Mtamba wa Panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 695
- 1,712
Habari ndugu zangu,
Sote tunafahamu ukubwa wa tatizo la upatikanaji wa ajira nchini kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa kipindi tulichopo, hakuna tofauti baina ya msomi wa masters na aliyeishia darasa la pili, maana wote wanakimbilia kazi primitive zisizohitaji ujuzi wowote wa kielimu (mfano kuendesha bajaji).
Nchi zote zinazojitambua na zinazojali watu wake, zimeweka kipimo maalumu cha kutambua idadi ya wananchi wake wasio na ajira, kipimo hiki huitwa unemployment rate ( a.k.a unemployment index). Je, Tanzania kipimo hiki tunacho? Au hatuoni umuhimu wa kujua idadi ya nguvukazi isiyotumika kukuza uchumi wa nchi i.e unutilized human resource.?
Kutokana na ukubwa wa tatizo naomba kufahamu, je, serikali yetu ya awamu ya tano ( a.k.a serikali ya wanyonge ) ina mipango gani ya muda mfupi na muda mrefu katika kutatua tatizo hili?
Najua serikali haiwezi kukosa mipango katika nyanja mbali mbali za kimaendeleo mfano kwenye suala la ukusanyaji mapato, imeweka target ya kukusanya Tsh 2,000,000,000,000/= kwa mwezi.
Je, vipi kuhusu ajira hasa kwa vijana?
Ahsante!
Sote tunafahamu ukubwa wa tatizo la upatikanaji wa ajira nchini kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa kipindi tulichopo, hakuna tofauti baina ya msomi wa masters na aliyeishia darasa la pili, maana wote wanakimbilia kazi primitive zisizohitaji ujuzi wowote wa kielimu (mfano kuendesha bajaji).
Nchi zote zinazojitambua na zinazojali watu wake, zimeweka kipimo maalumu cha kutambua idadi ya wananchi wake wasio na ajira, kipimo hiki huitwa unemployment rate ( a.k.a unemployment index). Je, Tanzania kipimo hiki tunacho? Au hatuoni umuhimu wa kujua idadi ya nguvukazi isiyotumika kukuza uchumi wa nchi i.e unutilized human resource.?
Kutokana na ukubwa wa tatizo naomba kufahamu, je, serikali yetu ya awamu ya tano ( a.k.a serikali ya wanyonge ) ina mipango gani ya muda mfupi na muda mrefu katika kutatua tatizo hili?
Najua serikali haiwezi kukosa mipango katika nyanja mbali mbali za kimaendeleo mfano kwenye suala la ukusanyaji mapato, imeweka target ya kukusanya Tsh 2,000,000,000,000/= kwa mwezi.
Je, vipi kuhusu ajira hasa kwa vijana?
Ahsante!