Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,876
Taarab tangu kale imekua ikibadilika.kutoka taarab asilia hadi taarab"baada usasa leo".mabadiliko hayo ni pamoja na kumchora mwanamke akigombea wanaume,malaya,akijisifu kumpoka mwenzie mume,amedhalilishwa kwa kufanywa km kinyago kiwekwacho jukwaan kicheze ili kufurahisha watu hasa wanaume!,mavaz yamwekayo nusu uchi na kucheza kusiko na "adabu".napata waswas juu ya muziki huu na maadili ya binti zetu na pia nafac hasi apewayo mwanamke.mf nyimbo km KINYAGO CHA MPAPURE,SANAM LA MICHELINI,MWANAMKE KHULKA,PEMBE LA NG'OMBE n.k