Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,074
- 975
Jamaani naombeni utaratibu wa kuchukua fedha kwenye mpesa au tigopesa hasa baada ya ndugu yangu kuaga dunia ,mfano watu walioungua moto morogoro wakati wakichota mafuta je ndugu zao watazipataje hizo fedha walizoweka kwenye simu?