Mradi ni kada wa ccm hamna shida. Huko hakunaga msafi. Wote wezi tuMkurugenzi wa halmashauri ya gairo, bw Asajile Mwambambala aliyehusika katika wizi wa mabati zaidi ya 1100 mwaka huu mwezi wa saba alipaswa awe nje ya ofisi hadi muda huu. kwani kwa mujibu wa kanuni za maadili ya utumishi wa umma ni kosa kwa mtumishi yeyote wa serikali kujihusisha na wizi au ubadhirifu wa mali yoyote ya kiofisi au mali ya umma
Kwahiyo nilitegemea katika hatua za awali, wizara ya Tamisemi ambao ndio mamlaka yake ya nidhamu wawe wamemwandikia barua ya kumsimamisha kazi mara moja mkurugenzi huyo ili hatua zingine ziweze kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyatenda
Badala yake mkurugenzi huyo hadi muda huu bado yupo ofisini na mwezi huu wa tisa anasubiri kulipwa mshahara ambao kimsingi ni kodi ya wavuja jasho aliowaibia mabati.
Je, kitendo hiki cha DED kuendelea kubaki ofsini kinatoa tafsiri gani?
Au labda waziri mwenye dhamana anakubaliana na kitendo hicho kilichofanywa na DED ndio maana anachelewa kuchukua hatua?
Je, mamlaka zake za uteuzi na nidhamu kuchelewa kuchukua hatua ni kutengeneza mwanya wa kuja kumsafisha baadaye ionekane hakuhusika katika kufanya ubadhirifu?
Jambo hili ni nyeti usilete mambo ya siasa hapa. Unaambiwa mkurugenzi wewe unakurupuka na ccm ivi una akili..?
Utetezi wako ni dhaifu mno. Kwa mfano nchi ingekuwa imevamiwa, tungesubiri Rais amalize tour ndipo aje kufanya maamuzi?Pengine Royal tour ikiisha litafanyika jambo
Sio kila mtu ni takataka humu.Huyu ni kada mtiifu
Kama kweli aliiba na bado yuko ofisini basi OR Tamisemi haina kazi Waziri wake ajiuzulu leo leo hana sababu ya kuendelea kuwepo pale.mkurugenzi aliiba mabati
Je aliiba kweli ?hivi serious yupo anaendelea na kazi?
Na wewe unaichukulia siriasi comment yangu.Utetezi wako ni dhaifu mno. Kwa mfano nchi ingekuwa imevamiwa, tungesubiri Rais amalize tour ndipo aje kufanya maamuzi?
Nini maana ya Rais kuwa na wasaidizi? Waziri mkuu na waziri wa tamisemi wanafanya kazi gani kama hadi kila kitu anatakiwa afanye Rais? Vipi makamu wa Rais?
Hivi ccm kwa kulogana na kufanyiana fitna unawajua wewe ?Kwahiyo polisi walimsingizia?
Na kama hakuiba mbona kayarudisha
Acha roho mbaya mwenzako akifukuzwa kazi wewe unapata faida gani?wewe hujawai kuibaMkurugenzi wa halmashauri ya gairo, bw Asajile Mwambambala aliyehusika katika wizi wa mabati zaidi ya 1100 mwaka huu mwezi wa saba alipaswa awe nje ya ofisi hadi muda huu. kwani kwa mujibu wa kanuni za maadili ya utumishi wa umma ni kosa kwa mtumishi yeyote wa serikali kujihusisha na wizi au ubadhirifu wa mali yoyote ya kiofisi au mali ya umma
Kwahiyo nilitegemea katika hatua za awali, wizara ya Tamisemi ambao ndio mamlaka yake ya nidhamu wawe wamemwandikia barua ya kumsimamisha kazi mara moja mkurugenzi huyo ili hatua zingine ziweze kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyatenda
Badala yake mkurugenzi huyo hadi muda huu bado yupo ofisini na mwezi huu wa tisa anasubiri kulipwa mshahara ambao kimsingi ni kodi ya wavuja jasho aliowaibia mabati.
Je, kitendo hiki cha DED kuendelea kubaki ofsini kinatoa tafsiri gani?
Au labda waziri mwenye dhamana anakubaliana na kitendo hicho kilichofanywa na DED ndio maana anachelewa kuchukua hatua?
Je, mamlaka zake za uteuzi na nidhamu kuchelewa kuchukua hatua ni kutengeneza mwanya wa kuja kumsafisha baadaye ionekane hakuhusika katika kufanya ubadhirifu?
Wizara imemshinda huyo ODO wenu,hata temeke naye jokate naona ana kasirika kasirika tu.Mkurugenzi wa halmashauri ya gairo, bw Asajile Mwambambala aliyehusika katika wizi wa mabati zaidi ya 1100 mwaka huu mwezi wa saba alipaswa awe nje ya ofisi hadi muda huu. kwani kwa mujibu wa kanuni za maadili ya utumishi wa umma ni kosa kwa mtumishi yeyote wa serikali kujihusisha na wizi au ubadhirifu wa mali yoyote ya kiofisi au mali ya umma
Kwahiyo nilitegemea katika hatua za awali, wizara ya Tamisemi ambao ndio mamlaka yake ya nidhamu wawe wamemwandikia barua ya kumsimamisha kazi mara moja mkurugenzi huyo ili hatua zingine ziweze kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyatenda
Badala yake mkurugenzi huyo hadi muda huu bado yupo ofisini na mwezi huu wa tisa anasubiri kulipwa mshahara ambao kimsingi ni kodi ya wavuja jasho aliowaibia mabati.
Je, kitendo hiki cha DED kuendelea kubaki ofsini kinatoa tafsiri gani?
Au labda waziri mwenye dhamana anakubaliana na kitendo hicho kilichofanywa na DED ndio maana anachelewa kuchukua hatua?
Je, mamlaka zake za uteuzi na nidhamu kuchelewa kuchukua hatua ni kutengeneza mwanya wa kuja kumsafisha baadaye ionekane hakuhusika katika kufanya ubadhirifu?
Basi waibe tuMzee kwa sheria za utumishi hivi sasa huwezi kumsimamisha mtumishi kama ushahidi haujakamilika na hukumu haijatolewa. Hapo anaendelea kulipwa stahili zake zote mpaka huku rasmi itakapotolewa.
Kuiba ni jambo lingine na kuthibitika kuwa ni kweli ameiba ni suala lingine. Hizi hukumu za kukurupuka ndio mama samia alijikuta ana wafungwa zaidi ya 800 waliobambikiziwa kesi.Basi waibe tu
Kama wakiiba kura ni okay, fedha na mabati si vyao tu?Mkurugenzi wa halmashauri ya gairo, bw Asajile Mwambambala aliyehusika katika wizi wa mabati zaidi ya 1100 mwaka huu mwezi wa saba alipaswa awe nje ya ofisi hadi muda huu. kwani kwa mujibu wa kanuni za maadili ya utumishi wa umma ni kosa kwa mtumishi yeyote wa serikali kujihusisha na wizi au ubadhirifu wa mali yoyote ya kiofisi au mali ya umma
Kwahiyo nilitegemea katika hatua za awali, wizara ya Tamisemi ambao ndio mamlaka yake ya nidhamu wawe wamemwandikia barua ya kumsimamisha kazi mara moja mkurugenzi huyo ili hatua zingine ziweze kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyatenda
Badala yake mkurugenzi huyo hadi muda huu bado yupo ofisini na mwezi huu wa tisa anasubiri kulipwa mshahara ambao kimsingi ni kodi ya wavuja jasho aliowaibia mabati.
Je, kitendo hiki cha DED kuendelea kubaki ofsini kinatoa tafsiri gani?
Au labda waziri mwenye dhamana anakubaliana na kitendo hicho kilichofanywa na DED ndio maana anachelewa kuchukua hatua?
Je, mamlaka zake za uteuzi na nidhamu kuchelewa kuchukua hatua ni kutengeneza mwanya wa kuja kumsafisha baadaye ionekane hakuhusika katika kufanya ubadhirifu?
Kwani nyumbu maana yake Nini?Jambo hili ni nyeti usilete mambo ya siasa hapa. Unaambiwa mkurugenzi wewe unakurupuka na ccm ivi una akili..?