afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
majibu na kauli za sikio la kufa ndio hizi!
Maongezi ya mtu asiipenda kusikiliza kauli za wengine ndio hizi..
weekend njema..
majibu na kauli za sikio la kufa ndio hizi!
Embu nenda bana. . . na mimi natoka kabla sijalambwa ban.
...TAZAMA UKU...Mume anamla mke makalio
...TAZAMA KULE...Baba anamtafuna bintie wa kumzaa
...NJOO UKU...Wanaume wanaoana ...Wanawake wanatafunana
...NENDA KULE...Mapadre/Masheikh wanalawiti watoto na vijana
...SIMAMA HAPA...Ufisadi kila kona ya nchi... Maskini wananyanyaswa na matajiri wachache
... SHANGAA HILI... Hakuna tena maadili kuanzia kuongea mpaka kuvaa... Hakuna tofauti ya mwanaume na mwanamke
...HATA HILI PIA LIPO... Maradhi yenye majina na yasiyokuwa na majina yamejaa... Vifo ni kila kukicha
... CHA AJABU... Binadamu hatushtuki... Ndio kwanza tunakaza buti kuiendea laana
...HUKUMU YETU NI IPI... Gharika au moto?
... TUNASTAHILI ZOTE...
Mkuu heri ya mwaka mpya aise
We unataka photo za hayo mambo upeleke wapi
Kwani kila siku si unayaona huko mtaani na kwenye vyombo vya habari
Neema inapozidi binadamu hujisahau na kufanya mambo wanayojisikia,lakini dawa ya yote haya ipo yaja cha msingi ni mimi na wewe kujiweka katika hali ya usafi kiroho mpaka wakati huo ili kuepuka adhabu..ni kweli kabisa.
Longtime sana&[HASHTAG]#8203[/HASHTAG];na baaaaaaado
Duh! Achana na hayo mapicha picha ya ajabuDuh.. nimefngua uzi haraka nikijua ni pilau.. na maphoto ya uchi teh teh.!!!
Sawa mkuuDuh! Achana na hayo mapicha picha ya ajabu