Mycojkhan
JF-Expert Member
- Jul 12, 2024
- 803
- 1,498
Habari zenu Wakuu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Ratiba yangu Ya Muhimu kila Mwisho wa Mwezi ukifika Huwa Nacheki AFYA yangu (Napima na Magonjwa ya zinaa), na Afya ya akili na Vitu ambavyo ni Toxi kwenye Mwili wangu.
Kwangu Mimi Kila Mwisho wa Mwezi ukifika Na dili sana na Afya yangu .
Je, wewe huwa unadili na jambo gani Muhimu kila Mwisho wa Mwezi??
Ratiba yangu Ya Muhimu kila Mwisho wa Mwezi ukifika Huwa Nacheki AFYA yangu (Napima na Magonjwa ya zinaa), na Afya ya akili na Vitu ambavyo ni Toxi kwenye Mwili wangu.
Kwangu Mimi Kila Mwisho wa Mwezi ukifika Na dili sana na Afya yangu .
Je, wewe huwa unadili na jambo gani Muhimu kila Mwisho wa Mwezi??