Ni ipi hatma ya kesi ya madai?

Nkondo 2

Senior Member
Oct 10, 2016
163
127
Ndugu wadau wa sheria nmekuwa na kesi ya madai, mimi nikiwa mdai. Miezi 6 iliyopita nilitafuta fundi welding nikampa kazi na pesa jumla tsh 1,200,000 ili anitengenezee fens za kuweka juu ya ukuta wa ngome ya nyumbani kwangu. Kilichotokea fundi hakufanya chochote km nilivyotarajia. Nilichukua hatua za kuwasiliana na ndugu wa karibu yake maana n mtu tunayefahamiana ili watusaidie kutatua shida hiyo haikufanikiwa hivyo baadae ikanibidi kufungua kesi mahakamani ambapo mdaiwa alifika na kukiri na hivyo hakimu kumuamuru alipe pesa hiyo ndani ya siku 30.

Ninaomba kupewa uelewa juu ya kesi kama hii je ikiwa mtu huyu hatolipa chochote hadi hizo siku 30 zitakapokwisha nifanyeje??

Pili, hakimu aliniambia baada ya hizo siku ikiwa mdaiwa hatokuwa amefanya chochote bs niende nikakazie hukumu, je hii inamaana gani??

Tatu, hakimu aliniuliza km mdaiwa ana mali zozote anazomiliki, je hii ina maana gani? Na km hana mali mwendelezo wa kesi hapo utakuaje au ndo nakuwa nmepoteza haki yangu?
 
Kujua Mali za mdaiwa ni kuwa endapo hatakulipa basi utapewa amri ya mahakama kuziuza Mali zake ili kufidia deni.
 
Ndugu wadau wa sheria nmekuwa na kesi ya madai, mimi nikiwa mdai. Miezi 6 iliyopita nilitafuta fundi welding nikampa kazi na pesa jumla tsh 1,200,000 ili anitengenezee fens za kuweka juu ya ukuta wa ngome ya nyumbani kwangu. Kilichotokea fundi hakufanya chochote km nilivyotarajia. Nilichukua hatua za kuwasiliana na ndugu wa karibu yake maana n mtu tunayefahamiana ili watusaidie kutatua shida hiyo haikufanikiwa hivyo baadae ikanibidi kufungua kesi mahakamani ambapo mdaiwa alifika na kukiri na hivyo hakimu kumuamuru alipe pesa hiyo ndani ya siku 30.

Ninaomba kupewa uelewa juu ya kesi kama hii je ikiwa mtu huyu hatolipa chochote hadi hizo siku 30 zitakapokwisha nifanyeje??

Pili, hakimu aliniambia baada ya hizo siku ikiwa mdaiwa hatokuwa amefanya chochote bs niende nikakazie hukumu, je hii inamaana gani??

Tatu, hakimu aliniuliza km mdaiwa ana mali zozote anazomiliki, je hii ina maana gani? Na km hana mali mwendelezo wa kesi hapo utakuaje au ndo nakuwa nmepoteza haki yangu?

Akishindwa au kukataa kulipa unaweza kurudi mahakamani, hakimu atakupa barua ya kukazia hukumu, kwa maana nyingi nguvu ya kukamata mali zake kufidia deni.
 
Shukrani sn kwa usha
Akishindwa au kukataa kulipa unaweza kurudi mahakamani, hakimu atakupa barua ya kukazia hukumu, kwa maana nyingi nguvu ya kukamata mali zake kufidia deni.
Mahakama itajiridhisha vipi kwamba huyo bwana ana mali?? Au ikiwa ana mali lakini akakana kuwa sio zake nn kitafanyika kuthibitisha kuwa n mali zake??
 
Mdaiwa anaweza kufungwa lakini kwa gharama zako mwenyewe! Kama kila njia ikishindikana!!
 
Ndugu wadau wa sheria nmekuwa na kesi ya madai, mimi nikiwa mdai. Miezi 6 iliyopita nilitafuta fundi welding nikampa kazi na pesa jumla tsh 1,200,000 ili anitengenezee fens za kuweka juu ya ukuta wa ngome ya nyumbani kwangu. Kilichotokea fundi hakufanya chochote km nilivyotarajia. Nilichukua hatua za kuwasiliana na ndugu wa karibu yake maana n mtu tunayefahamiana ili watusaidie kutatua shida hiyo haikufanikiwa hivyo baadae ikanibidi kufungua kesi mahakamani ambapo mdaiwa alifika na kukiri na hivyo hakimu kumuamuru alipe pesa hiyo ndani ya siku 30.

Ninaomba kupewa uelewa juu ya kesi kama hii je ikiwa mtu huyu hatolipa chochote hadi hizo siku 30 zitakapokwisha nifanyeje??

Pili, hakimu aliniambia baada ya hizo siku ikiwa mdaiwa hatokuwa amefanya chochote bs niende nikakazie hukumu, je hii inamaana gani??

Tatu, hakimu aliniuliza km mdaiwa ana mali zozote anazomiliki, je hii ina maana gani? Na km hana mali mwendelezo wa kesi hapo utakuaje au ndo nakuwa nmepoteza haki yangu?

1. iko ivi kama alikiri kuwa una mdai hicho kiasi cha pesa hakimu aliendelea kutoa hukumu ambapo ndio hiyo kukulipa wewe ndani ya siku 30
ikitokea hajakulipa pesa yako yote basi utaenda kukaza hukumu ( kwa maana hii
Wakati mahakama imetoa tuzo au amri ya malipo ya pesa na pesa hizo hazijalipwa siku iliyowekwa, basi agizo lako linaweza kutekelezwa na mahakama kwa kushika kukamata na kuuza mali ya mdaiwa wa hukumu. ili wewe upate kiasi chako na hili ndio lengo la namba 2 & 3

naomba kuwakilisha
 
Mkuu shukrani sn kwa maelezo yako ya kitaalamu.
1. iko ivi kama alikiri kuwa una mdai hicho kiasi cha pesa hakimu aliendelea kutoa hukumu ambapo ndio hiyo kukulipa wewe ndani ya siku 30
ikitokea hajakulipa pesa yako yote basi utaenda kukaza hukumu ( kwa maana hii
Wakati mahakama imetoa tuzo au amri ya malipo ya pesa na pesa hizo hazijalipwa siku iliyowekwa, basi agizo lako linaweza kutekelezwa na mahakama kwa kushika kukamata na kuuza mali ya mdaiwa wa hukumu. ili wewe upate kiasi chako na hili ndio lengo la namba 2 & 3

naomba kuwakilisha
 
Back
Top Bottom