Ni jinsi gani naweza kupata kipato kwa kuendesha E-Learning?

stivii

JF-Expert Member
Nov 5, 2013
222
143
Habari wadau,

Naomba kufahamu ni kwa namna gani naweza kupata kipato cha kuendesha maisha yangu kupitia E-Learning site.

Nina idea ya E-Learning ambayo soon itakuwa hewani, kila kitu kipo tayari upande wa content.

Nachoomba kusaidiwa.
1. Niende kujisajili Brela, TIE au nijisajili kama NGO ili niwe rasmi?

2. Ni kwa namna gani naweza kutengeneza pesa bila kuwalipisha watu wataoingia maana target yangu ni wanafunzi na tunajua sio wote wanaweza kumudu gharama?

Wapi naweza pata msaada wa kupata fund za kutanua huduma na kukuza platform yangu?

Naomba ushauri wenu plz.

kcamp
Computer Virus
BLACK_HERMIT
Tanzania Tech
guru_observer
pirate
@zigi01
Chige
Castle
ISO M.CodD
KeyserSoze
Infantry Soldier

Na wengine mtie neno plz kijana wenu nijikwamue.
 
Wadhamini wapo,ila wanaopenda kuona umetatua tatizo gani kwenye jamii kupitia program yako. Nilifanya program hizi, nikavolunteer kwa Baadhi ya mashirika, hatimaye nikapewa tender
 
Wadhamini wapo,ila wanaopenda kuona umetatua tatizo gani kwenye jamii kupitia program yako. Nilifanya program hizi, nikavolunteer kwa Baadhi ya mashirika, hatimaye nikapewa tender

Mimi natatua ishu ya elimu yani access ya learning materials tena nalenga iwe free of charge.

Ebu nisaidie majibu ulipewa tender kama individual au NGO au kampuni? Maana pia sijui opportunity zinakuwa rahsi nikijilasimisha kama nani.
 
Sijui idea yako ila kuna mwenzako huyu hapa idea zenu zinaweza kufanana fanana. Naona yeye ameamua kupambana tu moja kwa moja kukuza channel yake YouTube ili ale hela za matangazo.

SYLMAS VISION FOR SCIENCE

Ya kwangu mimi sio virtual, hizo za YouTube ni gharama zinaitaji investment kubwa ili utoe kitu chenye kuvutia watazamaji.

Nitaenda virtual baadae kama nitakuwa na mtaji mkubwa.
 
Hongera sana mkuu kwa idea nzuri sana.

Majibu ya maswali yafuatayo yanaweza kutoa mwanga ni wapi uende kusajili organization yako na pia namna ya kupata fund.

1.Content zako ni za sekta gani? (Afya ya uzazi, afya kwa ujumla wake,elimu ya uraia, masomo ya sekondari,masomo ya msingi,masomo ya chuo,na kadhalika

2.Target yako ni watu gani? (Hili kimsingi litategemea content yako... eg wanafunzi wa msingi/sekondari, vijana,wanawake,wanandoa, etc)

3. Kama ni elimu ya "kitaaluma" au "kitaalamu" je utakua unatoa vyeti?

Kuhusu fund, fanya kui release kwanza waitumie hata watu 50, then unaweza kuwa unaomba funds kwa mashindano mbalimbali ya ubunifu... Mashindano ya aina hii sasa hivi yako mengi sana kwa ajili ya vijana wenye initiatives kama za kwako...
stivii
 
SWALI LA 1. Niende kujisajili Brela, TIE au nijisajili kama NGO ili niwe rasmi?
JIBU LANGU:
BRELA wanasajili majina ya biashara na makampuni. So, kama unataka kuendesha shughuli zako kibiashara zaidi (Kama kampuni) basi hatua ya kwanza jisajili Brela. NGOs zina mfumo wake wa uendeshaji, most of them zinakuwa ni Non-Profit, japo zipo ambazo ni For-Profit NGOs. Si vibaya kujisajili kama NGO as long as unajua namna NGOs zinavyofanya kazi.

