mafundisho yanafundishwa humo hayatokani na Mungu mwenyewe ndio maana wanawake wanasema tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu wenyewe.
 
kimaandiko ni hivyo kama ulivyoleta reference toka kwenye biblia lakini when its come to real life kama tunaoa wake wengi tuu michepuko kama yote
 
WANAWAKE SABA...MME MMOJA !

ISAYA 4:1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema ,tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe,lakini tuitwe tu kwa jina lako,utuondolee aibu yetu.

A. SIFA TANO ZINAZOWATAMBULISHA WANAWAKE SABA
I. Wanawake Saba wanatarajia au wanakusudia kuolewa na mume mmoja.
II. Wanawake hawa watakula chakula chao inamaanisha hawatamtegemea mume mmoja.
III. Wanawake hawa pia watavaa nguo zao hawatamgemea mume mmoja
IV. Wanawake hawa wanachohitaji kingine ni kuitwa kwa jina la huyo mume mmoja
V. Kusudi kubwa la kutaka kuolewa na mume mmoja wakati wao wako saba Wanachohitaji ni kuondolewa aibu yao

B. JE MWANAMKE KATIKA UNABII HUWAKILISHA NINI?
Mwanamke huwakilisha kanisa ;
YEREMIA 6:2 Binti sayuni aliye mzuri, mwororo……
WAEFESO 5:25-27 Enyi wanaume wapendeni wake zenu ,kama kristo naye alivyolipenda kanisa ,akajitoa kwa ajiri yake ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno. apate kujiletea kanisa tukufu ,lisilo na ila wala kunyanzi wala lolote kama hayo ,bali liwe takatifu lisilo na mawaa.

C. JE KWANINI KUNAWANAWAKE SABA NA SIO ZAIDI AU PUNGUFU
Namba Saba inamaana ya kutimiza au kukamilisha

D. JE WANAWAKE SABA HUWAKILISHA NINI?
Kwa sababu katika unabii mwanamke ni mfano wa kanisa , mwanamke safi akiwa kanisa safi na mwanamke muovu kanisa chafu. Hivyo wanawake saba huwakilisha makanisa mbalimbali yatakayotokea dunia.

E. JE MUME MMOJA ANAMWAKILISHWA NANI?
2 WAKORINTHO 11:2 Maana nawaonea wivu,wivu wa Mungu ;kwa kuwa kuwa naliwaposea mume mmoja,ili ni mletee Kristo bikira safi

MAELEZO MAFUPI
Mume mmoja hapa anamwakilisha Kristo,

F. JE CHAKULA WANACHOSEMA WATAJITEGEMEA HAO WANAWAKE KINAWAKILISHA NINI?
Chakula kinawakilisha -Neno la Mungu soma
MATHAYO 4:4 Naye akajibu, akasema imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu;
LUKA 22:19 Akatwa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema,[huu ndio mwili wangu uliotolewa kwa ajiri yenu fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu]

MAELEZO MAFUPI
Chakula ambacho hawa wanawake (makanisa) wanadai kujitegemea wenyewe bila kumtemea mume mmoja ambaye ni Yesu, huwakilisha mafundishisho mbalimbali yanayofundishwa kwenye hayo makanisa chanzo chake hayatokani na Kristo bali kila kanisa linajitegemea mafundisho yake.;

G. JE MAVAZI WANAYOVAA AU NGUO ZINAWAKILISHA NINI
Nguo nyeupe huwakilisha matendo mema ya wacha Mungu, na nguo chafu huwakilisha matendo maovu

H. JE NI AIBU YA AINA GANI WANAHITAJI IONDOLEWE?
I. Kama tulivyojifunza mwanamke huwakilisha kanisa hivyo wanawake wanawakilisha makanisa mbalimbali ya siku za mwisho kwa hiyo makanisa hayo yanachohitaji ni kutumia tu jina la Mungu au Yesu yaani. Ionekane tu kuwa nayo ni miongoni mwa Kanisa la Mungu, lakini uhalisia sio makanisa ya Mungu.kwa sababu mafundisho yanafundishwa humo hayatokani na Mungu mwenyewe ndio maana wanawake wanasema tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu wenyewe.
Hii comment yako imenifanya nijifunze kitu ambacho sijawahi kukiwaza.

Ahsante sana.
 
Huo ni utaratibu uliojengeka kwenye dhehebu la ki-Kristo na hata kwenye hati/cheti cha ndo kuna sehemu unaulizwa kama hii ndoa ni ya aina gani? mke mmoja au wengi? so hayo ni mapokeo ya dini tulizoletewa. Babu zetu wengi wao na hata baadhi ya makabila wanaofunga ndoa za kimila wanaoa wake zaidi ya mmoja.
 
Hi Ladies, gentlemen and baharias
Naomba nieleweke kuwa lengo langu si kupingana na hili bali nataka tu kueleweshwa. Katika kusoma kwangu biblia sijaona sehemu inayozuia mtu kuwa na wake zaidi ya mmoja, hata katika kusikiliza na kusoma mafundisho mbalimbali sijawahi kuona hoja yenye uzito ila naamini hapa nitapata majibu....nitaweka hapa baadhi ya hoja ambazo huwa zinatolewa

1. Uumbaji. Ukisoma Mwanzo sura ya pili Mungu alipomuumba mwanadamu aliumba mwanaume kisha kutoka kwenye ubavu wa mwanaume akamuumba mwanamke kwa hiyo Mungu alimpa Adamu mke mmoja. Lakini je kulikuwa na haja ya kuumba wanawake wengine wakati wanaenda kuzaana? Ina maana alimaliza kila kitu kwenye hizo sample mbili, ndio maana hatuoni aliumba mzungu, mwarabu, mwafrika n.k Na kama jambo hilo ni haramu kiasi hicho mbele za Mungu kwa nini aliruhusu watakatifu wale wa zamani mf. Yakobo, Daudi na wengineo kuwa na wake zaidi ya mmoja?
2. Mafundisho ya Bwana Yesu. Baadhi ya mafundisho yanayorejewa ni

Mathayo 19:4, 5
4 Akawajibu: “Je, hamkusoma kwamba yule aliyewaumba tangu mwanzo aliwaumba mwanamume na mwanamkea 5 na kusema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’

Hapa Bwana Yesu alikuwa anajibu kuhusu talaka, lakini mimi nadhani mtu mmoja anaweza kuwa mwili mmoja na huyu na akawa mwili mmoja na mtu wa pili pia bila kuathiri muunganiko wa kwanza


3. Mafundisho ya Mtume Paulo
1 Wakorintho 7:2
2 lakini kwa sababu ya kuenea kwa uasherati,* kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewea na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

Hapa kilichokatazwa ni uasherati, sioni uhusiano wa idadi ya wanawake na hili andiko maana hata ukiwa nao wawili bado ni wake zako mwenyewe.

1Timotheo 3
1 Ni neno la kuaminiwa; mtu akitaka kazi ya askofu, atamani kazi njema. 2 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkarimu, ajuaye kufundisha; 3asiwe mtu wa kulewa, asiye dhalimu; bali awe mpole; asiwe mbishi wala asiwe mwenye kupenda fedha;.......
Hapa amezungumziwa askofu au mwangalizi wa kanisa, je kama sio askofu? KItu kingine kinachonitatiza hapa ni kuwa Paulo alikuwa anazungumzia watu wanaoamini (kanisa), anaposema askofu awe mwanaume wamke mmoja in maana katika kanisa kuna watu wenye wake zaidi ya mmoja? kwa sababu ni wazi askofu hawezi kutoka nje ya kanisa bali miongoni mwa haohao waumini.
Kama hawapo watu wasio na mke mmoja kwa nini aliweka hicho kigezo?

Samahani siko vizuri kwenye kuandika na kupangilia hoja lakini nadhani mmenielewa.

NB; Nimejikita upande mmoja wa wanaume ili tusitoke kwenye mlengo wa mada

Kwenye 1 WaFalme 11:1-3, kwa nini Suleiman alikuwa na wake 700 na Masuria 300, kinyume cha amri ya Mungu ya kwenye Kumb 17:17?

Jibu: Kumbukumbu 17:17 inasema mfalme asiwe na wake wengi, na kwa kitendo hicho, Suleiman alifanya dhambi. Kuoa wake ilikuwa ni njia ya kuimarisha ushirikiano na falme nyingine, lakini pia ilikuwa ni makosa kutokumtii Mungu. 1 Fal 11:1-6 inasema kuwa Suleiman alifanya dhambi kwa kuoa hawa wake wageni, na kuugeuzia moyo wake kuwa mbali na Mungu.


1 Wafalme 11: 1-11

1 Mfalme Sulemani akawapenda wanawake wengi wageni, pamoja na binti yake Farao, wanawake wa Wamoabi, na wa Waamoni, na wa Waedomi, na wa Wasidoni, na wa Wahiti,

2 na wa mataifa Bwana aliyowaambia wana wa Israeli, Msiingie kwao, wala wasiingie kwenu; kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu kuifuata miungu yao. Sulemani akaambatana nao kwa kuwapenda.

3 Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo.

4 Maana ikawa, Sulemani alipokuwa mzee, wake zake wakamgeuza moyo wake, afuate miungu mingine, wala moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana, Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake.

5 Kwa kuwa Sulemani akamfuata Ashtorethi, mungu mke wa Wasidoni na Milkomu, chukizo la Waamoni.

6 Sulemani akafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wala hakumfuata Bwana kwa utimilifu, kama Daudi baba yake.

7 Sulemani akamjengea Kemoshi, chukizo la Wamoabi, mahali pa juu, katika mlima uliokabili Yerusalemu, na Moleki, chukizo la wana wa Amoni.

8 Na kadhalika ndivyo alivyowafanyia wake zake wa nchi za kigeni, waliofukiza uvumba, wakawatolea miungu yao dhabihu.

9 Basi Bwana akamghadhibikia Sulemani kwa sababu moyo wake umegeuka, naye amemwacha Bwana, Mungu wa Israeli, aliyemtokea mara mbili,

10 akamwamuru katika habari ya jambo lilo hilo asifuate miungu mingine; lakini yeye hakuyashika aliyoyaamuru Bwana.

11 Kwa hiyo Bwana akamwambia Sulemani, Kwa kuwa umefanya hayo, wala hukuyashika maagano yangu, na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme usiwe wako, nami nitampa mtumishi wako.
 
Unapindua maandiko bwana wee
WANAWAKE SABA...MME MMOJA !

ISAYA 4:1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema ,tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe,lakini tuitwe tu kwa jina lako,utuondolee aibu yetu.

A. SIFA TANO ZINAZOWATAMBULISHA WANAWAKE SABA
I. Wanawake Saba wanatarajia au wanakusudia kuolewa na mume mmoja.
II. Wanawake hawa watakula chakula chao inamaanisha hawatamtegemea mume mmoja.
III. Wanawake hawa pia watavaa nguo zao hawatamgemea mume mmoja
IV. Wanawake hawa wanachohitaji kingine ni kuitwa kwa jina la huyo mume mmoja
V. Kusudi kubwa la kutaka kuolewa na mume mmoja wakati wao wako saba Wanachohitaji ni kuondolewa aibu yao

B. JE MWANAMKE KATIKA UNABII HUWAKILISHA NINI?
Mwanamke huwakilisha kanisa ;
YEREMIA 6:2 Binti sayuni aliye mzuri, mwororo……
WAEFESO 5:25-27 Enyi wanaume wapendeni wake zenu ,kama kristo naye alivyolipenda kanisa ,akajitoa kwa ajiri yake ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno. apate kujiletea kanisa tukufu ,lisilo na ila wala kunyanzi wala lolote kama hayo ,bali liwe takatifu lisilo na mawaa.

C. JE KWANINI KUNAWANAWAKE SABA NA SIO ZAIDI AU PUNGUFU
Namba Saba inamaana ya kutimiza au kukamilisha

D. JE WANAWAKE SABA HUWAKILISHA NINI?
Kwa sababu katika unabii mwanamke ni mfano wa kanisa , mwanamke safi akiwa kanisa safi na mwanamke muovu kanisa chafu. Hivyo wanawake saba huwakilisha makanisa mbalimbali yatakayotokea dunia.

E. JE MUME MMOJA ANAMWAKILISHWA NANI?
2 WAKORINTHO 11:2 Maana nawaonea wivu,wivu wa Mungu ;kwa kuwa kuwa naliwaposea mume mmoja,ili ni mletee Kristo bikira safi

MAELEZO MAFUPI
Mume mmoja hapa anamwakilisha Kristo,

F. JE CHAKULA WANACHOSEMA WATAJITEGEMEA HAO WANAWAKE KINAWAKILISHA NINI?
Chakula kinawakilisha -Neno la Mungu soma
MATHAYO 4:4 Naye akajibu, akasema imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu;
LUKA 22:19 Akatwa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema,[huu ndio mwili wangu uliotolewa kwa ajiri yenu fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu]

MAELEZO MAFUPI
Chakula ambacho hawa wanawake (makanisa) wanadai kujitegemea wenyewe bila kumtemea mume mmoja ambaye ni Yesu, huwakilisha mafundishisho mbalimbali yanayofundishwa kwenye hayo makanisa chanzo chake hayatokani na Kristo bali kila kanisa linajitegemea mafundisho yake.;

G. JE MAVAZI WANAYOVAA AU NGUO ZINAWAKILISHA NINI
Nguo nyeupe huwakilisha matendo mema ya wacha Mungu, na nguo chafu huwakilisha matendo maovu

H. JE NI AIBU YA AINA GANI WANAHITAJI IONDOLEWE?
I. Kama tulivyojifunza mwanamke huwakilisha kanisa hivyo wanawake wanawakilisha makanisa mbalimbali ya siku za mwisho kwa hiyo makanisa hayo yanachohitaji ni kutumia tu jina la Mungu au Yesu yaani. Ionekane tu kuwa nayo ni miongoni mwa Kanisa la Mungu, lakini uhalisia sio makanisa ya Mungu.kwa sababu mafundisho yanafundishwa humo hayatokani na Mungu mwenyewe ndio maana wanawake wanasema tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu wenyewe.
 
WANAWAKE SABA...MME MMOJA !

ISAYA 4:1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema ,tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe,lakini tuitwe tu kwa jina lako,utuondolee aibu yetu.

A. SIFA TANO ZINAZOWATAMBULISHA WANAWAKE SABA
I. Wanawake Saba wanatarajia au wanakusudia kuolewa na mume mmoja.
II. Wanawake hawa watakula chakula chao inamaanisha hawatamtegemea mume mmoja.
III. Wanawake hawa pia watavaa nguo zao hawatamgemea mume mmoja
IV. Wanawake hawa wanachohitaji kingine ni kuitwa kwa jina la huyo mume mmoja
V. Kusudi kubwa la kutaka kuolewa na mume mmoja wakati wao wako saba Wanachohitaji ni kuondolewa aibu yao

B. JE MWANAMKE KATIKA UNABII HUWAKILISHA NINI?
Mwanamke huwakilisha kanisa ;
YEREMIA 6:2 Binti sayuni aliye mzuri, mwororo……
WAEFESO 5:25-27 Enyi wanaume wapendeni wake zenu ,kama Kristo naye alivyolipenda kanisa ,akajitoa kwa ajiri yake ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno. apate kujiletea kanisa tukufu ,lisilo na ila wala kunyanzi wala lolote kama hayo ,bali liwe takatifu lisilo na mawaa.

C. JE KWANINI KUNAWANAWAKE SABA NA SIO ZAIDI AU PUNGUFU
Namba Saba inamaana ya kutimiza au kukamilisha

D. JE WANAWAKE SABA HUWAKILISHA NINI?
Kwa sababu katika unabii mwanamke ni mfano wa kanisa , mwanamke safi akiwa kanisa safi na mwanamke muovu kanisa chafu. Hivyo wanawake saba huwakilisha makanisa mbalimbali yatakayotokea dunia.

E. JE MUME MMOJA ANAMWAKILISHWA NANI?
2 WAKORINTHO 11:2 Maana nawaonea wivu,wivu wa Mungu ;kwa kuwa kuwa naliwaposea mume mmoja,ili ni mletee Kristo bikira safi

MAELEZO MAFUPI
Mume mmoja hapa anamwakilisha Kristo,

F. JE CHAKULA WANACHOSEMA WATAJITEGEMEA HAO WANAWAKE KINAWAKILISHA NINI?
Chakula kinawakilisha -Neno la Mungu soma
MATHAYO 4:4 Naye akajibu, akasema imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu;
LUKA 22:19 Akatwa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema,[huu ndio mwili wangu uliotolewa kwa ajiri yenu fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu]

MAELEZO MAFUPI
Chakula ambacho hawa wanawake (makanisa) wanadai kujitegemea wenyewe bila kumtemea mume mmoja ambaye ni Yesu, huwakilisha mafundishisho mbalimbali yanayofundishwa kwenye hayo makanisa chanzo chake hayatokani na Kristo bali kila kanisa linajitegemea mafundisho yake.;

