Ni imani potofu: Mwanamume kufika haraka ni wingi wa nguvu za kiume na si upungufu. Pia mwanamke kuchelewa kufika ndio upunguvu za nguvu za kike!!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,036
ANGALIZO: KAMA HAUJAOA AU KUOLEWA PITA KIMYA KIMYA TU, HAIKUHUSU!!
Upotofu huu umechagizwa na watu kutaka kupiga pesa!! Wanaume wanaaminishwa kuwa hawana nguvu za kiume kwa kuwa wanafika kileleni haraka (ndani ya dakika 5 goli tayari). Kwa hiyo wanahitaji dawa au virutubisho!! Hii ni biashara kubwa mitandaoni!!

Ukweli ni kuwa kufika kileleni haraka kwa mwanaume si kupungukiwa na nguvu za kiume hata kidogo, bali ana nguvu nyingi na hajui (au haoni sababu) namna ya kujizuia ili kuvuta mwendo!! Kukosa nguvu za kiume ni uume kushindwa kusimama barabara katika mazingira ambayo ulipaswa kusimama. Pia kukosa nguvu za kiume ni uume kushindwa kuendelea kusimama vizuri hata kabla ya kumwaga!! Pia kukosa nguvu za kiume ni uume kushindwa kabisa kusimama baada ya tendo la kwanza hata baada ya kupumzika kwa dakika zaidi ya 45!! (Ni kawaida kwa uume kushindwa kusimama baada ya mshindo wa kwanza hadi upumzike kwa dakika angalau 20 hadi 45, japo kuna baadhi wachache wako tofauti kidogo na huhitaji pumziko la dakika 5-10).

Lakini pia mwanaume wa miaka zaidi ya 45 hawezi kufanya tendo kila siku na huo si upungufu wa nguvu za kiume, ni kawaida kwa umri huo na asipewe presha ya kutafuta madawa! Kwake mara 2 kwa wiki ni kawaida na wazee zaidi ya miaka 60 mara moja kwa wiki bado ni afya au hata mara moja ,wa wiki mbili!! Kama ambavyo haitegemewi mzee kupewa dawa ili aweze kukimbia kama kijana, hali kadhalika huwezi kutegemea mzee wa miaka 60+ eti apewe "virutubisho" halafu eti apige mechi chumbani kama enzi za ujana wake!!

Kwa upande wa pili, mwanamke kuchelewa kufika kileleni ni upungufu wa nguvu za kike!! Wengi wamebaki kulaumu waume zao kuwa hawana nguvu za kiume eti kwa kuwa tu waume zao hufika mapema, japo wanasimamisha kama jiwe!! Wanawake hao badala ya kufanya bidii na wao wafike mapema kileleni wanataka eti "wafikishwe"!! Hakuna cha kufikishana bali kila mmoja ajitahidi kufika huku akimsaidia mwenzake!! Usipofika ujilaumu mwenyewe!! Kuna wanawake wengi tu hufika kileleni ndani ya dakika 5 kama wanaume!! Hawa hujiandaa kisaikolojia muda mrefu kabla ya tukio na hujituma na hawasubiri "kufikishwa" na waume zao!!

Kwa hiyo tangu leo wanawake mnaochelewa kufika jueni mna upungufu wa nguvu za kike!! Acheni kuwalaumu waume zenu kwa uzembe wenu!! Mke akili yote iko kwenye marejesho ya vikoba hadi anaingia kitandani asitegemee kufika kwenye upepo mwanana unaopatikana kileleni!! LEO NIMEWATOLEA UVIVU!!

ANGALIZO: Kama hujaolewa au haujaoa uzi huu haukuhusu!
 
