Clever505 JF-Expert Member Jul 27, 2020 1,099 2,031 Jul 14, 2021 Thread starter #61 Asante mkuu kwa ushauri wako Bizzoo1 said: Ukiona anakutania kuhusu mimba jua iko njiani .kipimo hakizid huku 3 mwite mpime kama hana achana naye usitest sumu kwa kuilamba. Click to expand...
Asante mkuu kwa ushauri wako Bizzoo1 said: Ukiona anakutania kuhusu mimba jua iko njiani .kipimo hakizid huku 3 mwite mpime kama hana achana naye usitest sumu kwa kuilamba. Click to expand...
BOMBAY JF-Expert Member Apr 16, 2014 4,682 3,392 Jul 14, 2021 #62 Patra31 said: Wamepigwa wote Click to expand... Hapo ndio utamjua kiumbe aitwae mwanamke
Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Jul 27, 2017 7,915 13,382 Nov 1, 2021 #63 Mkuu ile mimba bado haijaonekana tuu!?
Satan JF-Expert Member Aug 9, 2017 1,188 1,714 Nov 2, 2021 #65 Pre-cum ni ute wa awali unaotoka kabla ya shahawa. Huwa na mbegu za uzazi. Ulishaweza kutunga ujauzito kabla ya kumwagia nje. Bibie ni mbinafsi sana. Anaangalia gisua zake bila kujali hatari iliyopo mbele yako. Yawekeni mahusiano yenu wazi na muendelee kuijaza dunia.
Pre-cum ni ute wa awali unaotoka kabla ya shahawa. Huwa na mbegu za uzazi. Ulishaweza kutunga ujauzito kabla ya kumwagia nje. Bibie ni mbinafsi sana. Anaangalia gisua zake bila kujali hatari iliyopo mbele yako. Yawekeni mahusiano yenu wazi na muendelee kuijaza dunia.