Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,508
Akiwa mkweli ndiyo itajulikana kama anayo au hana, vinginevyo nendeni Hospitali mkapime ili kupata uhakika zaidi, usiache kuleta mrejesho.
Kwangu mimi iyo pekee huwa ni sababu tosha kabisa ya kuvaa condom, akikataa condom ndo kama kanipa go ahead ya kuzivaa.Ni kwamba ukimtajia condom anacharuka hataki kabisaaaaa
😂😂😂😂😂😂 Wamepigwa woteMambo hayoView attachment 1850406
Hiyo Mambo ya kutumia kitu nje ilitushinda na wife! Tulipiga kimoja Cha taratiibu yaani tumekaa room tunaangalia tv huku abdalah kichwa wazi yupo ndani halafu hatumove lkn playing na tits, kisses fondling km saa nzima hivi, tunafuta tu utelezi!! Haaaaa mwenzangu yakamshinda tukapiga game hatari wakati wa kukojoa nikapigwa mkasi sikutoka. Baadaye tumemaliza anaruka umekojoa ndani uwiiii. Nikamuuliza ule mkasi ulifikiria Nini? Sasa Mtoto ana 2 yrs tayari na ni wa kike amezaliwa na shape Kama ya Mama yake yaani mpaka naogopa! So kamanda hiyo Mambo ya kukojoa nje achana nayo vaa kondom ukipige safe. Ukimaliza inuka kamwage mzigo wako mweeyewe condom hakikisha umeidump kunakohusika
Mambo mengine ni miyeyusho. Don Nalimison afanye DNA test na wewe ufanye DNA test tofauti yenu itakua ipi?Kila Mwezi weka 50000 account maalum baada ya miez kumi utakuwa na laki tano..ya kwenda ku bet hospital mpimwe DNA..SASA HV WE TULIA TENA IKIBIDI MWAMBIE KBS HUU MPANGO ILI KAMA SIO KWELI AJICHUJE MWENYEWE
NB:MIMBA HAILELEWI ANALELEWA MTOTO SASA UKIPIGWA MIZINGA HUKO KWA HII MIEZI TISA SISI HATUHUSIKI
Darmian
Extrovert
We una miaka mingapi mpaka unakimbia mimba kwa kisingizio cha kutokukubaliana?
Matendo yana matokeo.
Hiyo mimba ni matokeo. Mwanaume jitahidi kudeal na matokeo I dealt with mine nikiwa form four kama wewe unajiona bado mtoto.
Pia nakupa siri. Mwanamke akisema "Nipe mimba nitalea mwenyewe" na ukakubali subiri uone ni kivipi 'nitalea' inageuka 'utalea'
Ni ushauri mzuri pia huu, asanteKila Mwezi weka 50000 account maalum baada ya miez kumi utakuwa na laki tano..ya kwenda ku bet hospital mpimwe DNA..SASA HV WE TULIA TENA IKIBIDI MWAMBIE KBS HUU MPANGO ILI KAMA SIO KWELI AJICHUJE MWENYEWE
Ushauri umepitwa na wakatiCondom moja tu ingezuia kuingizwa mkenge au kuhisi kuingizwa mkenge.
Huo ndo ushauri wangu.
Nendeni hospitali kupima kama hamjui jinsi ya kujipima wenyewe.Habari zenu wanaJF!
Ni hivi, kuna msichana mmoja nilizoeana nae sana kipindi alipokuwa ameolewa. Kuna kipindi ndoa yao iliingia dosari akaachana na mumewe wakiwa na mtoto mmoja, kiufupi huyu msichana hakuwa na kosa la kuachwa Ila mumewe alifanya maamuzi haraka sana ya kumuacha kwa mambo ya
Si anataka mtoto, ataipenda aje?Ni kwamba ukimtajia condom anacharuka hataki kabisaaaaa
Ukiona anakutania kuhusu mimba jua iko njiani .kipimo hakizid huku 3 mwite mpime kama hana achana naye usitest sumu kwa kuilamba.Natamani awe ananitania kweli maana hapa nawaza sijui jamii yetu itanichukuliaje kwa kosa hili nililofanya
Asubuhi kisha kurudia mchana haimaanishi hapo kati hamna hamu ila ni kwamba nilikuwa katika juhudi za kuhakikisha shahawa zile zinazobaki ziwe zimetoka kabisa, kama angekuwa anakubali condom tusingekaa time yote hiyoKumwaga nje sio suluhisho
Kuna yale majimaji huwa yanatoka kabla ya shahawa zenyewe,ndani ya yale maji maji kuna vishahawa huwa vinajichomekamo.
Pia baada ya kumwaga kwenye ile njia kuna vishahawa huwa vinabaki
Mimba huwa inahitaji kimbegu kimoja tu.
Kama ulikuwa unapiga kimoja asubuh kurudia tena mpaka mchana jichunguze utakuwa na tatizo la nguvu za kiume,muda mrefu sana huosamahani lakini mkuu.kama nimekukosea