Na, haijalishi utajisajili Brela au Wizara ya mambo ya ndani, au Wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto - kama unalenga kuyafanya maudhui yako (contents) yawe rasmi, basi huwezi kuikwepa TIE. Sijajua sana upande wa elimu, lakini nafikiri kuna vyombo vingine pia utakavyotakiwa kwenda navyo sawa ili maudhui yako yatambulike kama ni maudhui rasmi yanayofaa kwa matumizi ya elimu Tanzania.

Ningekuwa mimi, ningesajili Brela halafu naiendesha kama Startup, Education startup. Ningetafuta Co-Founder and off we go with what we have, right where we are, and do everything that we can kuikuza startup yetu.

SWALI LA 2. Ni kwa namna gani naweza kutengeneza pesa bila kuwalipisha watu wataoingia maana target yangu ni wanafunzi na tunajua sio wote wanaweza kumudu gharama?
JIBU LANGU: Kabla hujafikiria kutengeneza pesa, fikiria ni kwa namna gani utayafikisha maudhui yako (Contents) kwa walengwa. Kabla ya kupata pesa, kwanza ongeza thamani kwenye maisha ya watu - solve something disturbing them na wao in return watakuzawadia malipo ya pesa. Ni changamoto gani unayotatua? How painful is that problem? Well, unayo solution - sasa unaifikishaje kwa walengwa? Ukishajua hilo, kwa mfano kama ni website - how will you make sure wanafunzi wanaingia kwenye hiyo website yako. Ukifanikiwa kuwavutia wanafunzi wengi wakawa wanaingia on a regular basis... utakuwa umepiga hatua kubwa sana. Tayari utakuwa na traction, utakuwa na data ambazo ni hazina kubwa kwa age hii. Ukisha-gain traction sasa, hapo ndipo unaanza kufikiria namna ya ku-monetize; kwasababu tayari unajua kuwa product yako ina demand.

Otherwise, ni kutumia njia ambazo sio sustainable; mfano kutengeneza app halafu upate pesa kwa njia ya adverts, au kama hivyo YouTube upate pesa za adverts, kwasababu ku-monetize Website ambayo content zake ni Kiswahili sio kazi ndogo. Na hata kama contents ni za kiingereza, malipo ya traffic wa Kibongo ni kiduchu sana.

So, kwa sasa just focus on making your contents appealing. Boresha maudhui yako, na hakikisha unapata watumiaji wa kutosha. Ukifanikiwa kuvutia traffic ya kutosha unao uwezo wa ku-monetize kwa namna nyingi... mojawapo ni kutumia freemium model. Baadhi ya contents unatoa bure halafu zingine unatoa kwa wanao-subscribe kwa malipo kiasi fulani. Lakini kama utakuwa umejisajili kama NGO utakuwa na nguvu ya kuwashawishi donors kuku-fund ili uweze kuboresha site yako n.k. Na kama utakuwa unaendesha kama startup, utakuwa na data mkononi za kuwashawishi Angel investors, na donors pia kuwa huduma yako ni viable. Ukiwa na data, ni rahisi pia kuishawishi serikali na wadau wa elimu watie mikono yao. Fursa ziko nyingi.

SWALI LA 3. Wapi naweza pata msaada wa kupata fund za kutanua huduma na kukuza platform yangu?
JIBU LANGU: Ukijisajili kama NGO kuna unlimited donors ambao wanaitisha RFPs (Request for proposals) kila siku. Pia wapo ambao hawaitishi RFPs lakini ukiichonga paper yako vizuri, unapata fund. Cha msingi ni kuandaa paper iliyonyooka, then get busy networking - don't joke. Hudhuria makongamano, seminars, mikutano au chochote ambacho kinawakutanisha wadau wa elimu/ startups - na hakikisha unaondoka ukiwa ume-network na watu wawili-watatu. It helps sometimes.

