sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Kero zaoa mara nyingi ni kuwa wavivu, kuvuta bangi, kukataa mimba, n.k.
umuhimu wao sasa.
mimi hawakubali sana maana ni kiboko ya nyodo
Hawa ndio wale wanajua kuwanyoosha vile vidada vi sley Queen vya mjini wanavipa mimba vinarudi bushi kulea.
Yani hao ndio wanajua kupunguza speed ya viruka njia
Ukijifanya mjuwaji wa kuchepuka na mabinti wa mtaani utachapiwa mkeo ama mtoto wako wa kike tena watapeana zamu.
Ukipenda sifa wanakupamba wewe unatoa pesa na bia una wanunulia mwenyewe
Usijaribu kuwadharau hawa madogo misheni town zote wanazijua
umuhimu wao sasa.
mimi hawakubali sana maana ni kiboko ya nyodo
Hawa ndio wale wanajua kuwanyoosha vile vidada vi sley Queen vya mjini wanavipa mimba vinarudi bushi kulea.
Yani hao ndio wanajua kupunguza speed ya viruka njia
Ukijifanya mjuwaji wa kuchepuka na mabinti wa mtaani utachapiwa mkeo ama mtoto wako wa kike tena watapeana zamu.
Ukipenda sifa wanakupamba wewe unatoa pesa na bia una wanunulia mwenyewe
Usijaribu kuwadharau hawa madogo misheni town zote wanazijua