mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wanasheria naomba kuzijua ni kesi zipi mtumishi wa umma zinaweza kumsimamisha kazi zikifikishwa mahakamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madini wekeni hapa watu wa sheriaWanasheria naomba kuzijua ni kesi zipi mtumishi wa umma zinaweza kumsimamisha kazi zikifikishwa mahakamani?
fWanasheria naomba kuzijua ni kesi zipi mtumishi wa umma zinaweza kumsimamisha kazi zikifikishwa mahakamani?
Kusimamishwa kazi hizi sheria pamoja na kwamba zimetoa mwongozo huo lakini pia zimempa nguvu mwajiri kutoa uamuzi huo kwa kadiri yeye atakavyoona uzito wa kosa la mtumishi yaani(his/her own discretion),ndo maana pia utaona wapo watumishi wana jinai na kazi wanaendelea.(ukisoma vizuri standing order pamoja na sheria ya ajira na mahusiano kazini utalielewa hili vizuri)Kuna mtumishi wa umma alikamatwa kwa tuhuma za rushwa na kesi ipo mahakama ya kinondoni lakini mbona anaendelea na kazi?
Jinai inachunguzwa na polisi ila uzito wa tuhuma kwa mwaajiri makini anauwezo wa kuuona na kwa discretion yake akafanya maamuzi kwa maana sheria inampa nguvu mfano una mtumishi ana tuhuma ya rushwa ndogo na mwingine ana tuhuma ya kupigana akiwa bar na akasababisha majeruhi kwa mlalamikaji nani utamsimamisha kazi na nani utamuacha?,maana zote hizo ni jinai(jibu hapo kama unapewa discretion ya kufanya maamuzi utaangalia .wenye kosa zito kati ya hayo ndio utamsimamisha kazi)Na hii jinai huchunguzwa na Mwajiri au ni Jeshi la Polisi?
Sio kweli!sijui ila ninafikiri kuwa huwa mtumishi hasimamishwi kazi kabla ya hukumu ( maana ya mshahara) na kama ni madai hamna shida sana ila kama ni jinai na kifungo kikazidi miezi 6 utasimamishwa kazi, pia inategemea na aina ya lalamiko.
yule DC Wa itigi aliyeua mbona bado yupo ofisiniiiKuna mtumishi wa umma alikamatwa kwa tuhuma za rushwa na kesi ipo mahakama ya kinondoni lakini mbona anaendelea na kazi?
DC sio mtumishi wa umma. Watumishi wa umma ni wale walioajiriwa na Wizara ya Utumishi.yule DC Wa itigi aliyeua mbona bado yupo ofisiniii