Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,056
- 18,404
Mbona umekomaa na huyo mkurugenzi wakati Kuna gaidi moja lilikwiba 8.9 bilion michango ya wabunge na hakufukuzwa ofisini?Kuwa msimamizi wa uchaguzi hakumfanyi kuwa na mandate ya kufanya ubadhirifu wa mali za umma mkuu. Sheria ichukue mkondo wake