G. JE MAVAZI WANAYOVAA AU NGUO ZINAWAKILISHA NINI
Nguo nyeupe huwakilisha matendo mema ya wacha Mungu, na nguo chafu huwakilisha matendo maovu

H. JE NI AIBU YA AINA GANI WANAHITAJI IONDOLEWE?
I. Kama tulivyojifunza mwanamke huwakilisha kanisa hivyo wanawake wanawakilisha makanisa mbalimbali ya siku za mwisho kwa hiyo makanisa hayo yanachohitaji ni kutumia tu jina la Mungu au Yesu yaani. Ionekane tu kuwa nayo ni miongoni mwa Kanisa la Mungu, lakini uhalisia sio makanisa ya Mungu.kwa sababu mafundisho yanafundishwa humo hayatokani na Mungu mwenyewe ndio maana wanawake wanasema tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu wenyewe.
Mungu akubariki sana mkuu nimeongeza kitu kichwani mwangu
 
Hi Ladies, gentlemen and baharias
Naomba nieleweke kuwa lengo langu si kupingana na hili bali nataka tu kueleweshwa. Katika kusoma kwangu biblia sijaona sehemu inayozuia mtu kuwa na wake zaidi ya mmoja, hata katika kusikiliza na kusoma mafundisho mbalimbali sijawahi kuona hoja yenye uzito ila naamini hapa nitapata majibu....nitaweka hapa baadhi ya hoja ambazo huwa zinatolewa

1. Uumbaji. Ukisoma Mwanzo sura ya pili Mungu alipomuumba mwanadamu aliumba mwanaume kisha kutoka kwenye ubavu wa mwanaume akamuumba mwanamke kwa hiyo Mungu alimpa Adamu mke mmoja. Lakini je kulikuwa na haja ya kuumba wanawake wengine wakati wanaenda kuzaana? Ina maana alimaliza kila kitu kwenye hizo sample mbili, ndio maana hatuoni aliumba mzungu, mwarabu, mwafrika n.k Na kama jambo hilo ni haramu kiasi hicho mbele za Mungu kwa nini aliruhusu watakatifu wale wa zamani mf. Yakobo, Daudi na wengineo kuwa na wake zaidi ya mmoja?
2. Mafundisho ya Bwana Yesu. Baadhi ya mafundisho yanayorejewa ni

Mathayo 19:4, 5
4 Akawajibu: “Je, hamkusoma kwamba yule aliyewaumba tangu mwanzo aliwaumba mwanamume na mwanamkea 5 na kusema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’

Hapa Bwana Yesu alikuwa anajibu kuhusu talaka, lakini mimi nadhani mtu mmoja anaweza kuwa mwili mmoja na huyu na akawa mwili mmoja na mtu wa pili pia bila kuathiri muunganiko wa kwanza


3. Mafundisho ya Mtume Paulo
1 Wakorintho 7:2
2 lakini kwa sababu ya kuenea kwa uasherati,* kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewea na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

Hapa kilichokatazwa ni uasherati, sioni uhusiano wa idadi ya wanawake na hili andiko maana hata ukiwa nao wawili bado ni wake zako mwenyewe.

1Timotheo 3
1 Ni neno la kuaminiwa; mtu akitaka kazi ya askofu, atamani kazi njema. 2 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkarimu, ajuaye kufundisha; 3asiwe mtu wa kulewa, asiye dhalimu; bali awe mpole; asiwe mbishi wala asiwe mwenye kupenda fedha;.......
Hapa amezungumziwa askofu au mwangalizi wa kanisa, je kama sio askofu? KItu kingine kinachonitatiza hapa ni kuwa Paulo alikuwa anazungumzia watu wanaoamini (kanisa), anaposema askofu awe mwanaume wamke mmoja in maana katika kanisa kuna watu wenye wake zaidi ya mmoja? kwa sababu ni wazi askofu hawezi kutoka nje ya kanisa bali miongoni mwa haohao waumini.
Kama hawapo watu wasio na mke mmoja kwa nini aliweka hicho kigezo?

Samahani siko vizuri kwenye kuandika na kupangilia hoja lakini nadhani mmenielewa.

NB; Nimejikita upande mmoja wa wanaume ili tusitoke kwenye mlengo wa mada
Kata rufaa kama kuna mtu kakutapeli ndoa kisha akatumia baibo kukuacha kwa kigezo cha mke mmoja wa kibiblia!
 
Back
Top Bottom