maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,142
- 15,130
Sasa hivi hali imekua ngumu ila zamani kuokota hela ilikua kawaida sana..mimi sintosahau siku niliokota laki moja na elfu tisini mwaka 2003 kwenye corridor ya jengo la utawala hospitali ya mkoa sumbawanga...sikulala siku hiyo na nilikua kila saa nazifungua kuziangalia...kesho yake nikaenda kununua simu ya Siemens kwa sh elfu sabini halafu laki moja nikaenda kufungua account NMB, zilizobaki nikajipongeza...
Je wewe ulishawahi kuokota kiasi gani kikubwa cha pesa unachokumbuka?
Je wewe ulishawahi kuokota kiasi gani kikubwa cha pesa unachokumbuka?