Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,932
Hezbolla hawaja wahi kushinda vita dhidi ya Israel.
Hakuna taifa la Kiarabu limewahi kushinda vita dhidi ya israel.
Waarabu ni watu wa ajabu sana.. hadi leo wanasema vita ya siku 6 eti walishinda.
Na mtapata tabu sana.
Israel anamkana Mungu wako/Yesu
Hautambui ukristo wako
Anakuona wewe ni taka taka tu usie na thamani yoyote,
Na bado unamkingia kifua,,