Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
Mi nikimfumania kaliwa tena kaliwa kavu ndio mwisho wa mahusiano!
Vipi kama atakwambia shetani alimpitia na akakutaka msameheane? Utafanyaje na kweli kamegwa dry without kondom!Mi nikimfumania kaliwa tena kaliwa kavu ndio mwisho wa mahusiano!
Vp ukimuuliza then akakujibu hovyo? Mfano kama huu wa majibu ya hovyo nimeshuhudia karibuni, mwanamke alimwambia mmewe, "mwanaume gani suruali?"Muulize kwa nini kaamua kukusaliti, then mengine yatafuata kama ni kumsamehe au vip?Ila asilimia kubwa ya wanawake wakiwafumania waume zao huwasemehe ila kwa wanaume huwa ni vigumu sana kuwasamehe wake zao
Kweli aiseNimekumbuka babu yangu akiwa anarud kwa mbali anapiga mbalimluzi kwa style yake bac wote mnajua babu anakuja.Mhh siku hizi unakuja ki mnyato zaid, kufaminiani ngumu na inajitaj ujasir sana km unampendamwenzako, vinginevyo unaweza fika eneo la tukio ukiwaumezimia, ukizinduka upo hosp. Acha kabisa hii!Kama inawezekana, sijahiti usiende kumfimania mke/mume wako! Ukimkuta live, HUTAMSAMEHE!WAZEE wa zamani waliyajua hayo. Ndio maana wakati wanarudi nyumbani wakati wa usiku walikuwa wanaimba kuanzia mbali, ili mkewe asikie, na kama kuna kitu, atoe....Siku hizi tunawasaka wagoni wetu...the world is going around
What if kaliwa na ndomu?Mi nikimfumania kaliwa tena kaliwa kavu ndio mwisho wa mahusiano!
kama mwenzio alisha ku chosha ni rahisi mno..
unatoa tu talaka basi,na kuwatangazia wote why umemuacha..
but kama unampenda kweli,ni tatizo kubwa
What if kaliwa na ndomu?
Huwezi kupata jibu sahihi mpaka yakukute ndo utaona majibu yake unafirkiri unaweza toa hapa la hasha sababu nasema kuwa maana reaction utayokuwa nayo ndo itakuongoza kutoa uamuzi
Mkuu hiyo kitu haina kanuni unaweza ukajiandaa ikiwa ni pamoja na kumpa kibano mgoni na kumbe wewe ndio ukapewa kibano lol!i
Kama inawezekana, sijahiti usiende kumfimania mke/mume wako! Ukimkuta live, HUTAMSAMEHE!
WAZEE wa zamani waliyajua hayo. Ndio maana wakati wanarudi nyumbani wakati wa usiku walikuwa wanaimba kuanzia mbali, ili mkewe asikie, na kama kuna kitu, atoe....Siku hizi tunawasaka wagoni wetu...the world is going around i
Watu tofauti maamuzi tofauti, (hakuna kanuni), lakini for sure "Things will Never Be the Same Again" .....
Fumanizi alina maandalizi. Waweza kujiandaa kutoa kichapo ukafika eneo la tukio ukaangua kilio badala ya kutembeza kipigo. Kwa hiyo subiri ya kupate solution utaipata on the sport.
kama mwenzio alisha ku chosha ni rahisi mno..
unatoa tu talaka basi,na kuwatangazia wote why umemuacha..
but kama unampenda kweli,ni tatizo kubwa
Duuuhhhhh
sipendi kutabiri vitu kama hivi
Hakija tokea, na kinaweza kisitokee
Kikitokea ndio nta fahamu nini cha kufanya ..
Asanteeni
Kwa kweli hapo ni wewe mwenyewe kuna wengine wakisha fumania hawawezi kabisa kurudisha penzi kwa wenza wao, angalia faida na hasara yake ya kuachana ukiona kipi kina uzito chukua hicho, kuna mwingine kuachana na mke/mume mwizi ni faida kwake, yaani hawezi kabisa kusamehe, kuliko kuishi maisha ya namna hiyo ni bora utafute ustaarabu wako
Katika jambo kama hili,kukurupuka hakutakiwi,japokuwa kutokana na hisia wengi hufanya hivyo!Inatakiwa umuulize kwa upendo ili akuambie sababu ya yeye kufanya hivyo unaweza kugundua kuwa wewe ndo umesababisha ili ujirekebishe,hata ukimfukuza utakuwa haujatibu ugonjwa,kama wewe ni tatizo ukipata mwingine atakucheat tu!
Katika jambo kama hili,kukurupuka hakutakiwi,japokuwa kutokana na hisia wengi hufanya hivyo!Inatakiwa umuulize kwa upendo ili akuambie sababu ya yeye kufanya hivyo unaweza kugundua kuwa wewe ndo umesababisha ili ujirekebishe,hata ukimfukuza utakuwa haujatibu ugonjwa,kama wewe ni tatizo ukipata mwingine atakucheat tu!
Mi nikimfumania kaliwa tena kaliwa kavu ndio mwisho wa mahusiano!
Kama ujitumi katika mambo mbalimbali, zaidi kwenye sita kwa sita ni mgogoro mkubwa. Sometimes maumbile yanaweza sababisha. Mfano wwanawake wanapenda kuzibwa na kuchokonolewa ndani, kama mtambo ni mwembamba na mfupi ni kama unamwekea kidole.hivi mtu unasababishaje mwenzio aku cheat umemtuma?
Huwa wanauliza, mtaani kwetu kuna mshkaji anaitwa "VIWILI" as a nick name, kisa alimfumania mkewe alipofika home akamtangazia mfueni ya kufa mtu akiwa anamuuliza maswali kibao, mojawapo ya maswali ni "amekupiga vingapi?" jibu toka kwa wife wake VIWILI.Na wewe utajuaje kama kaliwa kavu? ina maana utakumbuka hata kuuliza wife/husband umetumia protections??