Ni ipi sahihi kwa wanaume

Mlasani

Senior Member
Nov 29, 2012
113
28
Mara nyingi nimekuwa nikisikia maoni na mitizamo ya watu kuhusu uvaaji wa vyupi na boxer kwa wanaume. Baadhi ya watu wanasema vyupi vinaharibu uume na kupunguza nguvu sabau ya joto na kumbana sana mheshimiwa sana, wengine wanasema vyupi vinasaidia wale wenye vijogoo vya kuwika kila mara. Je ni kipi Sahihi kati ya vyupi na boxer?
 
Haya waje wajuaji watupe maujuzi BOSS uko wapi ebu njoooooooooo huku..
 
Mara nyingi nimekuwa nikisikia maoni na mitizamo ya watu kuhusu uvaaji wa vyupi na boxer kwa wanaume. Baadhi ya watu wanasema vyupi vinaharibu uume na kupunguza nguvu sabau ya joto na kumbana sana mheshimiwa sana, wengine wanasema vyupi vinasaidia wale wenye vijogoo vya kuwika kila mara. Je ni kipi Sahihi kati ya vyupi na boxer?

Maoni na mitazamo ya watu juu ya vitu mbalimbali huwa ni tofauti sana. Nakushauri tafuta hasara na faida za ch** na boxer then upime mwenyewe kipi kina hasara zaidi na kipi kina faida zaidi. Baada ya hapo waweze kufanya maamuzi. Za kuambiwa, changanya na za kwako!!!
 
kuvaaa chupi mambo ya anasa hayo na joto la dar tabu yote ya nini?hiyo kitu inatakiwa ipate hewa bana:target:
 
By who? Dark City, ombeni jukwaa la Jando Mfundishe yoote huko

Mkuu huwa unabaka mada saana!
mara nyingi unakurupuka mno kuchangia mambo usiyoyajua ambayo ni ya kitaalamu! testes huwa zipo nje kwani sperm production inahitaji joto la (33-35) degree Centigrade mwili wa binadamu huwa ni 37degree Centigrade hivyo kama testes zingekuwa ndani ya mwili ni dhahiri sperm zingekuwa denatured.

Pia elewa testes zako zina-control joto baada ya
(kende)scrotum (which expands and contracts to facilitate heat transfer na ndio maana kuna wakati unakuta kende zako zimesinyaa sana) and heat exchange between blood flowing into the testes via the arteries in the spermatic cord, and that flowing out of the testes via the veins in the spermatic cord. This results in the pre-cooling of blood entering the testes, although the pre-cooling mechanism can only regulate testicular temperature to an extent.

Unapovaa nguo nyingi ndani au nguo za kubana ndani kama chu*, skin tight huwa zinaongeza joto ndani zaidi ya (33-35) degree Centigrade lile ambalo lina-favor sperm production, hivyo sperm huwa denatured. Ndio maana wataalamu wanashauri boxer ndonzuri manake ziko wazi zinaingiza hewa ya kutosha na haziongezi joto!

Pia chup, skin tight huwa huwa inaathiri p.e.n.i.s kwa kubana muscles na blood vessel za p.e.n.i.s wakati ime-erect na kufanya blood circulation isifanyike vyema!

sasa bwana kongosho nakushangaa eti unamwambia huyo kilaza mwenzako anifundishe jando mimi na wewe nani wa kufundishwa!?
 
sasa si ungetoa brief baba? Tuhurumie tunaotumia blackberry zenye line 4.

But as far as i know, as long as ni cotton (for breathing na kumaintain lower temperature) na sio under size style yoyote inafaa. Suruali zenu za kuwabana ndo zinawaponza, manake mnashindana na sisi siku hizi.
1st link
"Briefs, fertility and your happy balls

Most men prefer wearing boxers even if it does have its own share of discomforts because they firmly believe that tighter briefs reduce the sperm count in men.

It’s always been believed that tight briefs generate a lot of heat, which leads to mass killing of a man’s sperm cells. The claim seems rather realistic, especially considering the fact that briefs do make your little Johnny feel like a contortionist performing in the Sahara.

And to make things worse for the brief wearers, the heat can make your coin purse sag out like an old man’s balls in tiny shorts. You know, it does look kinda *unsexy* when a girl goes down and finds two droopy man baby boobs. It makes me want to buy your little fella a push up bra!

But nevertheless, studies on humans and dogs made to wear underwear (serious!) have shown that these claims are totally baseless. Apparently, the heat generated by wearing a brief wasn’t really enough to make your sperm warriors go on a mass suicide spree."

