wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,376
Huwa kuna wakati ninaamini kuna watu wanatumwa na ikulu kufanya ufisadi wa kuigiza ili Rais akafanye ziara na kuwagundua.
Hii ni zaidi ya mazingaombee.
Fuatilia.. skendo kubwa kubwa iptl, eskrow, kagoda....
Utaelewa tu Jambo..