Hank_31
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 855
- 2,110
Hahahahha kijana, umenifurahisha sana na swali lako, but kifupi ni kua huwezi kuishi na mwanamke bila mikwaruzono hata kidogo, as long as nyie ni binadamu hicho kitu hakiwezi tokea labda mbadilike muwe malaika.
Na pia kumbuka kukosekana kwa mikwaruzano hata kidogo katika mahusiano ni dalili ya kutojaliana ( mahusiano yaliyo kufa).
Angalizo; dont try to be a perfectionist in relationship, otherwise you will die hard.
Na pia kumbuka kukosekana kwa mikwaruzano hata kidogo katika mahusiano ni dalili ya kutojaliana ( mahusiano yaliyo kufa).
Angalizo; dont try to be a perfectionist in relationship, otherwise you will die hard.