Kama utaamua kuiendesha ki-startup, karibu sana. Huku inabidi uwe umejiandaa muda wote, kichwani ukiwa na elevetor pitch yako safi kabisa. Tafuta wadau ambao wako interested na masuala hayo, then wauzie wazo lako (Pitch to them). Jiandae kukutana na hapana za kutosha, jiandae kukosolewa sana, jiandae kuonekana umechelewa, jiandae kuonekana unaota - watakwambia ts impossible,... lakini wewe stick your eyes to the prize! Law of average inasema, kati ya wote utakaowauzia wazo lako - sio wote watakaokubali na sio wote watakaokataa. Lazima yupo mmoja ambae atakuwa tayari kukupa pesa inayohitajika, na huyo ndo unayemhitaji.

Lakini, unahitaji kujipanga kisawasawa. Pesa huwa hazitoki mifukoni mwa watu kirahisi rahisi,... kwanini wakupe wewe pesa? Actually, watu wako tayari kutoa pesa kwaajili ya project kama yako ila lazima wapate sababu za kwanini wakupe wewe. Mtaani tunaaminishana kuwa ukiwa na idea kali basi utapata donors,... well, mimi nadhani tunarahisisha mno mambo. Ni zaidi ya idea kali, kwasababu ukweli ni kwamba hakuna idea utakayotoka nayo wewe leo hii ambayo haipo online - maanake tayari kuna watu wengi wana idea kama yako. Kinachowatofautisha ni execution, nani amefanya nini na idea yake, hapo ndipo tunapopata wanaofanikiwa na wale wanaobaki kulalamika.

Nimalizie na lugha ya malkia kidogo: Donors don't trust great ideas, donors trust people behind great ideas. Can you execute? Prove it.
 
SWALI LA 1. Niende kujisajili Brela, TIE au nijisajili kama NGO ili niwe rasmi?
JIBU LANGU:
BRELA wanasajili majina ya biashara na makampuni. So, kama unataka kuendesha shughuli zako kibiashara zaidi (Kama kampuni) basi hatua ya kwanza jisajili Brela. NGOs zina mfumo wake wa uendeshaji, most of them zinakuwa ni Non-Profit, japo zipo ambazo ni For-Profit NGOs. Si vibaya kujisajili kama NGO as long as unajua namna NGOs zinavyofanya kazi.

Na, haijalishi utajisajili Brela au Wizara ya mambo ya ndani, au Wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto - kama unalenga kuyafanya maudhui yako (contents) yawe rasmi, basi huwezi kuikwepa TIE. Sijajua sana upande wa elimu, lakini nafikiri kuna vyombo vingine pia utakavyotakiwa kwenda navyo sawa ili maudhui yako yatambulike kama ni maudhui rasmi yanayofaa kwa matumizi ya elimu Tanzania.

Ningekuwa mimi, ningesajili Brela halafu naiendesha kama Startup, Education startup. Ningetafuta Co-Founder and off we go with what we have, right where we are, and do everything that we can kuikuza startup yetu.

SWALI LA 2. Ni kwa namna gani naweza kutengeneza pesa bila kuwalipisha watu wataoingia maana target yangu ni wanafunzi na tunajua sio wote wanaweza kumudu gharama?
JIBU LANGU: Kabla hujafikiria kutengeneza pesa, fikiria ni kwa namna gani utayafikisha maudhui yako (Contents) kwa walengwa. Kabla ya kupata pesa, kwanza ongeza thamani kwenye maisha ya watu - solve something disturbing them na wao in return watakuzawadia malipo ya pesa. Ni changamoto gani unayotatua? How painful is that problem? Well, unayo solution - sasa unaifikishaje kwa walengwa? Ukishajua hilo, kwa mfano kama ni website - how will you make sure wanafunzi wanaingia kwenye hiyo website yako. Ukifanikiwa kuwavutia wanafunzi wengi wakawa wanaingia on a regular basis... utakuwa umepiga hatua kubwa sana. Tayari utakuwa na traction, utakuwa na data ambazo ni hazina kubwa kwa age hii. Ukisha-gain traction sasa, hapo ndipo unaanza kufikiria namna ya ku-monetize; kwasababu tayari unajua kuwa product yako ina demand.