Unatumia vigezo vp na kwa taifa lipi , maisha magumu imekuwa chanzo cha vijana wengi kukosa nguvu za kiume , mkuu mi naamini ukiwa na hela , no stress hakuna mbususu itakushinda labda uwe mgonjwa wa kisukari , bp, presha n.k
 
ANGALIZO: KAMA HAUJAOA AU KUOLEWA PITA KIMYA KIMYA TU, HAIKUHUSU!!
Upotofu huu umechagizwa na watu kutaka kupiga pesa!! Wanaume wanaaminishwa kuwa hawana nguvu za kiume kwa kuwa wanafika kileleni haraka (ndani ya dakika 5 goli tayari). Kwa hiyo wanahitaji dawa au virutubisho!! Hii ni biashara kubwa mitandaoni!!
Ukweli ni kuwa kufika kileleni haraka kwa mwanaume si kupungukiwa na nguvu za kiume hata kidogo, bali ana nguvu nyingi na hajui (au haoni sababu) namna ya kujizuia ili kuvuta mwendo!! Kukosa nguvu za kiume ni uume kushindwa kusimama barabara katika mazingira ambayo ulipaswa kusimama. Pia kukosa nguvu za kiume ni uume kushindwa kuendelea kusimama vizuri hata kabla ya kumwaga!! Pia kukosa nguvu za kiume ni uume kushindwa kabisa kusimama baada ya tendo la kwanza hata baada ya kupumzika kwa dakika zaidi ya 45!! (Ni kawaida kwa uume kushindwa kusimama baada ya mshindo wa kwanza hadi upumzike kwa dakika angalau 20 hadi 45, japo kuna baadhi wachache wako tofauti kidogo na huhitaji pumziko la dakika 5-10).
Lakini pia mwanaume wa miaka zaidi ya 45 hawezi kufanya tendo kila siku na huo si upungufu wa nguvu za kiume, ni kawaida kwa umri huo na asipewe presha ya kutafuta madawa! Kwake mara 2 kwa wiki ni kawaida na wazee zaidi ya miaka 60 mara moja kwa wiki bado ni afya au hata mara moja ,wa wiki mbili!! Kama ambavyo haitegemewi mzee kupewa dawa ili aweze kukimbia kama kijana, hali kadhalika huwezi kutegemea mzee wa miaka 60+ eti apewe "virutubisho" halafu eti apige mechi chumbani kama enzi za ujana wake!!
Kwa upande wa pili, mwanamke kuchelewa kufika kileleni ni upungufu wa nguvu za kike!! Wengi wamebaki kulaumu waume zao kuwa hawana nguvu za kiume eti kwa kuwa tu waume zao hufika mapema, japo wanasimamisha kama jiwe!! Wanawake hao badala ya kufanya bidii na wao wafike mapema kileleni wanataka eti "wafikishwe"!! Hakuna cha kufikishana bali kila mmoja ajitahidi kufika huku akimsaidia mwenzake!! Usipofika ujilaumu mwenyewe!! Kuna wanawake wengi tu hufika kileleni ndani ya dakika 5 kama wanaume!! Hawa hujiandaa kisaikolojia muda mrefu kabla ya tukio na hujituma na hawasubiri "kufikishwa" na waume zao!!
Kwa hiyo tangu leo wanawake mnaochelewa kufika jueni mna upungufu wa nguvu za kike!! Acheni kuwalaumu waume zenu kwa uzembe wenu!! Mke akili yote iko kwenye marejesho ya vikoba hadi anaingia kitandani asitegemee kufika kwenye upepo mwanana unaopatikana kileleni!! LEO NIMEWATOLEA UVIVU!!
ANGALIZO: Kama hujaolewa au haujaoa uzi huu haukuhusu!

