kamwendo
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 881
- 1,852
Upo dada? Nimekumiss SanaJust be a man.
Sisi wanawake huwa tunabipu. Ukibipika tunakupeleka resi unanyooka hivi hivi.
Upo dada? Nimekumiss SanaJust be a man.
Sisi wanawake huwa tunabipu. Ukibipika tunakupeleka resi unanyooka hivi hivi.
A-ha! she Suck!Kipindi nasoma chuo kuna mdada alitokea kunipenda mpka tunamaliza wote chuo mapenzi yetu yalikuwa moto moto ......
Baada ya kumaliza chuo mwenzangu akabahatika pata AJIRA bank kipindi yupo ndani ya ajira akapangaga nyumba tabata mimi still nipo home sina ajira akanishawishi nihamie kwakeee
Kipindi nipo kwake nilikuwa kama Bwege aisee anaweza rudi usiku manane na nisiseme kitu, anaweza asilale nyumbani sisemi kitu, unaweza kuta sms Kwene simu yake za wanaume wengine usiseme kitu lakini mwisho wa siku nilikujaga kumuibia milioni tatu nikafungua biashara
Nipo kakake. Niajeeeeee?Upo dada? Nimekumiss Sana
Asante.Aise umejibu kwa ufasaha sana. HONGERA.
Subutu. Mwanamme anatakiwa awe stern.Nipo tayari kusahihishwa.
Naamini kiongozi wa familia lazima awe equiped.
My common sense inaniambia mme atakuwa na feeling of inadequecy which will results to inferiority complex.
Mwanamke wa hivi anahitaji mwanaume anayejua kujishusha na awe wa maisha ya kimagharibi.
Wanawake wa aina hiyo hakuna siku hizi mkuu....hesabu maumivu tuKama anakupenda na mnapendana maisha yenu yatakuwa poa Sana, Ila kinyume chake itakuwa ni ubatili tu, mwanamke anaekuzidi kipato na maendeleo Kama hakupendi hamtafika mbali.
Inategemea kama alipata malezi mazuri na ni mcha Mungu,hutopata tabu kuishi nae kwani nafasi yake kama mwanamke ktk familia anaijua automatically.Huu ni mmoja kati ya mtihani mgumu sana kwa mwanaume pale unapoingia katika mahusiano na binti aliyekuzidi kimaendeleo kipato au
Unapokuwa na mchumba au mke ghafla amekuzidi kimaendeleo na yupo mbali zaidi yako
Wewe unajiona uko pale pale
Hebu tuambiane ni jinsi gani unaweza kudeal na such kind of woman maana wanaume wengi tukifikia hatua hii huwa tunapoteza mwelekeo
ukajiona mjanjaaaa.......so wewe ni mwizi....Kipindi nasoma chuo kuna mdada alitokea kunipenda mpka tunamaliza wote chuo mapenzi yetu yalikuwa moto moto ......
Baada ya kumaliza chuo mwenzangu akabahatika pata AJIRA bank kipindi yupo ndani ya ajira akapangaga nyumba tabata mimi still nipo home sina ajira akanishawishi nihamie kwakeee
Kipindi nipo kwake nilikuwa kama Bwege aisee anaweza rudi usiku manane na nisiseme kitu, anaweza asilale nyumbani sisemi kitu, unaweza kuta sms Kwene simu yake za wanaume wengine usiseme kitu lakini mwisho wa siku nilikujaga kumuibia milioni tatu nikafungua biashara