Ni jambo gani la siri na kushangaza uliwahi kuambiwa?

Tamama

JF-Expert Member
Mar 15, 2016
887
1,096
Nakumbuka kipindi nasoma O-Level nilipataga rafiki (ke) mwenzangu kwao walikuwa maisha mazuri kidogo kipindi icho Baba ake anafanya kazi nje ya nchi kwa iyo akawa anaishi huko na mama ake rafki yangu wa kambo sababu mama mzazi alishafariki so likizo kubwa zote alikuwa anaenda aliko baba ake

Kuna siku tukajikuta tunapiga story kuhusu familia zetu sikuamini alivyonambia alibakwa na baba ake mzazi alipoenda kumtembelea likizo ya mwisho tena kwa kumshikia bastola kabisa niliogopa sana

Kwanza sikuamini kama yule mzee tena msomi anaeza kufanya unyama huo kwa binti yake na pia nikajiuliza rafiki yangu amepata wap ujasiri wa kunisimulia kitu cha aibu kama kile ila alinambia kinavyomtesa na ambavyo alitaman kupata mtu wa kumuelezea angalau apunguze machungu dah alilia ile siku mpaka nami machozi yakanitoka
 
Kuna msichana nilikua nampenda sana,nilimfuata kwa miaka km mi3 mfululizo mpaka akanizoea sana na kuanza kuonyesha upendo wa kwel kwangu ila akuwah kuruhusu sex mpka siku moja aliponikalisha chini na kuniambia kuwa yeye alikua muathirika wa ukimwi na alinipa kisa chote kuwa aliambukizwa na shangaz yake kwa makusidi tu kisa hawakupnda baba yake amuoe mama wa huyu rafiki angu,sikuamini mpaka aliponionesha arv na kuna siku alinambia nimsindikize kuchukua hzo arv,from there niliamn and alinambia ukwel kua alikua ananipnda sana ila akupenda kuniambukiza mimi,kwa sasa tumepotezana,mungu akujaalie maisha maref mamii H
 
Kuna msichana nilikua nampenda sana,nilimfuata kwa miaka km mi3 mfululizo mpaka akanizoea sana na kuanza kuonyesha upendo wa kwel kwangu ila akuwah kuruhusu sex mpka siku moja aliponikalisha chini na kuniambia kuwa yeye alikua muathirika wa ukimwi na alinipa kisa chote kuwa aliambukizwa na shangaz yake kwa makusidi tu kisa hawakupnda baba yake amuoe mama wa huyu rafiki angu,sikuamini mpaka aliponionesha arv na kuna siku alinambia nimsindikize kuchukua hzo arv,from there niliamn and alinambia ukwel kua alikua ananipnda sana ila akupenda kuniambukiza mimi,kwa sasa tumepotezana,mungu akujaalie maisha maref mamii H
Watu wana roho mbaya zaidi ya shetani. Huyo shangazi alifaidika nini baada ya kumuambukiza!
 
Nakumbuka kipindi nasoma O-Level nilipataga rafiki (ke) mwenzangu kwao walikuwa maisha mazuri kidogo kipindi icho Baba ake anafanya kazi nje ya nchi kwa iyo akawa anaishi huko na mama ake rafki yangu wa kambo sababu mama mzazi alishafariki so likizo kubwa zote alikuwa anaenda aliko baba ake

Kuna siku tukajikuta tunapiga story kuhusu familia zetu sikuamini alivyonambia alibakwa na baba ake mzazi alipoenda kumtembelea likizo ya mwisho tena kwa kumshikia bastola kabisa niliogopa sana

Kwanza sikuamini kama yule mzee tena msomi anaeza kufanya unyama huo kwa binti yake na pia nikajiuliza rafiki yangu amepata wap ujasiri wa kunisimulia kitu cha aibu kama kile ila alinambia kinavyomtesa na ambavyo alitaman kupata mtu wa kumuelezea angalau apunguze machungu dah alilia ile siku mpaka nami machozi yakanitoka
kweli wanawake hamna siri , na wewe umeamua kuja kusema hapa upunguze machungu sio
 
Kuna msichana nilikua nampenda sana,nilimfuata kwa miaka km mi3 mfululizo mpaka akanizoea sana na kuanza kuonyesha upendo wa kwel kwangu ila akuwah kuruhusu sex mpka siku moja aliponikalisha chini na kuniambia kuwa yeye alikua muathirika wa ukimwi na alinipa kisa chote kuwa aliambukizwa na shangaz yake kwa makusidi tu kisa hawakupnda baba yake amuoe mama wa huyu rafiki angu,sikuamini mpaka aliponionesha arv na kuna siku alinambia nimsindikize kuchukua hzo arv,from there niliamn and alinambia ukwel kua alikua ananipnda sana ila akupenda kuniambukiza mimi,kwa sasa tumepotezana,mungu akujaalie maisha maref mamii H
Pole sana kwa kumpoteza mamii H pia alikupenda.
 
Kuna msichana nilikua nampenda sana,nilimfuata kwa miaka km mi3 mfululizo mpaka akanizoea sana na kuanza kuonyesha upendo wa kwel kwangu ila akuwah kuruhusu sex mpka siku moja aliponikalisha chini na kuniambia kuwa yeye alikua muathirika wa ukimwi na alinipa kisa chote kuwa aliambukizwa na shangaz yake kwa makusidi tu kisa hawakupnda baba yake amuoe mama wa huyu rafiki angu,sikuamini mpaka aliponionesha arv na kuna siku alinambia nimsindikize kuchukua hzo arv,from there niliamn and alinambia ukwel kua alikua ananipnda sana ila akupenda kuniambukiza mimi,kwa sasa tumepotezana,mungu akujaalie maisha maref mamii H
maskini poleee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom