Mimi nahitaji trillion 1.5 tu.Habari ya humu wanajukwaa,
Kwangu mim kiasi ambacho nitaona nimetoboa kimaisha ni milioni 30 na kuendelea.
Nilikuwa nasubiria hili jibu.Ata izo investiment zinaitaji pesa pia
Dola 1Habari ya humu wanajukwaa,
Kwangu mim kiasi ambacho nitaona nimetoboa kimaisha ni milioni 30 na kuendelea.
Ukiaongelea kutoboa kimaisha unamaanisha kufanikiwa "kuwin" maisha?
Sidhani kama hata ukipewa million 100 utakuwa umeyawin maisha. Kuwin maisha hapategemei hela ingekuwa ni hivyo wanaopiga bingo za jackpot nk wangekuwa hawasumbuki na maisha tena.
Ili kuwin maisha unahitaji investments ambazo zimeweza kujisimamia zenyewe na sio hela.
Na je? Huko tayari kutoa rinda boxJamani mwenye uwezo wa kunipa $10000 aje pm
Oh! Kumbe Ni msaada tu wa bure bureUnaelewa maana ya msaada