28AB97AB-A2D6-49CE-8994-2BEE503AA6B5.jpeg
 
Unatumia vigezo vp na kwa taifa lipi , maisha magumu imekuwa chanzo cha vijana wengi kukosa nguvu za kiume , mkuu mi naamini ukiwa na hela , no stress hakuna mbususu itakushinda labda uwe mgonjwa wa kisukari , bp, presha n.k
tatizo liko kwenye maana halisi ya upungufu wa nguvu za kiume! wengi wanachukulia kufika haraka kwwa mwanamume ndio upungufu wa nguvu za kiume!! Siyo sahihi!! Kwa asili kila wanamume aliye kamili lazima afike mapema sana kileleni. Ili mwanamume huyo akawie kufika kileleni hahitaji kuongeza nguvu, ila anahitaji ujuzi fulani na saikologia fulani itakayomfanya AJIZUIE KWA HIARI NA UTASHI WAKE KUFIKA MAPEMA ILI AMTANGULIZE KWANZA MWENZIWE!! Huu ni ujuzi unaopatikana kwa mazoezi na kwa utashi!!
 
Usipindishe"
majukumu ndo yanatufanya tukose izo nguvu , mi nakumbuka wakati nilipokuwa sina majukumu nilikuwa natembeza sho show kweli, napiga mpaka masaa mawili ;

ata hayo mazoezi nilikuwa sifanyi , Sababu sikuwa na stress, hamna kuwaza kodi, leo hii sasa, demu tunaweza kuweka promise lakini muda ukifika napotea kama sio mimi niliempanga . .. Ogopa majukumu aisee maana saivi tunaishi ndoto za watu ni vigumu kuperfom shoo vizuriii ....

We ukitaka kupiga shoo nzuri now hakikisha mfuko wako uwe safi na umemlipia hela za vikoba uone Kama utaboreka na shoo ,,, tutafuteni hela jamani nakazia...
 
Unatumia vigezo vp na kwa taifa lipi , maisha magumu imekuwa chanzo cha vijana wengi kukosa nguvu za kiume , mkuu mi naamini ukiwa na hela , no stress hakuna mbususu itakushinda labda uwe mgonjwa wa kisukari , bp, presha n.k
Huu mtazamo wako ni wa theory moja ya afya mijini katka social science unaitwa urban penalty.. Ni kweli mkuu
 
Usipindishe"
majukumu ndo yanatufanya tukose izo nguvu , mi nakumbuka wakati nilipokuwa sina majukumu nilikuwa natembeza sho show kweli, napiga mpaka masaa mawili ;

ata hayo mazoezi nilikuwa sifanyi , Sababu sikuwa na stress, hamna kuwaza kodi, leo hii sasa, demu tunaweza kuweka promise lakini muda ukifika napotea kama sio mimi niliempanga . .. Ogopa majukumu aisee maana saivi tunaishi ndoto za watu ni vigumu kuperfom shoo vizuriii ....

We ukitaka kupiga shoo nzuri now hakikisha mfuko wako uwe safi na umemlipia hela za vikoba uone Kama utaboreka na shoo ,,, tutafuteni hela jamani nakazia...
Nakazia
 
