Ni jambo la kushangaza kwa Mkurugenzi aliyeiba mabati kuendelea kuwa ofisini hadi muda huu

Mkurugenzi wa halmashauri ya gairo, bw Asajile Mwambambala aliyehusika katika wizi wa mabati zaidi ya 1100 mwaka huu mwezi wa saba alipaswa awe nje ya ofisi hadi muda huu. kwani kwa mujibu wa kanuni za maadili ya utumishi wa umma ni kosa kwa mtumishi yeyote wa serikali kujihusisha na wizi au ubadhirifu wa mali yoyote ya kiofisi au mali ya umma

Kwahiyo nilitegemea katika hatua za awali, wizara ya Tamisemi ambao ndio mamlaka yake ya nidhamu wawe wamemwandikia barua ya kumsimamisha kazi mara moja mkurugenzi huyo ili hatua zingine ziweze kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyatenda

Badala yake mkurugenzi huyo hadi muda huu bado yupo ofisini na mwezi huu wa tisa anasubiri kulipwa mshahara ambao kimsingi ni kodi ya wavuja jasho aliowaibia mabati.

Je, kitendo hiki cha DED kuendelea kubaki ofsini kinatoa tafsiri gani?

Au labda waziri mwenye dhamana anakubaliana na kitendo hicho kilichofanywa na DED ndio maana anachelewa kuchukua hatua?

Je, mamlaka zake za uteuzi na nidhamu kuchelewa kuchukua hatua ni kutengeneza mwanya wa kuja kumsafisha baadaye ionekane hakuhusika katika kufanya ubadhirifu?
Mradi ni kada wa ccm hamna shida. Huko hakunaga msafi. Wote wezi tu
 
Pengine Royal tour ikiisha litafanyika jambo
Utetezi wako ni dhaifu mno. Kwa mfano nchi ingekuwa imevamiwa, tungesubiri Rais amalize tour ndipo aje kufanya maamuzi?

Nini maana ya Rais kuwa na wasaidizi? Waziri mkuu na waziri wa tamisemi wanafanya kazi gani kama hadi kila kitu anatakiwa afanye Rais? Vipi makamu wa Rais?
 
Utetezi wako ni dhaifu mno. Kwa mfano nchi ingekuwa imevamiwa, tungesubiri Rais amalize tour ndipo aje kufanya maamuzi?

Nini maana ya Rais kuwa na wasaidizi? Waziri mkuu na waziri wa tamisemi wanafanya kazi gani kama hadi kila kitu anatakiwa afanye Rais? Vipi makamu wa Rais?
Na wewe unaichukulia siriasi comment yangu.
 
Mkurugenzi wa halmashauri ya gairo, bw Asajile Mwambambala aliyehusika katika wizi wa mabati zaidi ya 1100 mwaka huu mwezi wa saba alipaswa awe nje ya ofisi hadi muda huu. kwani kwa mujibu wa kanuni za maadili ya utumishi wa umma ni kosa kwa mtumishi yeyote wa serikali kujihusisha na wizi au ubadhirifu wa mali yoyote ya kiofisi au mali ya umma

Kwahiyo nilitegemea katika hatua za awali, wizara ya Tamisemi ambao ndio mamlaka yake ya nidhamu wawe wamemwandikia barua ya kumsimamisha kazi mara moja mkurugenzi huyo ili hatua zingine ziweze kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyatenda

Badala yake mkurugenzi huyo hadi muda huu bado yupo ofisini na mwezi huu wa tisa anasubiri kulipwa mshahara ambao kimsingi ni kodi ya wavuja jasho aliowaibia mabati.

Je, kitendo hiki cha DED kuendelea kubaki ofsini kinatoa tafsiri gani?

Au labda waziri mwenye dhamana anakubaliana na kitendo hicho kilichofanywa na DED ndio maana anachelewa kuchukua hatua?