2nd link
"Have you ever heard the debate about whether men should wear boxers or briefs? It goes something like this: Briefs are tighter, so it's possible that they can raise your body temperature above the norm for sperm to survive. So if a guy wants to be really fertile, boxers are the way to go. Truth is, this has yet to be scientifically proven. But if you're trying to get pregnant, there's no harm in wearing loose clothing and staying out of hot tubs and saunas.."

hapo kwenye red, unatafuta ugomvi
 
ulifundishwa uvae kyupi undersize???

Utashangaa kwa nini x-mass ni holiday season na si Idd.

Stuka, biziness strategies tu, wewe unayabeba biblically?

Kama kila linaloelezewa kisayansi ni sawa, mambo ya uzazi wa mpango ni safe 100%

kuhusu kubaka mada, sasa hivi nataka nikubake wewe, mada zimenichosha.

Ujue ukivumbua sindano ya kushonea kwa mkono ya mti dunia hii ya leo SIO deal tena, ila enzi za Zinjathropas ungeonekana bonge la Newton.

Mkuu huwa unabaka mada saana!
mara nyingi unakurupuka mno kuchangia mambo usiyoyajua ambayo ni ya kitaalamu! testes huwa zipo nje kwani sperm production inahitaji joto la (35-36) degree Centigrade mwili wa binadamu huwa ni 37degree Centigrade hivyo kama testes zingekuwa ndani ya mwili ni dhahiri sperm zingekuwa denatured. Unapovaa nguo nyingi ndani au nguo za kubana ndani kama chu*, skin tight huwa zinaongeza joto ndani zaidi ya (35-36) degree Centigrade lile ambalo lina-favor sperm production, hivyo sperm huwa denatured. Ndio maana wataalamu wanashauri boxer ndonzuri manake ziko wazi zinaingiza hewa ya kutosha na haziongezi joto!
Pia chup, skin tight huwa huwa inaathiri p.e.n.i.s kwa kubana muscles na blood vessel za p.e.n.i.s wakati ime-erect na kufanya blood circulation isifanyike vyema!

sasa bwana kongosho nakushangaa eti unamwambia huyo kilaza mwenzako anifundishe jando mimi na wewe nani wa kufundishwa!?
 
he he he, siku hizi kuna kyupi tait za kiume ili zisionekane kwenye vile vipedo vyao vya sarawali.

Afu hawajastukia tu, mbona G-string ndo zenyewe. Mashine ya mayai inaning'inia tu na kula upepo

But as far as i know, as long as ni cotton (for breathing na kumaintain lower temperature) na sio under size style yoyote inafaa. Suruali zenu za kuwabana ndo zinawaponza, manake mnashindana na sisi siku hizi.
 
Bibi,mama,dada wadogo,shangazi wote wavae chupi/bikini na wewe wa kiume chupi! Boxer ndo mpango mzima bhana
 
ulifundishwa uvae kyupi undersize???

Utashangaa kwa nini x-mass ni holiday season na si Idd.

Stuka, biziness strategies tu, wewe unayabeba biblically?

Kama kila linaloelezewa kisayansi ni sawa, mambo ya uzazi wa mpango ni safe 100%

kuhusu kubaka mada, sasa hivi nataka nikubake wewe, mada zimenichosha.

Ujue ukivumbua sindano ya kushonea kwa mkono ya mti dunia hii ya leo SIO deal tena, ila enzi za Zinjathropas ungeonekana bonge la Newton.
duuh si tatizo lako bali tatizo ni elimu ndogo uliyonayo na inaonekana ulikimbia biology so una imani za kishirikina na pia una upeo mdogo wa kuelewa mambo afu akili yako iko rigid mno haipokei mambo mapya
 
hivi kuna jipya chini ya jua?

Nani kilaza? Mie elimu ndogo naye urgue na ww Phd holder?

If u can't explain it clearly you don't know it either. So matanga mawili yanakokotana.

Mie nadhani bikini itakufaa zaidi.
duuh si tatizo lako bali tatizo ni elimu ndogo uliyonayo na inaonekana ulikimbia biology so una imani za kishirikina na pia una upeo mdogo wa kuelewa mambo afu akili yako iko rigid mno haipokei mambo mapya
 
hivi kuna jipya chini ya jua?

Nani kilaza? Mie elimu ndogo naye urgue na ww Phd holder?

If u can't explain it clearly you don't know it either. So matanga mawili yanakokotana.

Mie nadhani bikini itakufaa zaidi.
kama wenye PhD ndo watu kama wewe basi kwishaaa elimu yetu haina maana tena!
kwanza nani kakwambia eti ukiwa na PhD ndo basi unaweza ukaanza ropoka vitu ovyo pole na PhD yako hiyo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom