marcs JF-Expert Member Nov 2, 2016 1,067 570 Mar 4, 2022 #1 wakuu niambieni ni ipi kampuni ambayo unaweza kuagiza bidha kutoka nje ya nchi na ukaipata bila rongo rongo na kwa bei nzuri
wakuu niambieni ni ipi kampuni ambayo unaweza kuagiza bidha kutoka nje ya nchi na ukaipata bila rongo rongo na kwa bei nzuri
Kitimoto JF-Expert Member Aug 25, 2012 4,981 4,627 Mar 4, 2022 #2 Zote 3 yaani Ebay, Amazon na AliExpress
kizaizai JF-Expert Member Mar 31, 2010 5,339 6,494 Mar 4, 2022 #4 Tatizo mzigo ukifika Bongo wahuni wengi. Posta nao wamekua wezi.
MoneyHeist4 JF-Expert Member Jul 10, 2017 2,105 3,068 Mar 4, 2022 #6 Mzigo kutoka nje sio shida, tatizo linaanza mzigo ukishafika Tz hasa posta. Utashangaa ukimya kama wote.
Mzigo kutoka nje sio shida, tatizo linaanza mzigo ukishafika Tz hasa posta. Utashangaa ukimya kama wote.