Habari za pilika pilika wakuu??? Niende kwenye mada moja kwa moja.
Kuna gari 4 aina ya Nissan Patrol Y60 na Y61 hizi gari zinakodishwa sasa swali langu je kuna kampuni au taasisi ambayo huwa wanakodi magari??? Nikimaanisha gari ziwe zinakodiwa kutoka kwenye kampuni yetu???? Gari zinapatikana Dar es salaam.
Karibuni kwa ushauri.
Kuna gari 4 aina ya Nissan Patrol Y60 na Y61 hizi gari zinakodishwa sasa swali langu je kuna kampuni au taasisi ambayo huwa wanakodi magari??? Nikimaanisha gari ziwe zinakodiwa kutoka kwenye kampuni yetu???? Gari zinapatikana Dar es salaam.
Karibuni kwa ushauri.