FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Serikali yetu pendwa inaendelea kuotesha maelfu ya mbegu za miti kwa ajili ya kupandwa, pendekezo langu wangekuwa wanapanda miti ya matunda inayodumu na kuchanua kama mipera, machenza, michungwa na kadhalika hata katikati ya majiji katika barabara badala ya miti isiyo zalisha matunda. Ila katika mahali pa kupumzikia ndio ipandwe miti ya kivuli.