Moyibi
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,054
- 710
Endelea kujidanganya Mkuu, hao jamaa wako kila idara za serikali. Mnasuka mpango wa kupiga pesa pamoja kumbe wanawasoma tu, siku kiongozi mkubwa akifika anakuwa anafahamu kila kitu...Kwani hawewezi kuzuia wizi huo na badala yake kichongea watu?
Na kuwatambua mbona ni kazi ndogo sana, hao ndio informer sasa...