Je, mamlaka zake za uteuzi na nidhamu kuchelewa kuchukua hatua ni kutengeneza mwanya wa kuja kumsafisha baadaye ionekane hakuhusika katika kufanya ubadhirifu?
Acha roho mbaya mwenzako akifukuzwa kazi wewe unapata faida gani?wewe hujawai kuiba
 
Mzee kwa sheria za utumishi hivi sasa huwezi kumsimamisha mtumishi kama ushahidi haujakamilika na hukumu haijatolewa. Hapo anaendelea kulipwa stahili zake zote mpaka huku rasmi itakapotolewa.
 
Mkurugenzi wa halmashauri ya gairo, bw Asajile Mwambambala aliyehusika katika wizi wa mabati zaidi ya 1100 mwaka huu mwezi wa saba alipaswa awe nje ya ofisi hadi muda huu. kwani kwa mujibu wa kanuni za maadili ya utumishi wa umma ni kosa kwa mtumishi yeyote wa serikali kujihusisha na wizi au ubadhirifu wa mali yoyote ya kiofisi au mali ya umma

Kwahiyo nilitegemea katika hatua za awali, wizara ya Tamisemi ambao ndio mamlaka yake ya nidhamu wawe wamemwandikia barua ya kumsimamisha kazi mara moja mkurugenzi huyo ili hatua zingine ziweze kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyatenda

Badala yake mkurugenzi huyo hadi muda huu bado yupo ofisini na mwezi huu wa tisa anasubiri kulipwa mshahara ambao kimsingi ni kodi ya wavuja jasho aliowaibia mabati.

Je, kitendo hiki cha DED kuendelea kubaki ofsini kinatoa tafsiri gani?

Au labda waziri mwenye dhamana anakubaliana na kitendo hicho kilichofanywa na DED ndio maana anachelewa kuchukua hatua?

Je, mamlaka zake za uteuzi na nidhamu kuchelewa kuchukua hatua ni kutengeneza mwanya wa kuja kumsafisha baadaye ionekane hakuhusika katika kufanya ubadhirifu?
Wizara imemshinda huyo ODO wenu,hata temeke naye jokate naona ana kasirika kasirika tu.

Hawa kuna sehemu ziliwafaa Ili watabasamu muda wote,Sasa mnawapa sekta za kukunja sura na kuonana wabaya mnategemea nn.
Do ye yupoyupo tu
 
Mzee kwa sheria za utumishi hivi sasa huwezi kumsimamisha mtumishi kama ushahidi haujakamilika na hukumu haijatolewa. Hapo anaendelea kulipwa stahili zake zote mpaka huku rasmi itakapotolewa.
Basi waibe tu
 
Mkurugenzi wa halmashauri ya gairo, bw Asajile Mwambambala aliyehusika katika wizi wa mabati zaidi ya 1100 mwaka huu mwezi wa saba alipaswa awe nje ya ofisi hadi muda huu. kwani kwa mujibu wa kanuni za maadili ya utumishi wa umma ni kosa kwa mtumishi yeyote wa serikali kujihusisha na wizi au ubadhirifu wa mali yoyote ya kiofisi au mali ya umma

Kwahiyo nilitegemea katika hatua za awali, wizara ya Tamisemi ambao ndio mamlaka yake ya nidhamu wawe wamemwandikia barua ya kumsimamisha kazi mara moja mkurugenzi huyo ili hatua zingine ziweze kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyatenda

Badala yake mkurugenzi huyo hadi muda huu bado yupo ofisini na mwezi huu wa tisa anasubiri kulipwa mshahara ambao kimsingi ni kodi ya wavuja jasho aliowaibia mabati.

Je, kitendo hiki cha DED kuendelea kubaki ofsini kinatoa tafsiri gani?

Au labda waziri mwenye dhamana anakubaliana na kitendo hicho kilichofanywa na DED ndio maana anachelewa kuchukua hatua?

Je, mamlaka zake za uteuzi na nidhamu kuchelewa kuchukua hatua ni kutengeneza mwanya wa kuja kumsafisha baadaye ionekane hakuhusika katika kufanya ubadhirifu?
Kama wakiiba kura ni okay, fedha na mabati si vyao tu?

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom