Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Upuuzi tu, waarabu wawashinde Waebrania halafu waendelee kuwepo hadi leo really?
Hii report ipo kwenye liblary ya jeshi la marekani wakielezea kila kitu kilichotokea haya soma upate kuelimika
 

Attachments

  • Screenshot_20240423-015219_Drive.jpg
    Screenshot_20240423-015219_Drive.jpg
    342.2 KB · Views: 0
  • Screenshot_20240423-015323_Drive.jpg
    Screenshot_20240423-015323_Drive.jpg
    684 KB · Views: 0
Unaongea upuuzi hao hezbollah walichapika sana sana bila matangazo kimyakimya.
Hata km walijaribu kujibu walikua hoi kwa kipigo.
Hii juzi tu waliingilia ugomvi wa Gaza na Israel wakapelekewa moto mpaka kwao huko.
Ndio Gaza ikafuatia.
Aliyeanza kupigwa ni hezbollah.
 
Back
Top Bottom