Otherwise, ni kutumia njia ambazo sio sustainable; mfano kutengeneza app halafu upate pesa kwa njia ya adverts, au kama hivyo YouTube upate pesa za adverts, kwasababu ku-monetize Website ambayo content zake ni Kiswahili sio kazi ndogo. Na hata kama contents ni za kiingereza, malipo ya traffic wa Kibongo ni kiduchu sana.

So, kwa sasa just focus on making your contents appealing. Boresha maudhui yako, na hakikisha unapata watumiaji wa kutosha. Ukifanikiwa kuvutia traffic ya kutosha unao uwezo wa ku-monetize kwa namna nyingi... mojawapo ni kutumia freemium model. Baadhi ya contents unatoa bure halafu zingine unatoa kwa wanao-subscribe kwa malipo kiasi fulani. Lakini kama utakuwa umejisajili kama NGO utakuwa na nguvu ya kuwashawishi donors kuku-fund ili uweze kuboresha site yako n.k. Na kama utakuwa unaendesha kama startup, utakuwa na data mkononi za kuwashawishi Angel investors, na donors pia kuwa huduma yako ni viable. Ukiwa na data, ni rahisi pia kuishawishi serikali na wadau wa elimu watie mikono yao. Fursa ziko nyingi.

SWALI LA 3. Wapi naweza pata msaada wa kupata fund za kutanua huduma na kukuza platform yangu?
JIBU LANGU: Ukijisajili kama NGO kuna unlimited donors ambao wanaitisha RFPs (Request for proposals) kila siku. Pia wapo ambao hawaitishi RFPs lakini ukiichonga paper yako vizuri, unapata fund. Cha msingi ni kuandaa paper iliyonyooka, then get busy networking - don't joke. Hudhuria makongamano, seminars, mikutano au chochote ambacho kinawakutanisha wadau wa elimu/ startups - na hakikisha unaondoka ukiwa ume-network na watu wawili-watatu. It helps sometimes.

Kama utaamua kuiendesha ki-startup, karibu sana. Huku inabidi uwe umejiandaa muda wote, kichwani ukiwa na elevetor pitch yako safi kabisa. Tafuta wadau ambao wako interested na masuala hayo, then wauzie wazo lako (Pitch to them). Jiandae kukutana na hapana za kutosha, jiandae kukosolewa sana, jiandae kuonekana umechelewa, jiandae kuonekana unaota - watakwambia ts impossible,... lakini wewe stick your eyes to the prize! Law of average inasema, kati ya wote utakaowauzia wazo lako - sio wote watakaokubali na sio wote watakaokataa. Lazima yupo mmoja ambae atakuwa tayari kukupa pesa inayohitajika, na huyo ndo unayemhitaji.

Lakini, unahitaji kujipanga kisawasawa. Pesa huwa hazitoki mifukoni mwa watu kirahisi rahisi,... kwanini wakupe wewe pesa? Actually, watu wako tayari kutoa pesa kwaajili ya project kama yako ila lazima wapate sababu za kwanini wakupe wewe. Mtaani tunaaminishana kuwa ukiwa na idea kali basi utapata donors,... well, mimi nadhani tunarahisisha mno mambo. Ni zaidi ya idea kali, kwasababu ukweli ni kwamba hakuna idea utakayotoka nayo wewe leo hii ambayo haipo online - maanake tayari kuna watu wengi wana idea kama yako. Kinachowatofautisha ni execution, nani amefanya nini na idea yake, hapo ndipo tunapopata wanaofanikiwa na wale wanaobaki kulalamika.

Nimalizie na lugha ya malkia kidogo: Donors don't trust great ideas, donors trust people behind great ideas. Can you execute? Prove it.
Mojawapo ya comments bora kabisa hapa JF. ASANTE sana mkuu. Watu kama nyinyi ndiyo mnaifanya JF iwe tofauti na mitandao mingine yote hapa Bongo
 
Hongera sana mkuu kwa idea nzuri sana.
Majibu ya maswali yafuatayo yanaweza kutoa mwanga ni wapi uende kusajili organization yako na pia namna ya kupata fund.
1.Content zako ni za sekta gani? (Afya ya uzazi, afya kwa ujumla wake,elimu ya uraia, masomo ya sekondari,masomo ya msingi,masomo ya chuo,na kadhalika
2.Target yako ni watu gani? (Hili kimsingi litategemea content yako... eg wanafunzi wa msingi/sekondari, vijana,wanawake,wanandoa, etc)
3. Kama ni elimu ya "kitaaluma" au "kitaalamu" je utakua unatoa vyeti?

