masara
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,738
- 2,279
za jumapili yenu na mda huu wa A Jamii forum
Katika maisha kuanzia maisha ya udogo hadi hivi sasa naamini kuna jambo ambalo kiukweli ukilikumbuka unaishia kusimulia na ila wewe binafsi unakuwa na sintofaham.
JAMBO HILO LINAWEZA KUWA NI MAHUSIANO AU KUNYANYASWA. AU MAISHA AU JAMBO LOLOTE AMBALO UKILIWAZA KWA UNDANI UNAISHIA NA SINTOFAHAM NA KUSHANGAA TU.
Baada ya kukumbuka hilo/hayo mambo kuna kitu ukimwangalia mwingine unabaki kunyenyekea tu na kiburi kinakuisha na kukufanya kumueshim kila mtu.
Kwa upande wangu yapo mengi ila nitaandika machache.
1. Mimi kwetu ingawa ni maskini hasa, lakini baba yangu hakutaka nirudie shule hivyo akanipeleka shule ya private secondary.. hivyo kipindi niko kidato cha pili tulikuwa tunarudi kulala shule kwa ajiri ya kusoma. Na kwa vile mama hakuwepo tulikuwa tunajipikia.. nakumbuka siku moja kulikuwa na mboga, unga lakini mkaa kulikuwa hakuna. Hivyo nilipofika nyumba nikawasha kuni. Na kwa vile nilikuwa na njaa nikapika mboga halafu Ugali.kuni zilikuwa mbichi hivyo kipindi napika ugali hazikuweza kuwa na moto wa kutosha hivyo nikawa nabost/kuchochea na makaratasi ya boksi.. mwisho wa story ni kuwa ugali ulikuwa m-bichi. Ile namaliza tu kupika ugali m-bichi. Baba akafika na mdogo wangu ndio katoka shule mda huo. Kibaya zaidi mzee hakuwa na kitu/pesa kabisa na natakiwa saa 1. Jioni nirudi shule.. nakumbuka baba aliutenga ule ugali na tukaula.. mwisho mzee akatufariji kiana na ndio ikawa imetoka hivyo maana hakuwa na kitu kabisa..igawa leo sina uwezo lakini siko katika nafasi hiyo ya kuishiwa. Huwa nikikumbuka hivyo, naweza mwangalia mtu wa hali ya chini zaidi yangu halafu naishia kuwaza haya ni maisha tu. Na ndio kinanifanya kuwa mnyenyekevu zaidi kuliko hulka yangu.
2. Kuna siku katika utoto wangu.. nilikuwa napanda juu ya bati kupitia yale matoleo ya nyumba ukutani. Hivyo siku moja nikapanda kama kawaida.. ile nafika juu kabisa ili nishike bati. Tofauli ambalo nilikuwa nalitegemea liliachia hivyo nikaanguka na lenyewe likawa linanifata kwa juu.. inamaana lilitakiwa liangukie kwenye tumbo langu. Ukweli mpaka leo sijui kilifanyika nini, ila nakumbuka niangukia mgongo na lenyewe likangukia pembeni chini badala ya tumbuni... NIKIKUMBUKA NA NIKIWAANGALIA VILEMA BARABARANI HUWA NAKOSA LA KUSEMA
Naamini hata wewe unaweza kuwa na mengi ya kuongea ila unaweza andika hata moja tu nahisi tutajifunza jambo
NB. UNAWEZA ANDIKA HATA KISA CHA MAHUSIANO YA KIMAPENZI, ULIVYODHALILISHWA NA NDUGU.. N. K.
Katika maisha kuanzia maisha ya udogo hadi hivi sasa naamini kuna jambo ambalo kiukweli ukilikumbuka unaishia kusimulia na ila wewe binafsi unakuwa na sintofaham.
JAMBO HILO LINAWEZA KUWA NI MAHUSIANO AU KUNYANYASWA. AU MAISHA AU JAMBO LOLOTE AMBALO UKILIWAZA KWA UNDANI UNAISHIA NA SINTOFAHAM NA KUSHANGAA TU.
Baada ya kukumbuka hilo/hayo mambo kuna kitu ukimwangalia mwingine unabaki kunyenyekea tu na kiburi kinakuisha na kukufanya kumueshim kila mtu.
Kwa upande wangu yapo mengi ila nitaandika machache.
1. Mimi kwetu ingawa ni maskini hasa, lakini baba yangu hakutaka nirudie shule hivyo akanipeleka shule ya private secondary.. hivyo kipindi niko kidato cha pili tulikuwa tunarudi kulala shule kwa ajiri ya kusoma. Na kwa vile mama hakuwepo tulikuwa tunajipikia.. nakumbuka siku moja kulikuwa na mboga, unga lakini mkaa kulikuwa hakuna. Hivyo nilipofika nyumba nikawasha kuni. Na kwa vile nilikuwa na njaa nikapika mboga halafu Ugali.kuni zilikuwa mbichi hivyo kipindi napika ugali hazikuweza kuwa na moto wa kutosha hivyo nikawa nabost/kuchochea na makaratasi ya boksi.. mwisho wa story ni kuwa ugali ulikuwa m-bichi. Ile namaliza tu kupika ugali m-bichi. Baba akafika na mdogo wangu ndio katoka shule mda huo. Kibaya zaidi mzee hakuwa na kitu/pesa kabisa na natakiwa saa 1. Jioni nirudi shule.. nakumbuka baba aliutenga ule ugali na tukaula.. mwisho mzee akatufariji kiana na ndio ikawa imetoka hivyo maana hakuwa na kitu kabisa..igawa leo sina uwezo lakini siko katika nafasi hiyo ya kuishiwa. Huwa nikikumbuka hivyo, naweza mwangalia mtu wa hali ya chini zaidi yangu halafu naishia kuwaza haya ni maisha tu. Na ndio kinanifanya kuwa mnyenyekevu zaidi kuliko hulka yangu.
2. Kuna siku katika utoto wangu.. nilikuwa napanda juu ya bati kupitia yale matoleo ya nyumba ukutani. Hivyo siku moja nikapanda kama kawaida.. ile nafika juu kabisa ili nishike bati. Tofauli ambalo nilikuwa nalitegemea liliachia hivyo nikaanguka na lenyewe likawa linanifata kwa juu.. inamaana lilitakiwa liangukie kwenye tumbo langu. Ukweli mpaka leo sijui kilifanyika nini, ila nakumbuka niangukia mgongo na lenyewe likangukia pembeni chini badala ya tumbuni... NIKIKUMBUKA NA NIKIWAANGALIA VILEMA BARABARANI HUWA NAKOSA LA KUSEMA
Naamini hata wewe unaweza kuwa na mengi ya kuongea ila unaweza andika hata moja tu nahisi tutajifunza jambo
NB. UNAWEZA ANDIKA HATA KISA CHA MAHUSIANO YA KIMAPENZI, ULIVYODHALILISHWA NA NDUGU.. N. K.