Ni Katiba ya vyama vya siasa au katiba ya Nchi..

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Yapata miezi mitatu hivi iliyopita tumeshuhudia malumbano,matamko na kauli mbalimbali zikitolewa na viongozi wa kisiasa kutoka vyama mbalimbali vya siasa wakitoa misimamo yao juu ya namna ya kuandaa na hatimaye kupata katiba mpya.wapo pia wanaharakati,viongozi wa madhehebu ya dini na ht watu maarufu walowahi kushika madaraka makubwa hapa nchini ambao bado wana ushawishi ktk jamii.napongeza sana hatua hiyo ya kutoa michango ya mawazo ktk hili.hofu yangu ni kwamba,kadri siku zinavokwenda vyama vya siasa ndivyo vinakuwa na ushawishi mkubwa kwenye suala hili. Je,ni katiba ya vyama au ya nchi??nawasilisha.
 
Vyama vya siasa vinahalalishwa kuwa VYAMA iwapo tu vitakuwa na wanachama, na wanachama hawa LAZIMA wawe wana wa NCHI ambako vyama vya siasa vina oparate. Hivyo si dhambi kusema KATIBA ni mali ya vyama vya siasa, ingawa pia natambua kuna wana wa NCHI wasio kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa lakini bado wanafanya maisha yao chini ya Wana si hasa!
 
Back
Top Bottom