Kuhusu fund, fanya kui release kwanza waitumie hata watu 50, then unaweza kuwa unaomba funds kwa mashindano mbalimbali ya ubunifu... Mashindano ya aina hii sasa hivi yako mengi sana kwa ajili ya vijana wenye initiatives kama za kwako...
stivii


1.Content zako ni za sekta gani?

Ni sekta ya elimu kwa sekondari na vyuo vya kati. Yani natoa suplimentary materials kusapoti wanachojifunza darasani.

2.Target yako ni watu gani?

Wanafunzi haswa wenye access ya kuingia mtandaoni kwa simu au computer.

3. Kama ni elimu ya "kitaaluma" au "kitaalamu" je utakua unatoa vyeti?

Kwa sasa nataka kusaidia easy access ya material mepesi ya kujisomea kwa wanafunzi. Ikiwezekana mfumo uwe friendly kwa wanafunzi kama ilivyokuwa wakati ule kwa vitabu vya Nyambali Nyangwine.

Kuhusu kutoa vyeti nikitu nakifikiria kwa baadae nikishakuwa vizuri niwe natoa online courses kama udemy coursera nikiwa na team wakati huo ya curriculum designing.

Nafikiri umepata picha.
 
SWALI LA 1. Niende kujisajili Brela, TIE au nijisajili kama NGO ili niwe rasmi?
JIBU LANGU:
BRELA wanasajili majina ya biashara na makampuni. So, kama unataka kuendesha shughuli zako kibiashara zaidi (Kama kampuni) basi hatua ya kwanza jisajili Brela. NGOs zina mfumo wake wa uendeshaji, most of them zinakuwa ni Non-Profit, japo zipo ambazo ni For-Profit NGOs. Si vibaya kujisajili kama NGO as long as unajua namna NGOs zinavyofanya kazi.

Na, haijalishi utajisajili Brela au Wizara ya mambo ya ndani, au Wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto - kama unalenga kuyafanya maudhui yako (contents) yawe rasmi, basi huwezi kuikwepa TIE. Sijajua sana upande wa elimu, lakini nafikiri kuna vyombo vingine pia utakavyotakiwa kwenda navyo sawa ili maudhui yako yatambulike kama ni maudhui rasmi yanayofaa kwa matumizi ya elimu Tanzania.

Ningekuwa mimi, ningesajili Brela halafu naiendesha kama Startup, Education startup. Ningetafuta Co-Founder and off we go with what we have, right where we are, and do everything that we can kuikuza startup yetu.

SWALI LA 2. Ni kwa namna gani naweza kutengeneza pesa bila kuwalipisha watu wataoingia maana target yangu ni wanafunzi na tunajua sio wote wanaweza kumudu gharama?
JIBU LANGU: Kabla hujafikiria kutengeneza pesa, fikiria ni kwa namna gani utayafikisha maudhui yako (Contents) kwa walengwa. Kabla ya kupata pesa, kwanza ongeza thamani kwenye maisha ya watu - solve something disturbing them na wao in return watakuzawadia malipo ya pesa. Ni changamoto gani unayotatua? How painful is that problem? Well, unayo solution - sasa unaifikishaje kwa walengwa? Ukishajua hilo, kwa mfano kama ni website - how will you make sure wanafunzi wanaingia kwenye hiyo website yako. Ukifanikiwa kuwavutia wanafunzi wengi wakawa wanaingia on a regular basis... utakuwa umepiga hatua kubwa sana. Tayari utakuwa na traction, utakuwa na data ambazo ni hazina kubwa kwa age hii. Ukisha-gain traction sasa, hapo ndipo unaanza kufikiria namna ya ku-monetize; kwasababu tayari unajua kuwa product yako ina demand.

