Kuna tetesi kwamba mchakamchaka wote uliokuwa unaendelea huko dodoma ni kutimiza ile kauli iliyonenwa na umoja wa vijana wa CCM mkoa wa pwani ya kwamba raisi ajaye anafahamika na mkubwa na kamwe hawezi kutoka kuleee kwa mamvi!Ubaguzi jamani huu sijui utatufikisha wapi.2subiri tuone!