Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,430
- 37,645
The boss uliona mbali.Watch my word here....
Tutakapopata rais mwingine wa ccm.....
Itakuwa .....bora kikwete kwa kweli.......
The boss uliona mbali.Watch my word here....
Tutakapopata rais mwingine wa ccm.....
Itakuwa .....bora kikwete kwa kweli.......
Uligonga penyewe, Kweli bora kikweteWatch my word here....
Tutakapopata rais mwingine wa ccm.....
Itakuwa .....bora kikwete kwa kweli.......
Kila anayepita ndo anakuwa bora kuliko aliyepo...........Kila mtu tutamkumbuka, lakini baada ya kustaafu.hhahahah watanzania ni watu wa ajabu sana,............
Kikwete wala hafai kabisa kuwa rais wa hii nchi. Mvivu wa mawazo, kiburi, hapendi ushauri...angekuwa rais shupavu wauza sembe wote pamoja na viongozi feki wote hapa nchini angewashikisha adabu na kutokomeza ujinga uliokithiri kila idara na sekta hapa nchini.
Ndio keshakuja ngosha sasa, lakini wavivu wa kufikiri wamemkumbuka
Vipi Bado yanaendelea kukomaa??tatizo si MARAISI tatizo ni chain ya CCM hata akipita magufuri na mwakyembe ambao labda jamii inajaribu kutupia imani zao lakini amini nakuambia mambo yatakuwa hayahaya tena nadhani yatazidi sababu yanaendelea kukomaaa.
Uliona mbali sana mkuu, raia kila siku wanaimba bora ya JK.Watch my word here....
Tutakapopata rais mwingine wa ccm.....
Itakuwa .....bora kikwete kwa kweli.......
Yaani una maana kwamba Tanzania tutapata rais worse than Kikwete? God forbid!
Me naona imefikia mahali 2kubaliane kwa pamoja kuwa serikali iliyopo madarakan imeshindwa kutekeleza majukum yake, coz inapofikia mahal ukaona ktk uongoz wako migomo ya mara kwa mara haish bac kimsingi ujue umeshindwa kutekeleza majukum yako! Leo hii mpaka watoto wa shule ya msing wanagoma wanalala barabaran eti ha2ondoki mpaka kieleweke..ths iz too much bhana, jiulize mtoto huyu lin amejua maana ya mgomo? 2mefikia pabaya rais anashidwa kutoa maamuz magum, hii nikumaanisha kuwa hafai kuwa kiongoz kwan hata kama unawapenda vp hao mafisad bt as tym goes on u hve 2 do something 4 ur nation! Kumbuka hata Mungu ali2penda sana bt ilifika mahal ilibid atoe maamuz magum kama ilivyotokea ktk kizaz cha NUHU as wel as SODOMA NA GOMORA!
Na JK ndiye aliyetupachikia JPM.Mkapa ndiye aliyetupachikia Kikwete. Alikuwa na nafasi ya kutupatia kiongozi mwenye ruuya lakini baada ya kutumbukia kwenye limbwi la ufisadi akawa compromised na Rostum na matokeo yake ndiyo haya tunayojutia hivi leo. He really let the country down.
YametimiaWatch my word here....
Tutakapopata rais mwingine wa ccm.....
Itakuwa .....bora kikwete kwa kweli.......
Na JK ndiye aliyetupachikia JPM.
Hakuna kitu kibaya kama Unafiki,sisi watanzania ni wanafiki tuliopitiliza,akija mwingine tutasema bora ya maguUliona mbali sana mkuu, raia kila siku wanaimba bora ya JK.
Vp bwana mkubwa@ Jamaa_Mbishi bado upoKikwete wala hafai kabisa kuwa rais wa hii nchi. Mvivu wa mawazo, kiburi, hapendi ushauri...angekuwa rais shupavu wauza sembe wote pamoja na viongozi feki wote hapa nchini angewashikisha adabu na kutokomeza ujinga uliokithiri kila idara na sekta hapa nchini.
Boss wewe ulisema kweliWatch my word here....
Tutakapopata rais mwingine wa ccm.....
Itakuwa .....bora kikwete kwa kweli.......
Naona umesikilizwa maoni yako.Kikwete wala hafai kabisa kuwa rais wa hii nchi. Mvivu wa mawazo, kiburi, hapendi ushauri...angekuwa rais shupavu wauza sembe wote pamoja na viongozi feki wote hapa nchini angewashikisha adabu na kutokomeza ujinga uliokithiri kila idara na sekta hapa nchini.