Otherwise, ni kutumia njia ambazo sio sustainable; mfano kutengeneza app halafu upate pesa kwa njia ya adverts, au kama hivyo YouTube upate pesa za adverts, kwasababu ku-monetize Website ambayo content zake ni Kiswahili sio kazi ndogo. Na hata kama contents ni za kiingereza, malipo ya traffic wa Kibongo ni kiduchu sana.

So, kwa sasa just focus on making your contents appealing. Boresha maudhui yako, na hakikisha unapata watumiaji wa kutosha. Ukifanikiwa kuvutia traffic ya kutosha unao uwezo wa ku-monetize kwa namna nyingi... mojawapo ni kutumia freemium model. Baadhi ya contents unatoa bure halafu zingine unatoa kwa wanao-subscribe kwa malipo kiasi fulani. Lakini kama utakuwa umejisajili kama NGO utakuwa na nguvu ya kuwashawishi donors kuku-fund ili uweze kuboresha site yako n.k. Na kama utakuwa unaendesha kama startup, utakuwa na data mkononi za kuwashawishi Angel investors, na donors pia kuwa huduma yako ni viable. Ukiwa na data, ni rahisi pia kuishawishi serikali na wadau wa elimu watie mikono yao. Fursa ziko nyingi.

SWALI LA 3. Wapi naweza pata msaada wa kupata fund za kutanua huduma na kukuza platform yangu?
JIBU LANGU: Ukijisajili kama NGO kuna unlimited donors ambao wanaitisha RFPs (Request for proposals) kila siku. Pia wapo ambao hawaitishi RFPs lakini ukiichonga paper yako vizuri, unapata fund. Cha msingi ni kuandaa paper iliyonyooka, then get busy networking - don't joke. Hudhuria makongamano, seminars, mikutano au chochote ambacho kinawakutanisha wadau wa elimu/ startups - na hakikisha unaondoka ukiwa ume-network na watu wawili-watatu. It helps sometimes.

Kama utaamua kuiendesha ki-startup, karibu sana. Huku inabidi uwe umejiandaa muda wote, kichwani ukiwa na elevetor pitch yako safi kabisa. Tafuta wadau ambao wako interested na masuala hayo, then wauzie wazo lako (Pitch to them). Jiandae kukutana na hapana za kutosha, jiandae kukosolewa sana, jiandae kuonekana umechelewa, jiandae kuonekana unaota - watakwambia ts impossible,... lakini wewe stick your eyes to the prize! Law of average inasema, kati ya wote utakaowauzia wazo lako - sio wote watakaokubali na sio wote watakaokataa. Lazima yupo mmoja ambae atakuwa tayari kukupa pesa inayohitajika, na huyo ndo unayemhitaji.

Lakini, unahitaji kujipanga kisawasawa. Pesa huwa hazitoki mifukoni mwa watu kirahisi rahisi,... kwanini wakupe wewe pesa? Actually, watu wako tayari kutoa pesa kwaajili ya project kama yako ila lazima wapate sababu za kwanini wakupe wewe. Mtaani tunaaminishana kuwa ukiwa na idea kali basi utapata donors,... well, mimi nadhani tunarahisisha mno mambo. Ni zaidi ya idea kali, kwasababu ukweli ni kwamba hakuna idea utakayotoka nayo wewe leo hii ambayo haipo online - maanake tayari kuna watu wengi wana idea kama yako. Kinachowatofautisha ni execution, nani amefanya nini na idea yake, hapo ndipo tunapopata wanaofanikiwa na wale wanaobaki kulalamika.

Nimalizie na lugha ya malkia kidogo: Donors don't trust great ideas, donors trust people behind great ideas. Can you execute? Prove it.

Wooow! Ni kama nimeketi kwenye dawati napata shule kutoka kwa mkufunzi. Nimekosa neno la kuweka hapa.

Ubarikiwe sana mkuu kwa huu mchango wako. Thank you so much!
 
Back
Top Bottom