Uchaguzi 2020 Ni Kanda ya Ziwa ila maji tunapata kwa masaa na unataka tukupigie kura tena?

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,653
Mimi ni mkazi wa Kanda ya Ziwa ila tunachangamoto kubwa ya maji.

Maji maji maji ni janga kubwa sana kanda ya ziwa.

Cha kwanza awamu hii gharama ya maji imepanda sana na maji yenyewe ni ya shida.

Hebu imagine ziwa lipo within 30 km ila maji mnapewa kwa mgao. Kuna maeneo mwanza hii, maji yanapatikana usiku tu. Sasa afadhali na uko. Kuna pengine maji yanafunguliwa mara moja kwa wiki.

Hawa wabunge tuliochagua Mwanza wakina " Mabula"ndyo bure kabisa. Hawana msaada wowote. Wamekaa bungeni miaka 5 hoja zao ni kusifia tu huku wakisahau changamoto za waliowachagua wakijali masilai yao na ya aliyewateua.

Mbali na maji, barabara vumbi za mwanza ndyo hovyo kabisa.

Umekaribia uchaguzi ndyo wamezikwangua kihuni huni tu. Mvua imepiga mara moja tu kwisha, mabonde kuinama kama kawaida.

Sasa ni hivi, kura mtapigiwa na mandege mliyonunua..fulu stopu.
 
Mimi ni mkazi wa kanda ya ziwa ila tunachangamoto kubwa ya maji.

Cha kwanza awamu hii gharama ya maji imepanda sana na maji yenyewe ni ya shida.

Hebu imagine ziwa lipo within 30 km ila maji mnapewa kwa mgao. Kunamaeneo mwanza hii maji yanapatikana usiku tu. Sasa afadhali na uko. Kuna pengine maji yanafunguliwa mara moja kwa wiki.

Hawa wabunge tuliochagua ndyo bure kabisa. Mbali na maji ila barabara vumbi ndyo hovyo kabisa. Umekaribia uchaguzi ndyo wamezikwangua kihuni huni tu mvua imepiga mara moja tu kwisha mabonde kuinama kama kawaida.

Sasa ni hivi, kura mtapigiwa na mandege mliyonunua.
Upo kanda ya ziwa mkoa gani??, Ni ngumu sana nyani kuridhika anapovamia shamba la mahindi.
 
Hebu imagine ziwa lipo within 30 km ila maji mnapewa kwa mgao. Kunamaeneo mwanza hii maji yanapatikana usiku tu. Sasa afadhali na uko. Kuna pengine maji yanafunguliwa mara moja kwa wiki.

Swali gumu sana kwa watetezi na wafia chama wasiojali Maendeleo ya Watu na wao kupenda sana Maendeleo ya Vitu yasiyo na mguso kwa watu wote, maana maji tajiri, masikini, kiongozi, mkulima n.k wote tunayahitaji kuliko bombadier n.k

Hoja hizi wanaLumumba wa CCM Mpya watasema ni 'matusi', 'kejeli' n.k kwa mujibu wa lugha yao Mpya ya utawala wa awamu ya Tano.
 
Yani mtu akiwa nje ya mkoa wa Mwanza anaweza kudhani Mwanza mambo Safi sn kumbe ni hovyo kabisa maji ni shida yanakatika katika bila mpangilio...... Maeneo ya jirani kabisa na jijini hawana maji hawana Umeme....

Serikali ya hovyo sn hii
Hapa chato Hakuna maji ya bomba,watu wanachota maji ya matumizi kwenye ziwa Victoria .Katoro mjini ambayo upo buserere wilaya ya chato ,Hakuna maji ya bomba watu wanachota na kunywa maji ya visima vifupi naziwa Victoria lipo KMS chache tu,Ila hakuna maji.

Sembuse mwanza jiji kubwa. Kupiga Kura mwaka huu lazima mtanzania ujithadhimini Sana kabla hujapiga Kura , tunadanganywa na miradi mikubwa Ila wananchi wanateseka Sana kuanzia chato Hadi mtwara.
 
Hapa chato Hakuna maji ya bomba,watu wanachota maji ya matumizi kwenye ziwa Victoria .Katoro mjini ambayo upo buserere wilaya ya chato ,Hakuna maji ya bomba watu wanachota na kunywa maji ya visima vifupi naziwa Victoria lipo KMS chache tu,Ila hakuna maji.
sembuse mwanza jiji kubwa. Kupiga Kura mwaka huu lazima mtanzania ujithadhimini Sana kabla hujapiga Kura , tunadanganywa na miradi mikubwa Ila wananchi wanateseka Sana kuanzia chato Hadi mtwara.
Ona sasa..chato watu hawana maji ila wanataa za barabarani. Na uwanja wa ndege wanajengewa.

Then aseme wapinzani wanatumika na mabeberu wakati ujinga wanafanya wenyewr
 
Back
Top Bottom