ANGALIZO: KAMA HAUJAOA AU KUOLEWA PITA KIMYA KIMYA TU, HAIKUHUSU!!
Upotofu huu umechagizwa na watu kutaka kupiga pesa!! Wanaume wanaaminishwa kuwa hawana nguvu za kiume kwa kuwa wanafika kileleni haraka (ndani ya dakika 5 goli tayari). Kwa hiyo wanahitaji dawa au virutubisho!! Hii ni biashara kubwa mitandaoni!!
Ukweli ni kuwa kufika kileleni haraka kwa mwanaume si kupungukiwa na nguvu za kiume hata kidogo, bali ana nguvu nyingi na hajui (au haoni sababu) namna ya kujizuia ili kuvuta mwendo!! Kukosa nguvu za kiume ni uume kushindwa kusimama barabara katika mazingira ambayo ulipaswa kusimama. Pia kukosa nguvu za kiume ni uume kushindwa kuendelea kusimama vizuri hata kabla ya kumwaga!! Pia kukosa nguvu za kiume ni uume kushindwa kabisa kusimama baada ya tendo la kwanza hata baada ya kupumzika kwa dakika zaidi ya 45!! (Ni kawaida kwa uume kushindwa kusimama baada ya mshindo wa kwanza hadi upumzike kwa dakika angalau 20 hadi 45, japo kuna baadhi wachache wako tofauti kidogo na huhitaji pumziko la dakika 5-10).
Lakini pia mwanaume wa miaka zaidi ya 45 hawezi kufanya tendo kila siku na huo si upungufu wa nguvu za kiume, ni kawaida kwa umri huo na asipewe presha ya kutafuta madawa! Kwake mara 2 kwa wiki ni kawaida na wazee zaidi ya miaka 60 mara moja kwa wiki bado ni afya au hata mara moja ,wa wiki mbili!! Kama ambavyo haitegemewi mzee kupewa dawa ili aweze kukimbia kama kijana, hali kadhalika huwezi kutegemea mzee wa miaka 60+ eti apewe "virutubisho" halafu eti apige mechi chumbani kama enzi za ujana wake!!
Kwa upande wa pili, mwanamke kuchelewa kufika kileleni ni upungufu wa nguvu za kike!! Wengi wamebaki kulaumu waume zao kuwa hawana nguvu za kiume eti kwa kuwa tu waume zao hufika mapema, japo wanasimamisha kama jiwe!! Wanawake hao badala ya kufanya bidii na wao wafike mapema kileleni wanataka eti "wafikishwe"!! Hakuna cha kufikishana bali kila mmoja ajitahidi kufika huku akimsaidia mwenzake!! Usipofika ujilaumu mwenyewe!! Kuna wanawake wengi tu hufika kileleni ndani ya dakika 5 kama wanaume!! Hawa hujiandaa kisaikolojia muda mrefu kabla ya tukio na hujituma na hawasubiri "kufikishwa" na waume zao!!
Kwa hiyo tangu leo wanawake mnaochelewa kufika jueni mna upungufu wa nguvu za kike!! Acheni kuwalaumu waume zenu kwa uzembe wenu!! Mke akili yote iko kwenye marejesho ya vikoba hadi anaingia kitandani asitegemee kufika kwenye upepo mwanana unaopatikana kileleni!! LEO NIMEWATOLEA UVIVU!!
ANGALIZO: Kama hujaolewa au haujaoa uzi huu haukuhusu!

Haraka au kuchelewa mara nyingi husababishwa na mazingira haswa ya akili kwa kiasi kikubwa sana.
Panapokua na matumizi ya NGUVU zaidi HISIA lazima kutakua na kuchelewa au kuwahi.
Panapokua na hisia miili ikapokea watu wawili wanasomana signals na mambo yatabalance tuu
 
Mwanaume kuwahi kumaliza ama kuchelewa kumaliza, kuendelea na show muda mrefu ama kushindwa kuendelea hutegemeana na mazingira na Mwanamke anayekutana nae

Chukulia mwanamke hajajiwekea mazingira ya mwili wake Vyema na usafi kwann hamu ya kuendelea isiishie round ya kwanza, ama mazingira ya kukwichikwichi ni ya kuibia, ama muda ni wa kuibia kwann asilazimishe akili yake mambo yamalizike mapema???

Mazingira yakiwa pw muda ukiwa wa kutosha mwanamke akiwa msafi vilivyo hakika kuna kutaguna nyapu mpaka kukuche bila wasiwasi maana hakuishi hamu kwa usafi wake wala huna haraka yoyote na muda

Maana kwann mbwa akiwa mwenyewe aweze kubweka vizuri tu halafu kwenye varangati ashindwe kubweka aisee???? Nguvu tunazo za kutosha ni swala la setups tu
 
Kwa mara ya kwanza nmeamua ku comnent bila kusoma kilichoandikwa...nia na madhumuni ni kufuata mashart aliyotoa mtoa mada..sasa cjui niandike nini?
 
Back
Top Bottom