Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,077
Maisha yamejaa mitihani, tunakosea na wakati mwingine tunashindwa kufanya masahihisho, hivi ungepewa nafasi ya kusahihisha makosa uliowahi kufanya maishani unadhani ni jambo Gani ungelifanyia mabadiliko kwa haraka na kwa nini?
Niwatakie Daku njema
Niwatakie Daku njema