Ni ipi faida ya dharau?

faida zake ni hizi. hapa:-
*kupunguza mazoea kama watu wajinga,wanaokotafuta,wambeya,wapuuzi.
*inaboresha sana kujiamini na kujikubali kwa mambo ambayo hayana msingi.
*utakuwa una dili sana mambo makubwa kuliko madogo
Ngoja na mim nianze dharau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona urudie kuandika vizuri , Kuna mahali huwezi kukubali kufanyiwa dharau,Unapokataa dharau unaacha kila jambo mnaloshirikiana na wale wanaokuletea hizo dharau, unapokataa sasa watasema ni dharau wakati wewe hutaki tu mazoea yasiyokua ya msingi na ukiendelea na msimamo huo watasema una roho mbaya.
 
faida zake ni hizi. hapa:-
*kupunguza mazoea kama watu wajinga,wanaokotafuta,wambeya,wapuuzi.
*inaboresha sana kujiamini na kujikubali kwa mambo ambayo hayana msingi.
*utakuwa una dili sana mambo makubwa kuliko madogo

Kudharau watu bado hakukufanyi wewe kuwa nje ya dunia yao as long as unaishi ktk jamii hao watu utakutana nao tu na still unawahitaji,Bahakresa leo choo chake kikileta hitilafu atamtafuta mwenye kazi yake ambaye ndiye tunaeweza kusema anafanya kazi mbaya duniani hamna ili aje amsaidie mazingira yawe sawa.

Kwa hali yetu sisi wa kawaida tufanye hivi:assume wewe una gari yako,ili usizoeane na hao uliowataja hapo juu unaamua kuwafungia vioo yani no salam no nini ukipita umepita siku usiku hapo hapo mtaani kwako unfortunately gari yako ikatumbukia kwenye mtaro unategemea utapiga simu kwa hao rafiki zako wale mnaokaa kuongea madili makubwa makubwa waje kuitoa?au utapigia wale unaowaona wewe smart waje wakutoe eti!!!

Hiyo #2 umesema inaongeza kujiamini ndipo utakapojikuta ni bonge la mpumbavu pale utakapowaona wale wale unaowaona wajinga wakija tena wakiwa normal tu kutaka kukusaidia,sijui utazidi kuwa mkaidi na hiyo aibu utakayoiona hutokaa umdharau mtu hata kama chizi.
 
Kudharau watu bado hakukufanyi wewe kuwa nje ya dunia yao as long as unaishi ktk jamii hao watu utakutana nao tu na still unawahitaji,Bahakresa leo choo chake kikileta hitilafu atamtafuta mwenye kazi yake ambaye ndiye tunaeweza kusema anafanya kazi mbaya duniani hamna ili aje amsaidie mazingira yawe sawa.

Kwa hali yetu sisi wa kawaida tufanye hivi:assume wewe una gari yako,ili usizoeane na hao uliowataja hapo juu unaamua kufunga vioo yani no salam no nini ukipita umepita siku usiku hapo hapo mtaani kwao unfortunately gari yako ikatumbukia kwenye mtaro unategemea utapiga simu kwa hao rafiki zako wale mnaokaa kuongea madili makubwa makubwa waje kuitoa?au utapigia wale unaowaona wewe smart waje wakutoe eti!!!

Hiyo #2 umesema inaongeza kujiamini ndipo utakapojikuta ni bonge la mpumbavu pale utakapowaona wale wale unaowaona wajinga wakija tena wakiwa normal tu kutaka kukusaidia,sijui utazidi kuwa mkaidi na hiyo aibu utakayoiona hutokaa umdharau mtu hata kama chizi.

hivi ushakuta au kipendekeza kwa elon musk
IMG_1273.jpg


basi kwa nini ni tajiri na mwenye mafanikio.

ili swala alishasema ukiweka dharau unaweza kufika.ukiondoa utaendeshwa kila kitu.

huyu jamaa na tumia protocal zake sana.

ndio maana mnalalamika maisha ya watu.

we subiri ukose pesa alafu uone kwa nini dharau inatoka wapi
 
hivi ushakuta au kipendekeza kwa elon musk
View attachment 1971394

basi kwa nini ni tajiri na mwenye mafanikio.

ili swala alishasema ukiweka dharau unaweza kufika.ukiondoa utaendeshwa kila kitu.

huyu jamaa na tumia protocal zake sana.

ndio maana mnalalamika maisha ya watu.

we subiri ukose pesa alafu uone kwa nini dharau inatoka wapi

Then watu wasende shule ili kumuiga Billgate nao ipo siku watakuwa kama yeye,huwezi ku-cop na tabia za kizungu wao wakifiwa wanakodi wazikaji wewe ukifiwa unategemea jamii ikusaidie ishi na watu maisha ni zaidi ya pesa kingine ninyi mnaoabudu sana dharau unakuta pesa zenyewe hamna mnaunga unga tu kimaisha ni weupe sana.
 
Then watu wasende shule ili kumuiga Billgate nao ipo siku watakuwa kama yeye,huwezi ku-cop na tabia za kizungu wao wakifiwa wanakodi wazikaji wewe ukifiwa unategemea jamii ikusaidie ishi na watu maisha ni zaidi ya pesa kingine ninyi mnaoabudu sana dharau unakuta pesa zenyewe hamna mnaunga unga tu kimaisha ni weupe sana.

life ya dunia kiufupi ndio watu tunashindwa kuelewa.leo kuna uzi jamaa hana jisikia aibu kwa sababu ya degree kisa kuuza maji temeke.

unajua nini ! yeye ajaweka dharau ila kakubali dharau
 
life ya dunia kiufupi ndio watu tunashindwa kuelewa.leo kuna uzi jamaa hana jisikia aibu kwa sababu ya degree kisa kuuza maji temeke.

unajua nini ! yeye ajaweka dharau ila kakubali dharau

Normally hata kama ni wewe na degree yako siyo rahisi kwenda kufanya kile alichosema jamaa but you know what,akikubali adharaulike akifanya ile kazi kwa miezi 10 ataweza ku-mchallange mfanyakazi wa serikali anayesubiri kulipwa kwa mwezi.

Post yangu mwanzo pale juu,circle ya maisha inamlazimu kila mmoja wetu kuona thamani ya mwenzake iwe una elimu huna elimu,una pesa au huna pesa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom