Huo u-DED wenyewe umekuwa wa kugawana kama njugu kwa ndugu, jamaa na marafiki, bila shaka kuna kigugumizi cha kuchukua hatua kinahusika hapo....angekuwa jaffo ashamaliza mchezo hapo.Mama sio lazima afanye kila kitu ndio maana anateua mawaziri ili wamsaidie. Mathalani hili suala la DED lipo chini ya TAMISEMI lakini waziri yupo kimya hata kukemea hajakemea au naye anasubiri maagizo kutoka juu?